SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
Ha ha kwa kweli.Mkuu Train hio itakuwa ni ile iliyookotwa Bandarini, itakuwa aliuziwa yeye.
Usanii alianza zamani sana.Kumbe siasa alizianza kitambo sema alitumia mtindo tofauti. Ameamua kuweka mambo hadharani kuingia ulingoni kikamilifu.
Gwajima haaminiki.Mbona kama mnataka kutuambia ahadi zote tunazokaribia kusikiliza kutoka kwa mheshimiwa zitafanana na hii ya treni.......? ebu fungukeni basi
Tapeli haaminiki
Ndiyo maana yakeMbona kama mnataka kutuambia ahadi zote tunazokaribia kusikiliza kutoka kwa mheshimiwa zitafanana na hii ya treni.......? ebu fungukeni basi