KK, Kuwa mtu mwenye kutamakin (control emotion zako) FYI, kwa muislam aliye wa kweli na HAKI hawezi kuuficha Mapenzi yake/yetu kwa Mtume Muhammad SAW, wala hatuwezi mpotosha Mtume, kiongozi,Mwalimu wetu Muhammad SAW !!
Mwisilam hajifichi anakabiliana na chochote kinachohusu IMANI yake !! (hajali mali wala uhai wala urembo wa dunia) !!
Japo mnajaribu sana kutukejeli, kuktutukan kutuProvok, nk, na mengi yasiyo na faida NOTHING YOU CAN CHANGE au hata wakuu wa NCHI zote Duniani wakipandikiza chuki au wakitupaka matope siye Msimamo wetu hautatereka au kubadilika juu ya Mafunzo ya L habibu Muhammad SAW. (period)
Back to the Topic:- Al-Baghdadi hakujificha, alijitangaza openly na kwa kupituia viombo vya habari vyote uvijuavyo !! AU NIKUTAJIE ?!! Na kama urtetezi wa L Habibu Muhammad mbona waiSilamu wote tuna mtetea full time.... nijambo la kawaida kwetu bila nong'wa wa staha, tupo wazi kbs.!!
Ndugu KK, wewe badilisha mtazamo unaoshadidia mara kwa mara na utazame HAKI na UKWELI inapohitajika. Imani yako mwenyewe ina simama justice !!