Bossie mtoto
Member
- Jul 6, 2020
- 85
- 12
Kwani tatizo ni nini , mnajuaje kama hio train haipo. Unafikiri kwamba kuninstall train and all the mechanics sio issue ya siku moja wana miezi 2 .
Kwani tatizo ni nini , mnajuaje kama hio train haipo. Unafikiri kwamba kuninstall train and all the mechanics sio issue ya siku moja wana miezi 2 .
Hata kama angeizindua ingepita wapi jaribu kufikiriaMkuu Train hio itakuwa ni ile iliyookotwa Bandarini, itakuwa aliuziwa yeye.
Ha ha ha mmeishiwa sera mmeanza matusi. Wewe ni mmoja wa misukule iliyofufuliwa na Gwajima?Anajiamini na kila anachokiongea si kama ni uongo ni mambo ambao tayar ameshayafanya
kwanza wewe ni nan hata uone anasema uongo kwendraaa katundike limoyo lako huko ukutani lijisemeshe huko