harakati za siri
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 983
- 2,660
Leo tunasikiliza uongo mwanzo mwisho
Kwa sababu CCM yenyewe ni ya wajingaKwanini ccm inaamini watanzania ni wajinga?
Kwa hiyo kuna budget ambayo imewahi kukwama kupitishwa sababu ya Mdee? Acha upumbavuKwani pale JPm anapotaka bajeti yake ipitishwe bungeni ili ikafanye kazi majimboni alafu Mdee anakataa kuipitisha huoni hapo ni kizuizi?
Ccm hawana namna ya kumbeba Gwajima. Na Mungu pia hatambeba! Take my wordKuna wakati unaweza kushindwa kuwaelewa waumini wa huyu mzee.
Kwani pale JPm anapotaka bajeti yake ipitishwe bungeni ili ikafanye kazi majimboni alafu Mdee anakataa kuipitisha huoni hapo ni kizuizi?
Ccm hawana namna ya kumbeba Gwajima. Na Mungu pia hatambeba! Take my word
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Umesahau mdee aligomea bajeti zote tano au wewe kipofuKatika mkutano wa kampeni unaoendelea hapo Kawe, mgombea wa Ubunge wa Kawe kupitia CCM, Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima amesema jambo fulani la kushangaza...
wajinga kumbe wapo wengiKwani pale JPm anapotaka bajeti yake ipitishwe bungeni ili ikafanye kazi majimboni alafu Mdee anakataa kuipitisha huoni hapo ni kizuizi?
Nadhani Gwaji naye ni Majnun/Saa Mbovu (in Majuto's Voice)! Ujenzi gani wa hoja huo? Ataweza kujenga hoja Bungen kweli Kwa ushawish wa kitoto kama huu??Hivi unaona akili za GWAJIBOY zipo sawa kweli?
Na Kama kweli Mbunge kamvimbia Rais na Rais kashindwa kufanya Maendeleo Lisa Mbunge, basi Rais huyo Hafai mana ni Rais dhaifu.Yaani Mbunge amuwekee vishawishi Rais wa nchi?!
Hii ni akili ya Gwajima na wajinga wenzake wa CCM.
Mwanzoni nilikua nashangaa kwanini baadhi ya watu humu hushangilia misiba au matatizo ya maccm au kundi flani la watu, nikaja gundua kuwa uonevu huzaa chuki na visasi kwenye mioyo ya watu. Unamcheka anayepigwa na polisi leo, kesho usitegemee akaja kulia kwenye msiba wako.Wapigakura wengi wako mtaani hawamo humu kwenye mitandao!
Gwajima hazuiliki!
Mkuu JOKAKUU HESHIMA YAKO...Ndio anazidi kujiharibia.
..Anajiita Askofu halafu anasema uongo wa waziwazi.
Katika mkutano wa kampeni unaoendelea hapo Kawe, mgombea wa Ubunge wa Kawe kupitia CCM, Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima amesema jambo fulani la kushangaza.
Namnukuu “Rais Magufuli umenishangaza kwenye mambo uliyofanya Kawe hali ukijua ilikuwa ni jimbo la chama cha upinzani.
Pamoja na kwamba ilikuwa ngumu kuwaletea maendeleo watu wa Kawe kutokana na vizuizi ulivyowekewa na Mbunge aliyekuwepo, ulitafuta njia mbadala ya kuwafikishia maendeleo”
Hivi hilo linawezekana? Yaani Serikali iamue kufanya jambo fulani halafu Mbunge aweke kizuizi?
Gwajima hana kosa wajameni hata rais mwenyewe kasema Halima alimzuia kutoa sehemu ya ardhi kwaajili ya wananchi wa Kawe hata kushindwa kutoa mikopo kwa kina mama, vile vile mafuriko ya jana Kawe yalitokana na Halima kutowajibika kama mbunge.Ndio mana Mimi huwa siendi makanisani, maana ni kwenda kubeba dhambi za waovu kama kina gwajiboy,ni bora ushinde bar utaiingizia nchi mapato kuliko huko kwa wanaojiita watumishi
Hukumbuki tamko la Ndugai kuhusu uwezo wa mbunge anaeitajika na ccm?Nadhani Gwaji naye ni Majnun/Saa Mbovu (in Majuto's Voice)! Ujenzi gani wa hoja huo? Ataweza kujenga hoja Bungen kweli Kwa ushawish wa kitoto kama huu??
Na wewe unaamini kabisa kwa dhati kuwa mbunge mmoja wa upinzani alizikosesha bajeti kupita?Kwani pale JPm anapotaka bajeti yake ipitishwe bungeni ili ikafanye kazi majimboni alafu Mdee anakataa kuipitisha huoni hapo ni kizuizi?