Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,309
- 5,266
Vyeti venye fa fa fa fa fa tehe tehe teheNingeweka vyet mezan nimkomeshe gwajima
Vyeti venye fa fa fa fa fa tehe tehe teheNingeweka vyet mezan nimkomeshe gwajima
Nahisi karibia elfu 1
huyo haneni ya mungu ndio maana anapendezwa na sifa siku zote kutojiamini na anaowaongoza hawana mawazo na mafunuo ya akili kwa upana zaidi wangejiepuka na huyu mtu alishawahi kudanganya amemfufua amini chifupa na walishangiliaMnafiki kuliko Bashite? Au Maharage?
Najua Mchungaji Josephat Gwajima upo hapa JF.
Tumepata taarifa jumapili ijayo kuna wageni watatoka Kolomije village kuja kuongea na familiya ya wana Ufufuo,tumesikia wengine ni waalimu waliomfundisha Mh Makonda na wengine ni wanakijiji.
Naomba nikuombe neno moja,samehe na kusahau kwa kuwa ndio tulioitiwa,waendao katika mwili hawawezi kumpendeza Mungu,wewe ni mtu mkubwa katika jamii na unaheshimika,hivi unaweza kufundisha somo la kumsamehe adui yako?
Naomba uwe mfano wa kuigwa ili usipoteze kondoo unao waongoza,kumbuka maneno ya Yesu,akulazimishae kutembea maili moja tembea nae mbili,na akuny,ang,anyae koti mwachie na shati.
Najua Mchungaji Josephat Gwajima upo hapa JF.
Tumepata taarifa jumapili ijayo kuna wageni watatoka Kolomije village kuja kuongea na familiya ya wana Ufufuo,tumesikia wengine ni waalimu waliomfundisha Mh Makonda na wengine ni wanakijiji.
Naomba nikuombe neno moja,samehe na kusahau kwa kuwa ndio tulioitiwa,waendao katika mwili hawawezi kumpendeza Mungu,wewe ni mtu mkubwa katika jamii na unaheshimika,hivi unaweza kufundisha somo la kumsamehe adui yako?
Naomba uwe mfano wa kuigwa ili usipoteze kondoo unao waongoza,kumbuka maneno ya Yesu,akulazimishae kutembea maili moja tembea nae mbili,na akuny,ang,anyae koti mwachie na shati.
unafiki wake ni nini?Nadhani huyu mtumishi wa Mungu ni mnafiki sana. Nadhani hata huduma yake iko ukingoni.
That's u saying... He is in his own church, he is talking to his family, his followers. You might never know u're father might be there ( in church)... Plus, he is in his own home. . Bashite used Media and he used very bad approach... So he is right, if u can't see that... Maybe u are the victim too...
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Huyo si Mtumishi wa Mungu aliye hai bali na Mtumishi wa mungu wa baali, kahaba amevunja ndoa ya Emmanuel Mbasha, hana uchungaji wowote bali ni wale manabii wa uongo waliotabiriwa katika maandiko matakatifu.Nadhani huyu mtumishi wa Mungu ni mnafiki sana. Nadhani hata huduma yake iko ukingoni.
Umechoka wewe nan?Waumini wa gwajima nao ni mafyatu tu!!
Unapeleka siasa kanisani,unahubiri siasa kanisani kwa zaidi ya wiki mbili,kiongozi wa dini unakuwa na hasira na mambo ya ajabu ajabu!
Sasa tumechoka!
Najua Mchungaji Josephat Gwajima upo hapa JF.
Tumepata taarifa jumapili ijayo kuna wageni watatoka Kolomije village kuja kuongea na familiya ya wana Ufufuo,tumesikia wengine ni waalimu waliomfundisha Mh Makonda na wengine ni wanakijiji.
Naomba nikuombe neno moja,samehe na kusahau kwa kuwa ndio tulioitiwa,waendao katika mwili hawawezi kumpendeza Mungu,wewe ni mtu mkubwa katika jamii na unaheshimika,hivi unaweza kufundisha somo la kumsamehe adui yako?
Naomba uwe mfano wa kuigwa ili usipoteze kondoo unao waongoza,kumbuka maneno ya Yesu,akulazimishae kutembea maili moja tembea nae mbili,na akuny,ang,anyae koti mwachie na shati.
Hata ww cku ukiviona vyeti vya Bashite hutakaa uamini wanasiasa tena....Dada, (kwa sababu ya avataor kama ni ME nisamehe).
Hili jambo usifikilie kuwa Gwajima kwa kusema hayo na kuleta watu na wazee ukadhani yuko salama , na usione polisi imemuacha kuhusu sembe ya sumu ukafurahia , serikali inamacho makali sana na siku akikamatwa utashangaa sana.
Kuna siku hutaa kaaa kamwe uamini tena mtu wa dini yoyote ile.
Naamini unaelewa ninachosema hapo juu.
"Time is a good Teacher"
Hata ww cku ukiviona vyeti vya Bashite hutakaa uamini wanasiasa tena....Dada, (kwa sababu ya avataor kama ni ME nisamehe).
Hili jambo usifikilie kuwa Gwajima kwa kusema hayo na kuleta watu na wazee ukadhani yuko salama , na usione polisi imemuacha kuhusu sembe ya sumu ukafurahia , serikali inamacho makali sana na siku akikamatwa utashangaa sana.
Kuna siku hutaa kaaa kamwe uamini tena mtu wa dini yoyote ile.
Naamini unaelewa ninachosema hapo juu.
"Time is a good Teacher"
Hata ww cku ukiviona vyeti vya Bashite hutakaa uamini wanasiasa tena....