Scale
JF-Expert Member
- Apr 6, 2014
- 2,130
- 2,679
Hapo ngoma ndio imeanza upya, maana wameteka mtu ili atumike kama kinga yao. Pia Yule police alieuawa akiwa kalala chini siku ya tukio ni Muislam, mwenye asili ya uarabuni anaitwa Ahmed Merabet, lakini nimeshangaa waislam wa humu JF kuunga mkono mauaji
Nami nimesikitika sana kumtoa uhai siyo tu muislam mwenzao bali binadamu mwenzao harafu wanasingizia wanafia dini!! Kufia dini unavaa mask na unakimbia! They are bunch of cowards!