Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,091
Kama ilivyo kawaida maisha ni fedha, kwa lissu, mbowe, Lema na wote mnaowaona wanapiga kelele kwa kivuli cha Demokrasia,
Bwana Gwajima alishayaona ya mbeleni ya kwamba kwa kuwa hakuna alilowafanyia Wana Kawe lolote lile la msingi, kurudi kwake bungeni itamuwia vigumu sana, ukizingatia wakati akiwa bungeni, kanisa liliporomoka kwa kiasi fulani kwa sababu bunge na maslahi yake yalimtosheleza kwa kiasi kikubwa sana,
Sasa kwa kuwa upande wa bunge unakwenda kutamatika aliona ni vyema akaliimarisha kanisa kwa njia ya Kiki, ili kuvuta hisia za walio wengi ili hatimaye kanisa lipate nguvu upya! for next survival
#Hesabu zake ameziwahisha mapema mno!, muda ulikuwa bado sana!
#Intelegensia!
Bwana Gwajima alishayaona ya mbeleni ya kwamba kwa kuwa hakuna alilowafanyia Wana Kawe lolote lile la msingi, kurudi kwake bungeni itamuwia vigumu sana, ukizingatia wakati akiwa bungeni, kanisa liliporomoka kwa kiasi fulani kwa sababu bunge na maslahi yake yalimtosheleza kwa kiasi kikubwa sana,
Sasa kwa kuwa upande wa bunge unakwenda kutamatika aliona ni vyema akaliimarisha kanisa kwa njia ya Kiki, ili kuvuta hisia za walio wengi ili hatimaye kanisa lipate nguvu upya! for next survival
#Hesabu zake ameziwahisha mapema mno!, muda ulikuwa bado sana!
#Intelegensia!