Gwajima akitumia mafuta ya kutoa mapepo yanayotengenezwa na Sheikh Mwaipopo, yanaweza kumsaidia kutoa mapepo yanayomsumbua

Gwajima akitumia mafuta ya kutoa mapepo yanayotengenezwa na Sheikh Mwaipopo, yanaweza kumsaidia kutoa mapepo yanayomsumbua

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
20,725
Reaction score
31,305
Nashauri watu walio karibu na Gwajima wamshauri amuone Sheikh Mwaipopo amsaidie dawa ya kuondoa mapepo.

Sheikh huyu anauza mafuta ambayo yanasaidia kuondoa mashaitwani. Nina imani yanaweza msaidia Gwajima kwa tatizo hilo
 
Tumia akili basi, mwaipopo awatoe majini kwa kutumia majini?!
 
Nakuja kuichukua, bila kuivaa kichwani kama helmet Hua sikulombi vzr Mpaka ukojoe
Uko group moja la wasap na Boniphace Mwangi? Una dalili zote za kuwa punga
 
Back
Top Bottom