Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Status
Not open for further replies.
waarabu utumwa hawakuanza leo

wameanza miaka na miaka tokea zama hizo

infact uislam ulipokuja na mtume muhammad ndipo ukapiga abolition of slave trade

miongoni mwa fundamentalintal principles of islam ni kupinga huo utumwa

i think unachanganya jambo moja baina ya uarabu na waislam

what you dont know ni kwamba wapo waarabu weengi sana,tena sana ambao ni waumin wa dini zingine ikiwemo na hiyo christianity

kama waarabu hao tuseme weengi walishiriki kwenye huu utumwa wa kuwachkua wazee wetu iweje leo tuwaone wamejaza huko usa jamaica,carribean islands na kwingineko??

Tena walichukuliwa na maneno yaliyoandikwa jesus kabisa kwenye hizo meli zao??

Au umeisahau ile ngome ya yesu??fort jesus ya kule mombasa??

Nayo ile imejengwa na waarabu au waislam kma usemavyo si ndiyo??

Upo ushahid wa moja kwa moja jins bible ilivyotumika kulaghai babu zetu ili kuwapeleka utumwani

yet bado unawakumbatia tuh

Bora kwenye kwenye nchi hizo bado kuna mabaki ya hao watumwa. Watumwa wote walipelekwa uarabuni kutokea Zanzibar walipofika Uarabuni waka hasiwa, walipozeeka wakauawa. Ndio maana mpaka leo uarabuni watu weusi hawaonekani, unadhani walienda wapi?
 
waarabu utumwa hawakuanza leo

wameanza miaka na miaka tokea zama hizo

infact uislam ulipokuja na mtume muhammad ndipo ukapiga abolition of slave trade

miongoni mwa fundamentalintal principles of islam ni kupinga huo utumwa

i think unachanganya jambo moja baina ya uarabu na waislam

what you dont know ni kwamba wapo waarabu weengi sana,tena sana ambao ni waumin wa dini zingine ikiwemo na hiyo christianity

kama waarabu hao tuseme weengi walishiriki kwenye huu utumwa wa kuwachkua wazee wetu iweje leo tuwaone wamejaza huko usa jamaica,carribean islands na kwingineko??

Tena walichukuliwa na maneno yaliyoandikwa jesus kabisa kwenye hizo meli zao??

Au umeisahau ile ngome ya yesu??fort jesus ya kule mombasa??

Nayo ile imejengwa na waarabu au waislam kma usemavyo si ndiyo??

Upo ushahid wa moja kwa moja jins bible ilivyotumika kulaghai babu zetu ili kuwapeleka utumwani

yet bado unawakumbatia tuh

Bado unaendelea kujitoa ufahamu eeeh, hivi Mohammed alimpinga lini utumwa. Yeye mwenyewe alioa watumwa, yeye adie master. Ebu soma hii verse

"Forbidden to you are...married women, except those you own as slaves." (Surah 4:20-, 24-)


Surah 4:24-Slavery allowed in islam
Sahih International
And [also prohibited to you are all] married women except those your right hands possess[Slaves]. [This is] the decree of Allah upon you. And lawful to you are [all others] beyond these, [provided] that you seek them [in marriage] with [gifts from] your property, desiring chastity, not unlawful sexual intercourse. So for whatever you enjoy [of marriage] from them, give them their due compensation as an obligation. And there is no blame upon you for what you mutually agree to beyond the obligation. Indeed, Allah is ever Knowing and Wise.
 
Iko siku nitaingia mtaani kupinga udhalilishaji huu zidi ya wakristo, Inakuwaje Mohammed aseme Wakristo wanaliwa Tigo?

Surah 9:30
Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!
 
Bora kwenye kwenye nchi hizo bado kuna mabaki ya hao watumwa. Watumwa wote walipelekwa uarabuni kutokea Zanzibar walipofika Uarabuni waka hasiwa, walipozeeka wakauawa. Ndio maana mpaka leo uarabuni watu weusi hawaonekani, unadhani walienda wapi?
dogo watu weusi uarabuni wanaheshimiwa na wanapata haki zao kama kawaida, unadhani hizo ni nchi za kikristo weusi wanabaguliwa. Umeisha enda uarabuni ukatazama kama watu weusi hawapo? Ukristo ni ukosefu wa akili jamani:A S wink:
 
Mchoro wa Mudy akiwa na mtoto wa miaka 6, mke wake huyo

Z

images

Makafiri wenzio wanaombeleza Ulaya yote !
 
Bora kwenye kwenye nchi hizo bado kuna mabaki ya hao watumwa. Watumwa wote walipelekwa uarabuni kutokea Zanzibar walipofika Uarabuni waka hasiwa, walipozeeka wakauawa. Ndio maana mpaka leo uarabuni watu weusi hawaonekani, unadhani walienda wapi?
Wapo machotara bana,hasa oman .na wala watumwa hawakwenda kwa wingi sana huko kwani ni jangwa hakuna mashamba wala hapakuwa na viwanda,sasa wangeenda kufanya nini?
 
