Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 3,792
- 9,705
Chawa wa membe na kikwete
Hana la kukumbukwa
Hana la kukumbukwa
Kula bia kwa ndama mnonoNini maana ya maisha
Kabisa.Mhm si Mwana JF huyu?
TOKA MAKTABA :
23 May 2026
Bonn, Ujerumani
Mtizamo wa Mchambuzi : Mwigulu Lameck Nchemba si chaguo la wengi kuwa Waziri Mkuu | DW Kiswahili
View: https://m.youtube.com/watch?v=S2_P4gEy-8Q
Baada ya Mwigulu Lameck Nchemba kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu mpya Tanzania na jina lake kuidhinishwa na Bunge la chama kimoja dola mjini Dodoma
je wachambuzi wanamtizama vipi? DW Imezungumza na mchambuzi wa siasa Gwandumi Mwakatobe ni hii ndiyo tathmini yake
View attachment 3593855
Photo : Gwandumi Mwakatobe
Apumzike salama,bonge moja la mchambuzi wa siasa.hakika ni pigo kubwaZa usiku huu wakuu,
Mchambuzi nguli wa masuala ya kisiasa nchini Tanzania, Gwandumi Mwakatobe, amefariki dunia. Mazishi yake yamepangwa kufanyika siku ya Jumanne mjini Sumbawanga
Binafsi nimekuwa nikifatilia uchambuzi wake kwenye kipindi cha maoni mbele ya mawazo ya meza ya duara kupitia DW hakika alikuwa mjuzi wa mambo mengi, ni pigo kubwa kwa tasinia ya uchambuzi wa matukio mbalimbali ya ndani na kimataifa.
Apumzike kwa amani ndugu yetu
Middle and trueUchambuzi wake uliegemea wapi zaidi?,je alikua mchambuz chawa?,alikua upande wa wananchi?
Mungu wangu tunafahamiana sana... Nimepiga simu sasa hivi kafariki kwa ajali ya boda . waligongwa😭😭😭Kabisa.
Hakika hiki kifo kimeniuma mno. Ni Moja ya watu niliokuwa nikiwafuatilia sana 🥲😭.Mungu wangu tunafahamiana sana... Nimepiga simu sasa hivi kafariki kwa ajali ya boda . waligongwa😭😭😭
Apumzike kwa amani kaka...sisi tupo safarini piaaNilimsikiliza juzi tu (jumamosi) kwenye maoni mbele ya meza ya duara pale DW.
"Matatizo ya Afrika yatatutuliwa na waafrika wenyewe...", ndilo neno lake la mwisho mimi kulisikia 🥲.
Dr am 4 real PhD.
Kweli kabisa, mbele yetu nyuma yake.Apumzike kwa amani kaka...sisi tupo safarini piaa