Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 3,560
- 7,914
Gwajima ni mwanasiasa mbunge na ni mchungaji hata kama angekuwa mtumishi wa Mungu pekee bado kukemea utekaji sio kosa wala sio suala la kisiasa ni suala la kupinga ugaidi sasa uagidi na siasa wapi na wapi ?
Lawama hizi za uminyaji mkubwa wa wananchi atabeba Samia hata kama kuna watu wanamjaza sijui wewe ndio wewe mfungie huyu mfanyie huyu vile lawama zote atabeba Samia kwani kuongelea utekaji unaoendelea sio uchonganishi wachonganishi ni hao watekaji.
Kwamba watekaji wakidhibitiwa hakutakuwa na haya maongezi tena kama ya Gwajima ni ujinga sisi kukomaa na wanao pinga suala hilo na kuminya haki zao badala ya watekaji haya ni matumizi mabaya ya madaraka.
Lawama hizi za uminyaji mkubwa wa wananchi atabeba Samia hata kama kuna watu wanamjaza sijui wewe ndio wewe mfungie huyu mfanyie huyu vile lawama zote atabeba Samia kwani kuongelea utekaji unaoendelea sio uchonganishi wachonganishi ni hao watekaji.
Kwamba watekaji wakidhibitiwa hakutakuwa na haya maongezi tena kama ya Gwajima ni ujinga sisi kukomaa na wanao pinga suala hilo na kuminya haki zao badala ya watekaji haya ni matumizi mabaya ya madaraka.