Mbona hata Marehemu Nyerere alisema I can't keep quite seeing my country thrown to the dogs kwani alimaanisha mbwa?CHADEMA inaungwa mkono na watu wengi wenye upeo mdogo sana na ni negative minds pia hawajisomei vitabu! Sasa huo msemo wa Winston Churchill aliotumia Askofu Gwajima imeshakuwa eti kawaita Mbwa! Ficheni upumbavu wenu!