Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,960
- 11,221
..binafsi nilishangaa kwanini nafasi ya kuzungumza baada ya Raisi hawakupewa wabunge wazoefu.
..huenda Spika alikua na nia njema ya kumpa nafasi Gwajima aonyeshe kipaji chake, lakini kwa bahati mbaya Gwajima akaharibu.
..maneno aliyatumia Gwajima, pamoja na kwamba amenukuu toka kwa Winston Churchill, sidhani kama yalikuwa yanafaa kwa mazingira ya sasa ya siasa zetu. Mzungumzaji mzoefu na mtu mahiri ktk siasa hawezi kutoa kauli ya namna ile baada ya uchaguzi mkuu.
Baada ya miaka mitano nadhani wana uzoefu wa kutosha kuelewa what ‘tickles the president fancy’, he is smitten by people like Kabudi when they speak of him.
Sababu kubwa ya raisi kutaka kuona Gwajima anakuwa mmbunge, apate mtu mwingine wa kumsifia. Ndio vigezo ivyo ivyo speaker alivyotumia kumteua Gwajima to present the tribute speech. Si ulimuona ata raisi mwenyewe alivyofurahishwa.