Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,047
- 143,005
Huu uzi unaweza kupigwa ban leo hii hii.
Walichonifurahisha hawa jamaa wamewafuata wahusika wakuu ofisini kwao hawakutaka kuwafuata majumbani kwao wangewauwa wasiyokuwa na hatia.Na wale Yazid wanaouawa na Islamic state kule Iraq kwa maagizo ya makamu mtume wenu?
Ajabu sana,watu hadi wana RPG, katikati ya paris?
Walichonifurahisha hawa jamaa wamewafuata wahusika wakuu ofisini kwao hawakutaka kuwafuata majumbani kwao wangewauwa wasiyokuwa na hatia.
Na wale Yazid wanaouawa na Islamic state kule Iraq kwa maagizo ya makamu mtume wenu?
Walichonifurahisha hawa jamaa wamewafuata wahusika wakuu ofisini kwao hawakutaka kuwafuata majumbani kwao wangewauwa wasiyokuwa na hatia.
Haya nawasubiri uproar ya Wafaransa kote. Wajerumani wamepata sababu zaidi za kutowaruhusu hawa kupe huko kwao.
Acheni unafiki nyie watoto wa gaza wanavyopigwa mabomu, watoto wa Libya wanapigwa makombora mbona uwa mpo kimya, walichofanya hao gunmen ni sawa kabisa.
Ndugu Elu eee... haijalishi waliyomo na wasliyesepa Muhimu ujumbe umefika na risala imesomeka " Msg sent " unakumbuka?Aliyechora catoon mwanzo mwaka 2005 ikazua mtafaruku ni mdanish,hawa wa charlie hebdo waliiga na wakawa wanachora mara kwa mara,hakuwepo mtu maalumu kwa kuchora katuni za kashifa kwa waislamu,karibu wote wakichora.
Ahssssssaantee Risala imefika !! Message sent !! Leo ni Black January.... hukoooPunguzeni ukali wa maneno wakuu,mtaniulia uzi.
kauzi kenyewe ndo hakahaka nakategemea.
You should ask Hamas and not the French "people".Acheni unafiki nyie watoto wa gaza wanavyopigwa mabomu, watoto wa Libya wanapigwa makombora mbona uwa mpo kimya, walichofanya hao gunmen ni sawa kabisa.
Mbona kuna wafaransa wengi tu tena wakuzaliwa Waislam achilia mbali waliosilimu wewe kapuku matumbi unasikia wivu.Ndio maana Ufaransa wanakoma kwa kukaribisha Virus nchini mwao
Mbona kuna wafaransa wengi tu tena wakuzaliwa Waislam achilia mbali waliosilimu wewe kapuku matumbi unasikia wivu.
ReliAcha uongo wewe nani kakwambia hizo statistics.....