Bado unaendelea kujitoa ufahamu eeeh, hivi Mohammed alimpinga lini utumwa. Yeye mwenyewe alioa watumwa, yeye adie master. Ebu soma hii verse

"Forbidden to you are...married women, except those you own as slaves." (Surah 4:20-, 24-)


Surah 4:24-Slavery allowed in islam
Sahih International
And [also prohibited to you are all] married women except those your right hands possess[Slaves]. [This is] the decree of Allah upon you. And lawful to you are [all others] beyond these, [provided] that you seek them [in marriage] with [gifts from] your property, desiring chastity, not unlawful sexual intercourse. So for whatever you enjoy [of marriage] from them, give them their due compensation as an obligation. And there is no blame upon you for what you mutually agree to beyond the obligation. Indeed, Allah is ever Knowing and Wise.

Usiumize kichwa sana Kakende bin Kipumbu ! Zamani 'prisoner of war' ndio walikuwa wanageuzwa watumwa. Hata Waisraeli walikuwa watumwa katika Taifa la watu weusi (misri).
Kwa sasa utumwa umepewa jina la kiistarabu: Human Trafficking !
Wakati wa Mtume Muhammad SAW ukisilimu na kuingia katika Uislaam kama wewe ni mtumwa, utumwa wako unaisha moja kwa moja !
 
Last edited by a moderator:
Gunmen walikuwa watatu kila mmoja akifanya jukumu lake walivyomaliza kazi yao waliondoka taratibu katikati ya Jiji la Paris, ingekuwa Tanzania tungesema panya road hao.

Hawa jamaa ni zaidi ya comandoo, mmoja iliingia news room, kile kitendo cha kuwajua hawa ndio wachora katuni nimechoka, pale pulikua na watu wengi lakini wakadili na wachora katuni na editor wao basi, wawili wakawa wanaangalia usalama wa nje, wakafanya yao na wakaondoka salama salimini,.

Hollande anahaha kuwataja wasiokuepo, jamaa mmoja amejisalimishi baada kuona jina lake na wala hahusiki.
 
Iko siku nitaingia mtaani kupinga udhalilishaji huu zidi ya wakristo, Inakuwaje Mohammed aseme Wakristo wanaliwa Tigo?

Surah 9:30
Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!
Tatizo mmeisha zowea kanisani kuliwa matigo, ndio unadhani Prophet Muhammad ana mawazo kama yenu. Lugha inakupiga chenga na wakati ni lugha yako hapo, kweli ukristo ni ukosefu wa akili.
 
Bora kwenye kwenye nchi hizo bado kuna mabaki ya hao watumwa. Watumwa wote walipelekwa uarabuni kutokea Zanzibar walipofika Uarabuni waka hasiwa, walipozeeka wakauawa. Ndio maana mpaka leo uarabuni watu weusi hawaonekani, unadhani walienda wapi?

Wagalatia uongo kwenu ni mbolea ! Watumwa ilikuuwa ni biashara ya Dunia na mpaka Kanisa lilifanyua udalali, na wote waliishia Ulayua na Amerika. Uarabuni hakuna mashamba uya miwa, tumbaku au Katani na pamba !
 
[h=1]Charlie Hebdo massacre: New police killing rocks Paris[/h]

A gunman has killed a policewoman in Paris, a day after suspected Islamists killed 12 people at the office of a satirical magazine.
A second person was seriously injured in the attack in the southern suburb of Montrouge, after which the gunman fled.
It is unclear of the incident is related to the Charlie Hebdo massacre, which traumatised France.
Police have made seven arrests in the hunt for two brothers, the main suspects,. A third has surrendered.
Arrest warrants were issued for Cherif and Said Kouachi, said to be "armed and dangerous". France has declared national mourning for the victims of the Charlie Hebdo attack.
A minute's silence will be observed at midday (11:00 GMT) across the country and the bells of Notre Dame cathedral in the capital will toll.
 
Ndio maana niliwahi kusema hapa kuwa..sio rahisi kwa Russia kujenga urafiki wa kudumu na jamhuri ya kiislamu ya Iran. Labda China.
Kama ilivyo tete mahusiano kati ya USA na Saudis kingdom na overall Arabs nation ndivyo hali IPO hivyo kwa Russia. Soon or later watakuja korofishana tu.

Cc. FaizaFoxy Adiosamigo mgen Ishmael Elungata

Siasa haina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu. Kumbuka hilo.
 
Nani katika hao wachoroaji aliwahi kumuona Mtume Muhammad, hao wanachora baba zao, au babu zao wayahudi labda. Na we mwanamke nadhani unasumbululiwa na ugonjwa wa kutembea nusu uchi.

Wanawake wote wakikristo wanatembea nusu uchi, poleni sana. Hivi mtu akitembea nusu uchi, au uchi kabisa anakuwa mzima kweli. Hata miguu ya kike ya kuvutia hamna, afu mnataka kutembea nusu uchi hamuoni aibu, miguu emekaa kama ya nguruwe.

Wakitembea uchi wewe wanakuhusu nini au unatamani kuwa kama wao! Anza kuwaelimisha wanawake waliokuzunguka kuhusu mavazi hao wa barabarani usifikiri ni wazima wengine wako kwa biashara maana mwanamke aliyeyelewa kwenye maadili hawezi vaa uchi regardess ni mkristo au mwislamu.
 
Wakitembea uchi wewe wanakuhusu nini au unatamani kuwa kama wao! Anza kuwaelimisha wanawake waliokuzunguka kuhusu mavazi hao wa barabarani usifikiri ni wazima wengine wako kwa biashara maana mwanamke aliyeyelewa kwenye maadili hawezi vaa uchi regardess ni mkristo au mwislamu.
Hapana wanawake wakislam hawatembei uchi hao ni wakristo tu, na hakuna mwanamke wakikristo hatembei nusu uchi ukipata basi ni 1% tu ya wanawake wote wakikristo. Waislam vigumu kuona mwanamke anatembea nusu uchi au uchi, huyo anaye fanana na wakristo atakuwa an jina tu limefanana na wanawake wakislam.

Hayo yakusema yananihusu nini, mimi huwa siwajali ndio mana nawapa ukweli mwenye kuwajali ndio anawaogopa.
 
Usiumize kichwa sana Kakende bin Kipumbu ! Zamani 'prisoner of war' ndio walikuwa wanageuzwa watumwa. Hata Waisraeli walikuwa watumwa katika Taifa la watu weusi (misri).
Kwa sasa utumwa umepewa jina la kiistarabu: Human Trafficking !
Wakati wa Mtume Muhammad SAW ukisilimu na kuingia katika Uislaam kama wewe ni mtumwa, utumwa wako unaisha moja kwa moja !

Hivi kwa akili yako hii verse inapinga Utumwa?, mbona inaonekana kuna waislam hapa wanamiliki watumwa kwenye Quran? Pinga haya maandiko nyau wewe, au nikuwekee Kiswahili?


surah 4:24-Slavery allowed in islam
NA WANAWAKE wenye waume, isipo kuwa walio milikiwa na mikono yenu ya kulia[Watumwa]. Ndiyo Sharia ya Mwenyezi Mungu juu yenu. Na mmehalilishiwa wasio kuwa hao, mtafute kwa mali yenu kwa kuowa pasina kuzini. Kama mnavyo starehe nao, basi wapeni mahari yao kwa kuwa ni waajibu. Wala hapana lawama juu yenu kwa mtakacho kubaliana baada ya kutimiza waajibu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua na Mwenye hikima.
 
_80118073_5victims624_afp.jpg

Those killed (from left) include economist Bernard Maris, prominent cartoonists Wolinski and Cabu, Charlie Hebdo editor Stephane Charbonnier and cartoonist Bernard Verlhac

  • Charlie Hebdo editor and cartoonist Stephane "Charb" Charbonnier, 47, who had been living under police protection since receiving death threats
  • Cartoonists Jean "Cabu" Cabut, 76, Bernard "Tignous" Verlhac, 57, Georges Wolinski, 80, and Philippe Honore, 73
  • Economist and regular magazine columnist Bernard Maris, 68, known to readers as Uncle Bernard
  • Mustapha Ourrad, proof-reader
  • Elsa Cayat, psychoanalyst and columnist, the only woman killed
  • Michel Renaud, who was visiting from the city of Clermont-Ferrand
  • Frederic Boisseau, 42, caretaker, who was in the reception area at the time of the attack
 
Hapana wanawake wakislam hawatembei uchi hao ni wakristo tu, na hakuna mwanamke wakikristo hatembei nusu uchi ukipata basi ni 1% tu ya wanawake wote wakikristo. Waislam vigumu kuona mwanamke anatembea nusu uchi au uchi, huyo anaye fanana na wakristo atakuwa an jina tu limefanana na wanawake wakislam.

Hayo yakusema yananihusu nini, mimi huwa siwajali ndio mana nawapa ukweli mwenye kuwajali ndio anawaogopa.

Kama ndivyo mbona wacheza Vigodoro uchi ni wanawake wa kiislam huku pwani? majina yao utakuta wanaitwa Hadija, Asha, na wanakwenda msikitini kama kawa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom