GURUMO KUSTAAFU KUIMBA:Hana hata baiskeli

GURUMO KUSTAAFU KUIMBA:Hana hata baiskeli

BONGOLALA

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2009
Posts
16,511
Reaction score
11,913
Mwimbaji mkongwe wa muziki tanzania ametangaza kustaafu na kuomba wananchi wamchangie chochote kwani hana hata baiskeli!Ikumbukwe huyu mzee amekua akitumiwa na ccm katika sherehe mbalimbali na kuambulia tshirt na kofia!
 
Kwa nini wananchi wamchangie yeye? Wananchi watachangia wangapi? Miaka yote alivyokuwa anafanya kazi hakujua kwamba kuna kustaafu?
 
wakati wa ukana wangu mimi baba yenuuu...shati dukani shilingi sita unapata,kwa sasa hivi shilingi sita hata mkate hupatiii.kwa hiyo wanangu tuishi kulingana na nafasi.
 
Mwimbaji mkongwe wa muziki tanzania ametangaza kustaafu na kuomba wananchi wamchangie chochote kwani hana hata baiskeli!Ikumbukwe huyu mzee amekua akitumiwa na ccm katika sherehe mbalimbali na kuambulia tshirt na kofia!


Mambo unayoyafanya huko ulikoo nimeshasikia...
Nimefahamu lengo lakoo nieleze tunachogombania...
kama ni kipato chatokanaa na bidii zangu...

Mulenga
 
Hapa kwa wale wenye mapenzi mema na
uwezo wanao wamchangie Ngurumo
maana mpaka anasema ni kwamba hana
kitu pia na haya maradhi yanayomkabili.

Lawama kwasasa hazisaidii ni kama vile
Mtumishi wa Umma/Sekta binafsi hujiandai
ukijivunia mafao ya Uzeeni mfano kwasasa
Aliyeko PSPF/LAPF anaweza mcheka yule mtu

Aliyeko GEPF/NSSF n.k kwakuwa huko eti
hakuna mafao mazito kwasasa ingawa
mafanikio ama maisha mazuri yanatokana
na mtu.

Tumsaidie Mzee wetu maana Uzee ni fahari
pia Mungu ndiyo anakupa hatua hiyo.
 
walivyokua wanabadili dada zetu kila siku na kula bata walidhan tunafurai....... faida yake ndio ii angewekeza kwenye maisha haya yasingemkuta...
 
Duh ila mzee katumika sana kimuziki.basi tu hana bahati,wanakuja kina ally choki na chaz babs sijui wanamuacha mbaaali kimapato wakati mzee kapigika jukwaani miaka karibia 50.
 
Mambo unayoyafanya huko ulikoo nimeshasikia...
Nimefahamu lengo lakoo nieleze tunachogombania...
kama ni kipato chatokanaa na bidii zangu...

Mulenga

"Wakati wa ujana wangu mimi baba yenu,
Shati dukani shilingi sita unapata, kwa hivi sasa shilingi sita, hata soda hupatii.................
Upatapo pesa kimbilia benki upesi, nenda kazihifadhi pesa zako zitakusaidia baadae......"


Hii habari ya Maalim Gurumo, imenisikitisha sana kwa kweli!
 
Na wengine tujifunze kitu hapa. Uzee waja tusibweteke!
 
Kwani hapa alipewa nini? Si ndio palikuwa pa "kuchuma" kwake?

08.jpg
 
Kama hana hata baiskeli basi atakuwa na wake wa kutosha
 
Nilikuwa nauzuria sana shoo zake pale opposite na mliman city kabla haijajengwa,kuna mc mmoja hawapatani mpaka leo baada yakumkaribisha na kusema ,,namleta kwenu idd gurumo chongo,,mzee huyu alitukana sana akagoma na kuimba,,,ila kwa sasa huwa nakutana nae sana kituo cha garage kama unaenda ubungo,,mbona yupo smart tu.
 
Mwimbaji mkongwe wa muziki tanzania ametangaza kustaafu na kuomba wananchi wamchangie chochote kwani hana hata baiskeli!Ikumbukwe huyu mzee amekua akitumiwa na ccm katika sherehe mbalimbali na kuambulia tshirt na kofia!
Aache kujidhalilisha, watu tumchangie wakati tulikua tunaingia mziki kwa hela! Huo mziki ulikua kwake kazi, wako wastaafu wengi wako hoi kuliko yeye. Niliwahi kumsikia akisema muziki umemsaidia kujenga nyumba na mengine mengi. Asijilinganishe na hawa watoto wauza unga chini ya kivuli cha muziki. 'Ngurumo tunakuheshimu, wewe ni baba wa muziki wa dansi tanzania chunga heshima yako'.
 
Back
Top Bottom