Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,022
- 9,285
Una hoja ' somewhere ' ila nadhani hapo katika ' threat to national security ' ungemjumuisha na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Christian Makonda hoja yako ndipo ingekuwa na mashiko makubwa. Nikushauri tu Mkuu naomba kwa nguvu hii hii ya ' kumpovukia ' Bishop Gwajima hadi ukamuanzishia huu uzi basi nikuombe ufanye pia hivyo hivyo kwa kumuanzishia uzi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Makonda kwani sisi tumeshamsema mno ila sikio lake ameweka ' nta ' hivyo pengine Wewe ' Mnafiki ' mwenzie uliyetukuka anaweza kukusikia.
Ukiomwondoa Makonda kama threat to national security vinginevyo ni:
- Njaa na uhaba wa Pesa kila pembe ya Tanzania kunakotokana na kukomoana na makusudi.
- Utekwaji nyara raia na tunapewa siku watakayopatikana na kweli inakuwa hivyo.
- Ununuaji wa Bombardier bila kupata mchanganuo kamili wa manunuzi yake Kisheria.
- Utolewaji wa Bastola hovyo.
- Kuvamia Vituo vya Radio na kuwatishia Watangazaji kuwahusisha katika ' Ngada ' au dawa za kulevya.
- Kutongoza Wanawake hasa Wasanii kwa nguvu na kupora kinguvu Magari ya Kifahari ya Watu.
- Kunuka Soksi, Miguu na hasa Mdomo.
Point!