Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Status
Not open for further replies.
Ajabu sana,watu hadi wana RPG, katikati ya paris?

Ni ajabu kweli.Jana France president si alitaka kubomb militia waliopo Libya boarders lakini Libya govt ikakata?Libya govt inataka msaada KWA Arab league au UN na siyo westerners intervention!!Ukisikiliza maanalyst Wanasema Arab league cannot help and westerners intervention will make things worse.
Hizo cartoons ni very provocative anyway.
 
watu wakipewa uhuru wa vyombo vya habari wanautumia vibaya...kuwa tolerant ni pamoja na kuheshimu imani ya mwenzako...hata humu wamo wengi tu wanajidai dini za wenzao wanazijua zaidi ya wenye dini zao...

hakuna justification ya mauaji ila wasipoangalia chanzo huu utakuwa ni mwanzo tu...serikali nyingi hasa za western ukimtusi mbaya wao wanasema freedom of speech and expression...haya watajua kama ni freedom or not...
 
Sijaona tatizo hapo ikiwa wanajeshi wa kifaransa wanafanya mashambulizi kwenye nchi za kiarabu kwanini na wao wasishambuliwe......jino kwa jino.............

Kweli mkuu leo tuko pamoja. Ufaransa imekuwa kimbilio la Waarabu siku nyingi, wacha wavune walichokipanda, wajifunze kwa waandamanaji wa Ujerumani
 
Al Bagdad anasema baada ya Mtume Mohammed yeye ndie kiongozi wa Waislam dunia nzima, yaani ni makamu Mtume. Utaki unaacha , maana jamaa wakaona wavamie pale ili kumtetea makamu mtume
KK, Kuwa mtu mwenye kutamakin (control emotion zako) FYI, kwa muislam aliye wa kweli na HAKI hawezi kuuficha Mapenzi yake/yetu kwa Mtume Muhammad SAW, wala hatuwezi mpotosha Mtume, kiongozi,Mwalimu wetu Muhammad SAW !!
Mwisilam hajifichi anakabiliana na chochote kinachohusu IMANI yake !! (hajali mali wala uhai wala urembo wa dunia) !!

Japo mnajaribu sana kutukejeli, kuktutukan kutuProvok, nk, na mengi yasiyo na faida NOTHING YOU CAN CHANGE au hata wakuu wa NCHI zote Duniani wakipandikiza chuki au wakitupaka matope siye Msimamo wetu hautatereka au kubadilika juu ya Mafunzo ya L habibu Muhammad SAW. (period)


Back to the Topic:- Al-Baghdadi hakujificha, alijitangaza openly na kwa kupituia viombo vya habari vyote uvijuavyo !! AU NIKUTAJIE ?!! Na kama urtetezi wa L Habibu Muhammad mbona waiSilamu wote tuna mtetea full time.... nijambo la kawaida kwetu bila nong'wa wa staha, tupo wazi kbs.!!
Ndugu KK, wewe badilisha mtazamo unaoshadidia mara kwa mara na utazame HAKI na UKWELI inapohitajika. Imani yako mwenyewe ina simama justice !!
 
Kweli mkuu leo tuko pamoja. Ufaransa imekuwa kimbilio la Waarabu siku nyingi, wacha wavune walichokipanda, wajifunze kwa waandamanaji wa Ujerumani

Mkuu Mpendwa FYI, ENERGY (gas) na Mafuta ya wa Faransa inatokea ALGERIA..... WA Faransa walikuwa waKoloni arabu kw amiaka zaidi 200...... Raisi Mkimbizi wa UFaransa SARAKOSY ndiyo aliyetumwa amuondoe COL. Muammar Gaddaffi wa LIBYA !! inasemekana idadi ya waarabu waliopo Faransa ni 35% na waAfrika 25% ktk population ya nchi nzima, Na Uisilamu ni dini ya pili humo na ukuaji wake ni fasta !!

Hivyo hao hawakuona jambo lingine isipokuwa kuwabagua na kuwa kandamiza kiSikolojiya ?!! Maboso
 
Last edited by a moderator:
Dah!

Nimetoka kuangalia Sky News na wameonyesha jinsi jamaa walivyomuua askari polisi kwenye pavement (ingawa wamei-blur shooting yenyewe lakini picha unaipata).
 
