Uchaguzi 2020 Gwajima adai Mdee alimuwekea vizuizi Magufuli kupeleka maendeleo Kawe. Je, inawezekana kweli?

Zee lilijiingizia amfifiro kupitia mlango wa nyuma sasa limechanganyikiwa akili.

Gwajima wafuasi wake wote vilaza, kupewa kugombea inaonyesha wazi akili za jiwe na wenzake, genge la washenzi tu.
Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yote tisa lakini kumi ni Gwajima anayefaa kuwa mwakilishi wa jimbo la kawe.

Basing on the sample size that we have ni Gwajima pekee anayeweza kutufaa wana Kawe.

Gwajima hazuiliki.
Nileteeeni Gwajimaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaàaaaaaaaaaa
Nileteeeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nileteeeeni gwajimaaaaaàaaaaaaaaaàaaaaàaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Askofu anayetumikia tumbo lake, anawezafanya lolote kikubwa ni haja yake tu. Anafufua watu lkn mamake alizika,kaongo sana haka kajamaa.
 
Katika mkutano wa kampeni unaoendelea hapo Kawe, mgombea wa Ubunge wa Kawe kupitia CCM, Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima amesema jambo fulani la kushangaza...
Yaan ni aibu tupu kuwa MTANZANIA maana unafanywa zwazwa hata km utaki na hurusiw kujibu
 
Namnukuu “Rais Magufuli umenishangaza kwenye mambo uliyofanya Kawe hali ukijua ilikuwa ni jimbo la chama cha upinzani

Sheria ipi inakataza kuwa jimbo la upinzani halipaswi kupewa maendeleo?Hivi Gwajima ni doctor(PhD) au huwa anajiita tu ni doctor?
Mgombea uraisi na mkiti wa CCM amekuwa akiyasema hayo hadharani. Watanzania wakichagua mbunge, diwani asiye CCM hawapalekei maendeleo.

Tusisahau ile clip yake Gwaji-porn-boy iliyokuwa inasisitiza inahamasisha ukabila.

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Kwani pale JPm anapotaka bajeti yake ipitishwe bungeni ili ikafanye kazi majimboni alafu Mdee anakataa kuipitisha huoni hapo ni kizuizi?
Tupe evidence mzee. Unajua ukiongea kupinga bajeti husemi kipengele gani na sababu ni nini. Wapinzani hua hawapingi maendeleo ila wanajaribu kuangalia mbele zaidi kwa maendeleo ya watanzania wote
 
Katika mkutano wa kampeni unaoendelea hapo Kawe, mgombea wa Ubunge wa Kawe kupitia CCM, Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima amesema jambo fulani la kushangaza...
Hizo ndo zinaitwa cheap politics. Rais azuiwe na mbunge kuleta maendeleo. Kweli?
 
Mkuu JOKAKUU HESHIMA YAKO.

Alafu ndo mtu pekee ambaye CHADEMA walimtegemea katika USHENGA uleee ha ha ha ha TANZANIA UBARIKIWE NA USIVURUGWE.

Huyo jamaa ni mtafuta fursa.

Wakati ule fursa ya ushenga ilikuwa imejitokeza na yeye akaichangamkia.

CCM ina watu wengi sana wenye heshima zao, na wenye weledi, wangeweza kugombea jimbo la kawe, kuliko kumsimamisha Askofu tapeli.
 
Back
Top Bottom