Gwajima Unakumbuka hii? Ngoja nawe Ukerwe utie akili

Wachungaji wa zamani walikuwa muda wao wanautumia kwenda mahospialini kuombea wagonjwa na kuwapa chakula wasiojiweza kutoka kwenye sadaka, kwenda gerezani kuwapa injili wafungwa na walionewa kuwasaidia kutetea haki, kutembelea waumini wao kuwajulia hali, kutenga muda wa kukaa kwenye maombi kanisani, ila Sasa imegeuka wachungaji wanamuda mwingi wa kupoteza mpaka wanatafuta majukumu mengine ya kushinda bungeni.
Sio kwamba hana kazi ya kufanya ila anatanua mipaka, kama kuna mtu anamapepo anambwengua alafua kazi inaendelea.
 
Kanywe maji ulale mtoto mdogo wewe
Acha kupambana na Watu wakubwa
Jinga Sanaa wewe
 
Mmejipanga kwenye uzi huu, na mko makini, ila ukweli utabaki, nawatakia uchaguzi mwema wana kawe, msiibiane kura, kuwa na vituo feki, mumtangaze atakae shinda!
 
Dini hizo zinataka kuwasamehe wale wote waliotukosea.
Hata wale watakao chaguliwa au kuteuliwa siyo malaika.
 
katika maisha kuna vitu vingi uwa vinatokea na kukosea kwa mwanadamu nikawada sana maana yeye ni mtu wala sio malaika sasa wewe ukianza kushutumu na kuraumu inakuwa haina maana sana maana kama watu wameisha ongea na kupatana katika Bwana wewe hata ukisema neno lolote alita badilisha kitu. dawa wewe nikumuombea kiongozi wako anae kuja kukuongoza kawe Mungu amuongoze vyema
 
GWAJIMA UNAIKUMBUKA HII? NGOJA NAWE UKERWE

Na, Robert Heriel

Wewe uliwakera wenzako, uliwanyima mate kooni. Uliwachachafya mimbarini mbele ya waumini wako. Ulijisikia raha bila karaha. Tena kwa mdomo mpana hukuwa na simile wala machale ya kuwa nawe siku moja utaingia kwenye kumi na nane za unaowakera.

Ati ulisema ukweli, Ukweli?

Gwajima nitakukumbusha kidogo kidogo kero ulizowafanyia watu. Hii ni kero ya tatu.

Naomba ninukuu kukukumbusha;

"Dini ya kiislamu ni ya majini na niya mpinga Mkristo; Dini ya Kikatoliki niya kwenye nchi na niya nabii wa uongo. Shauri yako kama utakerwa, ila natakiwa nikusaidie"

Hata kama dini yetu iwe ya mashetani wewe inakuhusu nini?
Hata tuabudu majini na mizimu, wewe unapungua wapi?
Hata kama tuabudu mpinga Kristo inakukera nini?
Tukiabudu dini ya Nabii wa uongo inakuwasha washa nini?
Nani alihitaji msaada wako?

Unaita dini za wenzako ni za majini kwani walikuja kusalia kanisani kwako? Au walikuja nyumbani kwako kufanya ibada zao? Nini kinakukera?

Tunakubali sisi dini zetu ni za majini na mpinga Kristo, ya kwako ndio ya malaika na Yesu Kristo.
Tunakubali dini zetu niza nabii wa uongo ila ya kwako ndio ya nabii wa kweli.

Sasa kama ulitaka kutukera utasubiri sana.

Muda wa Kukerana umefika, wewe si ulijisikia raha kuongea na kupata sifa. Sawa. Subiri nasi tutajibu mapigo october.

Jambo moja nikupongeze, hongera Sana nilikuona na Mzee Pengo juzi juzi, Bila shaka ulimuomba msamaha.

Sasa unakazi ya kuomba msamaha wenye dini za majini na mpinga Kristo, wenye dini za Nabii ya uongo ambao umewataja wewe mwenyewe kwa jina kabisa.

Hivi huko Kawe hakuna wenye hizo dini ulizozitaja hapo juu? Kama wapo basi subiri Kukerwa.

Tumekubali sisi tunaabudu majini
Tumekubali dini yetu niya nabii wa uongo

Tukikuchagua ujue tumekubali kuwa dini zetu ndivyo ulivyozitaja

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Dar es salaam
Naona umeamua kumkera kama ulivyoahidi kuwa wiki za mwisho mwisho utaanza kumshambulia!
 
Oya wewe mbona hujitambui atuchagui dini tunachagua mtu atakayetuletea maendeleo na kuwakilisha kero zetu bungeni wanakawe hatudanganyiki na polojo zako tutamchagua Gwajima ije mvua lije jua sisi ni Gwajima tu ndiye tunamtaka

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Oya wewe mbona hujitambui atuchagui dini tunachagua mtu atakayetuletea maendeleo na kuwakilisha kero zetu bungeni wanakawe hatudanganyiki na polojo zako tutamchagua Gwajima ije mvua lije jua sisi ni Gwajima tu ndiye tunamtaka

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Uno boy Gwaji Uno..