Walidhani Panya-Rodi Shenzi type ...liwe na liwe !! yaliwakuta wa Japani (Nagasaki na Hiroshima) itakuwa Waarabu....

Gunmen have attacked the Paris office of French satirical magazine Charlie Hebdo, killing 12 people and injuring seven in an apparent Islamist attack.
 
Watu 12 wauawa wakiwemo police 4 na wachora katuni wa nne akiwemo editer



Deadly attack on satirical magazine in Paris


Armed men have attacked a French satirical magazine based in Paris, killing at least 12 people, including four cartoonists and two policemen, police officials have said.

Xavier Castaing, head of communications for the Paris police prefecture, confirmed the deaths on Wednesday.

Charlie Hebdo has drawn repeated threats for its caricatures of the Prophet Mohammed, among other controversial sketches.
Get Flash Player
Anne Giudicelli, the Founder of Terrorisc, a Consultancy on Security Risk, talks to Al Jazeera from Paris on the incident

The lawyer of the magazine confirmed that four cartoonists working with the publication, including the publisher Stephane Charbonnier, known as 'Charb', were among the dead.

The cartoonists known as Cabu, Tignous and Wolinski were also killed in the attack, AFP news agency quoted a judicial source as saying.

Al Jazeera's Jacky Rowland, reporting from the French capital, said journalists and cartoonists reported several masked men dressed in black entering the building who then began to fire with automatic weapons.

"Some journalists took refuge on the roof," Rowland said.

"Charlie Hebdo has pushed boundaries in the past, and continues to challenge the idea of censorship."

President Francois Hollande, speaking outside the office of the magazine, described the attack as having been carried out by barbaric people.

"This is an attack on free speech." he told reporters. "No one can harm the spirit of this country which is this newspaper".

Rowland said that a terrorism alert has been raised to its highest level in the wake of the attack.

The magazine tweeted a cartoon of Abu Bakr al-Baghdadi, the leader of the Islamic State in Iraq and the Levant (ISIL) group, minutes before the attack.

Benoit Bringer, a journalist with Agence Premiere Ligne who saw the attack, told the iTele network he saw several masked men armed with machine guns.

Hollande has held a cabinet meeting at Elysee Palace over the incident on Wednesday.

SOURCE: Al Jazeera
 
Haya nawasubiri uproar ya Wafaransa kote. Wajerumani wamepata sababu zaidi za kutowaruhusu hawa kupe huko kwao.
 
Charlie Hebdo is a French satirical weekly newspaper which has been running from 1969.
The Paris offices were firebombed in 2011 and its website was hacked after the newspaper published a cartoon making jokes about Muslim leaders.
It also angered some Muslims after publishing a series of satirical cartoons including a caricature of the Prophet Mohammed on its cover in September 2012.
At the time the newspaper defended its actions saying: "We do caricatures of everyone.

among the dead are cartoonists Cabu, Charb, Tignous, & Wolinski and apparently thy were the backbone of Charlie Hebdo. This is to say: the terrorists have killed Chatlie Hebdo.
Word is that the attack was timed with press time for the mag, waiting for all to be at the office.
 
Mkuu Mpendwa FYI, ENERGY (gas) na Mafuta ya wa Faransa inatokea ALGERIA..... WA Faransa walikuwa waKoloni arabu kw amiaka zaidi 200...... Raisi Mkimbizi wa UFaransa SARAKOSY ndiyo aliyetumwa amuondoe COL. Muammar Gaddaffi wa LIBYA !! inasemekana idadi ya waarabu waliopo Faransa ni 35% na waAfrika 25% ktk population ya nchi nzima, Na Uisilamu ni dini ya pili humo na ukuaji wake ni fasta !!

Hivyo hao hawakuona jambo lingine isipokuwa kuwabagua na kuwa kandamiza kiSikolojiya ?!! Maboso

Ukuaji huo ni kutokana na idadi kubwa ya wakimbizi wa kiarabu ambayo ufaransa inakubali kuwapokea na siyo kutokana na watu kubadili dini. Ni bahati mbaya kuwa kati ya hao wakimbizi asilimia kubwa ni wahalifu (REO NATO) . Ndio maana at times baadhi ya nchi zinawaacha wafie baharini
 
Last edited by a moderator:
Siasa kali Inasemekana wamevamia Newsroom na kuua waandishi wa habari 10 na askari 2.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom