Angeileta alafu itembee kwenye lami wakati mwingne utumie akili na uwe unafikiria kwanza
Wewe tuamia akili kidogo basi unaona kabisa reli ya umeme haijakamilika alafu unasema ahadi ya uongo hebu subiri reli ikamilike ndio uje upige polojo hapa
Yani na wewe mganga unamwita Gwajiboy ni tapeli? Wakati wewe ndio unawatapeli watu huko bagamoyo kwa uchawiTapeli haaminiki
Haamiki watu zaidi za elfu 70 wanamuamin wewe hata mkeo hakuamin nyambafu mmoja wewe
Tapeli mwenyewe anamtapeli hadi mama yakohuyo tapeli
Kwel Gwajima ni kiongozi anayehitajika kwa Jimbo kama kawe maana naona vile mnavyomuandama hata magufuli hamumfatili hivi hii inaonyesha Gwajima ndo kiongozi na ubunge wetu wa kawe nyie wenye chuki zenu na hofu yenu ya kupoteza ubunge hala haitawasaidia Gwajima anasonga mbele tena anaenda kwa kishindo na mwaka huu mtapata tabu sana nyie subirin tu 28 oct ndo mtaelewaGwaji anajiamini sana. Anaweza kusimama kanisani na kuongea uongo mkubwa tu.
Kwenye kila jambo watu wakiwa wanafanya wanaamini kwamba watafanikisha
Treni alishanunua bado uzinduzi na hafanyi kuwanufaisha watu ni ya kwake na anamaamuzi aitoe au asiitoe na hakuwa anaahidi ulisema kwasababu alitaka wanae wajue ikumbukwe ni baba wa kiroho na anawatoto wake na sio wananchi
Anajiamini na kila anachokiongea si kama ni uongo ni mambo ambao tayar ameshayafanyaGwaji anajiamini sana. Anaweza kusimama kanisani na kuongea uongo mkubwa tu.