Screenshot_20200928-144727_1601300779315.jpg
 
Huwa mnawacheka waumini wa gwajiboy kuwa ni mazezeta,lakini mwaka huu tutashuhudia jinsi wana Kawe walivyo mazezeta zaidi
 
Ndio nimekwambia hayo ni mambo yake binafsi maana hayo mauno hakuyafanyia barabarani,hata ikija kutokea bahati mbaya na Mdee ikavuja video ikisagana pia itakuwa ni mambo yake binafsi.
mambo binafsi angeyaficha ,heri mtu ambaye haonyeshi mambo yake huwezi kujudge ,Gwajima ni public figure hata balozi tu wa China picha ilipovuja anaangalia ngono ofisini alijiuzulu ,heri hata ingekuwa mtu wa kawaida lakini siyo mchungaji ,kwahiyo kusema ni mambo binafsi kwa mtu ambaye ni public figure ni kukosa hoja na kutapata
 
Huwa mnawacheka waumini wa gwajiboy kuwa ni mazezeta,lakini mwaka huu tutashuhudia jinsi wana kawe walivyo mazezeta zaidi
Wewe mwenyewe zezeta uliyezezetwa toka uko tumboni mwa mama yako kima ndo maana unaongelea mambo ya uzezeta fisi mweusi wewe
 
mambo binafsi angeyaficha ,heri mtu ambaye haonyeshi mambo yake huwezi kujudge ,Gwajima ni public figure hata balozi tu wa China picha ilipovuja anaangalia ngono ofisini alijiuzulu ,heri hata ingekuwa mtu wa kawaida lakini siyo mchungaji ,kwahiyo kusema ni mambo binafsi kwa mtu ambaye ni public figure ni kukosa hoja na kutapata
Kumbe ndo unaakili changa hivyo kama nikweli alijirecord basi angekuwa mahakaman kama Amberruth we jiulize tu mbona hakushitakiwa inamaana ushaidi ulionyesha ni kweli hana hatia sasa nyie endeleen kupiga kelele huku Gwajima anasonga mbele na ubunge lazima apate mpende msipende
 
Gwajima ni Mshirikina flani tu...anayewadaa waumini wake...

Hana upako wowote
 
GWAJIMA UNAIKUMBUKA HII? NGOJA NAWE UKERWE

Na, Robert Heriel

Wewe uliwakera wenzako, uliwanyima mate kooni. Uliwachachafya mimbarini mbele ya waumini wako. Ulijisikia raha bila karaha. Tena kwa mdomo mpana hukuwa na simile wala machale ya kuwa nawe siku moja utaingia kwenye kumi na nane za unaowakera.

Ati ulisema ukweli, Ukweli?

Gwajima nitakukumbusha kidogo kidogo kero ulizowafanyia watu. Hii ni kero ya tatu.

Naomba ninukuu kukukumbusha;

"Dini ya kiislamu ni ya majini na niya mpinga Mkristo; Dini ya Kikatoliki niya kwenye nchi na niya nabii wa uongo. Shauri yako kama utakerwa, ila natakiwa nikusaidie"

Hata kama dini yetu iwe ya mashetani wewe inakuhusu nini?
Hata tuabudu majini na mizimu, wewe unapungua wapi?
Hata kama tuabudu mpinga Kristo inakukera nini?
Tukiabudu dini ya Nabii wa uongo inakuwasha washa nini?
Nani alihitaji msaada wako?

Unaita dini za wenzako ni za majini kwani walikuja kusalia kanisani kwako? Au walikuja nyumbani kwako kufanya ibada zao? Nini kinakukera?

Tunakubali sisi dini zetu ni za majini na mpinga Kristo, ya kwako ndio ya malaika na Yesu Kristo.
Tunakubali dini zetu niza nabii wa uongo ila ya kwako ndio ya nabii wa kweli.

Sasa kama ulitaka kutukera utasubiri sana.

Muda wa Kukerana umefika, wewe si ulijisikia raha kuongea na kupata sifa. Sawa. Subiri nasi tutajibu mapigo october.

Jambo moja nikupongeze, hongera Sana nilikuona na Mzee Pengo juzi juzi, Bila shaka ulimuomba msamaha.

Sasa unakazi ya kuomba msamaha wenye dini za majini na mpinga Kristo, wenye dini za Nabii ya uongo ambao umewataja wewe mwenyewe kwa jina kabisa.

Hivi huko Kawe hakuna wenye hizo dini ulizozitaja hapo juu? Kama wapo basi subiri Kukerwa.

Tumekubali sisi tunaabudu majini
Tumekubali dini yetu niya nabii wa uongo

Tukikuchagua ujue tumekubali kuwa dini zetu ndivyo ulivyozitaja

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kwa sasa Dar es salaam
cc pascal Mayala.
 
Back
Top Bottom