Hata na mimi naona umeishalaniwa na yesu, nilidhani lugha ulikuja nayo tuendelee nayo hiyo hiyo wapi nimekutukana.
Wewe ndiyo umeanza kuniambia mimi na laana kukujibu umeona matusi teh teh teh huo ndiyo utaratibu wangu ukija kiungwana unakaribishwa ukija kwa matusi unakaribishwa pia.
Vipi hauna matusi mapya ulifundishwa kanisani?
Bado nasisitiza umelaaniwa chunguza post zako tangu asubuhi unatukana kila anajieleza katika uzi huu. Ndo nakuulza Masjid kunafundishwa matusi? nijuwavyo sivyo na Allah hapendi hii hali kwahiyo wewe umebebwa na ibilisi.
