Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Status
Not open for further replies.
Huwa sipendi kushiriki ktk mijadala hii lakini kwenye RED ndo kuna tatizo, Irani ambayo nafikiri wengi wenu mnasema mnataka iwe Islamic power ilituma wanajeshi kule Iraq kumsaka na mmoja wa Majenerali wake aliuwa huko hivi karibuni! ( Iranian General Reportedly Killed By ISIS Sniper In Northern Iraq : The Two-Way : NPR ) Sasa kama wote mnamtetea mbona Iran taifa la kiislamu linamsaka kumuua? Ama nao wamedanganywa na Marekani wakadanganyika (maana wenzetu kwa visingizio na kulalamika hamjambo). Sasa naelewa kwa nini watu wanadai kuwa kuna hatari na kuanza kuchukua hatua. Kama unajua lugha ya kiingereza soma maoni haya ya 'Patriotic Europeans against the Islamization of the West' protest in Dresden
Ukiwa na fikra ndogo sana na kama wewe siyo mtu wakufanya tafiti utapata shida sana adi utakapo ondoka ndani ya dunia vikundi vyote vyakigaidi wasisi wake ni hao hao ila kwa sababu akili zetu hazifanyi tafiti tutachukiana na kuuwana wenyewe kwa wenyewe wenye kutuendesha wakiwa wanashangilia kimya kimya !!
 
Nazumgumzia waandishi wa Charlie Hebdo.
Aliyechora catoon mwanzo mwaka 2005 ikazua mtafaruku ni mdanish,hawa wa charlie hebdo waliiga na wakawa wanachora mara kwa mara,hakuwepo mtu maalumu kwa kuchora katuni za kashifa kwa waislamu,karibu wote wakichora.
 
Wazungu watakuja kuwafanya kitu kibaya hawa waarabu, uwajui wazungu wewe, utashangaa wanaanza kuzaa vilema

Wazungu kweli hawana maana.

Hata walipokuja kuchukua babu zetu kama watumwa huko ghana walikuja na meli imeandikwa jesus.

Ndiyo huyo huyo anaitwa mungu.

Wazungu wa hovyo sana.
 
Na hii ndio tofauti kuu,kati ya uslam na imani zingine.

Leo watu wanafurahi na kuona ni sawa tu.
 
Mkuu Mpendwa FYI, ENERGY (gas) na Mafuta ya wa Faransa inatokea ALGERIA..... WA Faransa walikuwa waKoloni arabu kw amiaka zaidi 200...... Raisi Mkimbizi wa UFaransa SARAKOSY ndiyo aliyetumwa amuondoe COL. Muammar Gaddaffi wa LIBYA !! inasemekana idadi ya waarabu waliopo Faransa ni 35% na waAfrika 25% ktk population ya nchi nzima, Na Uisilamu ni dini ya pili humo na ukuaji wake ni fasta !!

Hivyo hao hawakuona jambo lingine isipokuwa kuwabagua na kuwa kandamiza kiSikolojiya ?!! Maboso

Acha uongo wewe nani kakwambia hizo statistics.....
 
Last edited by a moderator:
Huwa sipendi kushiriki ktk mijadala hii lakini kwenye RED ndo kuna tatizo, Irani ambayo nafikiri wengi wenu mnasema mnataka iwe Islamic power ilituma wanajeshi kule Iraq kumsaka na mmoja wa Majenerali wake aliuwa huko hivi karibuni! ( Iranian General Reportedly Killed By ISIS Sniper In Northern Iraq : The Two-Way : NPR ) Sasa kama wote mnamtetea mbona Iran taifa la kiislamu linamsaka kumuua? Ama nao wamedanganywa na Marekani wakadanganyika (maana wenzetu kwa visingizio na kulalamika hamjambo). Sasa naelewa kwa nini watu wanadai kuwa kuna hatari na kuanza kuchukua hatua. Kama unajua lugha ya kiingereza soma maoni haya ya 'Patriotic Europeans against the Islamization of the West' protest in Dresden
Ndugu Baffallo/Nyati...Unakurupuka...tuliiia Mkuu kwa sababu hujaelewa post yangu!! Kwa kuwa umejaa ndani mwako "sijui umejaa nini" Lakini nitakuhakikishia kuwa hapo red nili maanisha utetezi wa L habib Muhammad SAW !! (soma vizuri) Hata hao Ma EUROz hawajui wakitakacho na hawataweza kufanikisha lolote kwa makusudio yao "ipo nje ya uwezo wao" Heshima kwako na kwa mankind wote waishi kwa kuheshimiana !!
 
The world is not fair and will never be fair. Tunakoelekea haya mambo yatazidi kuongezeka
 
Yule jamaa aliyemchora Mtume Muhammad nasikia alikuwa hayupo ofisini.

Usijali kamanda wangu tutamrudia tu, uhuru wa habari na uhuru wa kila kitu, angalia watavyotokwa povu hapo
 
One of the gunman was talking in russian.
this could be ISIS operation.
 
Naangalia Aljazeera hapa, wanasema wachora katuni wanne wamefariki pamoja na mhariri wao.
Safi sana! Hicho ndicho kilipo cha Kafiri,na hiyo ndio lugha wanayoielewa vzri.
 
Al Bagdad anasema baada ya Mtume Mohammed yeye ndie kiongozi wa Waislam dunia nzima, yaani ni makamu Mtume. Utaki unaacha , maana jamaa wakaona wavamie pale ili kumtetea makamu mtume
Papa pia katika itikadi ya kanisa anamwakilishisha Yesu. Sasa tafakari yale yanayofanyika Holy see. Utaki unaacha. Papa ni makamu Yesu.
 
Acheni unafiki nyie watoto wa gaza wanavyopigwa mabomu, watoto wa Libya wanapigwa makombora mbona uwa mpo kimya, walichofanya hao gunmen ni sawa kabisa.

Na wale Yazid wanaouawa na Islamic state kule Iraq kwa maagizo ya makamu mtume wenu?
 
Papa pia katika itikadi ya kanisa anamwakilishisha Yesu. Sasa tafakari yale yanayofanyika Holy see. Utaki unaacha. Papa ni makamu Yesu.

Papa ni mwandamizi wa Petro mwanafunzi wa Yesu aliefia pale vatican, ndio maana Papa wa kwanza ni Petro. Tafuta kwenye mtandao uulize, who is the first Pope utapata habari yako
 
Usijali kamanda wangu tutamrudia tu, uhuru wa habari na uhuru wa kila kitu, angalia watavyotokwa povu hapo
Wameuwa waandishi wanne na polisi wanne na muhariri mkuu Stephane Charbonnier safi sana.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom