Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Status
Not open for further replies.
Maandamano ujumbe usingefika ilikuwa lazima kuwauawa wahusika wakuu wa Charlie Hebdo.

Watu kama Stephane Charbonnier Mhariri Mkuu na wenzake Cabu na Wolinsk wamekufa ujuembe mzuri huo maandamano mtafanya nyie.

Wewe unadhani wazungu mziki wenu hawaujui?, hawa jamaa ki historia ni majasiri, pamoja kwamba walipigwa Sept 11 lakini bado wanaingia Nchi za waarab kupigana kama kawaida
 
Haya mambo ya haki za binadamu sometime yanakera, ilitakiwa hilo eneo walilojificha ipigwe dawa kali ya usingizi
 
Wakifanya uzembe mtasema wachovu, wamehamua kuweka full combat mnasema vijana 2 tu. Una wakika gani kama hakuna wengine wanaowaunga mkono kichini chini, wenzetu ni professional bwana
Jeshi la polisi la France ndiyo wamesema wapi wawili, naona hata wewe unashangaa watu tu wanawapa mchakamchaka askari 80,000.
 
Terror is a terror...awe politically, economically, socially au religious motivated. They kill innocent people, they learn how to kill and ambush, they must wage a war with armies not civilians, terrors are d***ck suckers.
 
Hao jamaa wamefanya kazi nzuri sana.
hili ni fundisho tosha.
 
Hakuna mtu ambae hajakamatwa na wazungu, kama ujakamatwa kiakili basi kivitendo, hapo ulipo unatuia gari iligunduliwa na mzungu, simu iliyogunduliwa na mzungu, computer iliyogunduliwa na mzungu, ndege iliyogunduliwa na mzungu. Hapo ujakamatwa?. Acha utani, mimi wamenikamata kikweli kweli

Ndo yaleyale ya Boko Haram kupinga elimu ya magharibi wakati huohuo wanatumia siraha na magari ambayo ni zao la elimu ya magharibi,wangekuwa wanatumia mishale na manati angalau ningeona wanafanya wanacho kihubiri.
 
Haiwezekani uhamie nchi za watu halafu ulazimishe Destiuri za huko kwenu ulikokimbia
Nilichokipenda kutoka kwa hawa jamaa wamewafuata wahusika wakuu ofisini kwao na wakafanya walichokusudia ni jambo la kujivunia.
 
Wakifanya uzembe mtasema wachovu, wamehamua kuweka full combat mnasema vijana 2 tu. Una wakika gani kama hakuna wengine wanaowaunga mkono kichini chini, wenzetu ni professional bwana
Hapo lazima hollywood wataiba material,jamaa wamewazungusha mbaya.
 
Nilichokipenda kutoka kwa hawa jamaa wamewafuata wahusika wakuu ofisini kwao na wakafanya walichokusudia ni jambo la kujivunia.

Wala sishangai, unajua tumetofautiana Imani, kwa upande wenu hao ndio watakatifu na mfano wa kuigwa
 
Ndo yaleyale ya Boko Haram kupinga elimu ya magharibi wakati huohuo wanatumia siraha na magari ambayo ni zao la elimu ya magharibi,wangekuwa wanatumia mishale na manati angalau ningeona wanafanya wanacho kihubiri.

Nimeipenda hiyo, wanapinga wazungu lakini hawataki kutumia ungo na manati
 
everything was so perfect in this universe, then religion came.
 
Nilichokipenda kutoka kwa hawa jamaa wamewafuata wahusika wakuu ofisini kwao na wakafanya walichokusudia ni jambo la kujivunia.

Mkiitwa wauwaji mnang'aka sasa wewe mwenyewe unashabikia............
 
........and this is what Civilization's All about!

"If the freedom of speech is taken away, then dumb and silent we may be led, like sheep to the slaughter" - George Washington

I think elections in France will be on May 17. This will be very interesting to follow afterward. Too many muslims on the street that were released from jail very early or were never jailed for offenses are responsible for the outstanding number of daily attacks everywhere in France which are never reported.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom