Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Status
Not open for further replies.
ni kweli mkuu, ni lazima muendelee kuuficha ukweli watu waendelee kuwa gizani, maana mkiruhusu uchwarwaji wa mohammed na kashfa zate za kupenda chini, itakuwaje!. Bahati mbaya sasa technolojia imekuwa, atachorwa na atasemwa kashfa zake, baaa ya miaka 10 uchafu wote kila mtu ataujua

muhammad kipenz chetu na shujaa wetu kaja na uislam tokea karne ya 8 huko leo karne ya 21 bado uislam tunatembea nao kifua mbele utatuambia nin??

Pamoja na propaganda chafu za kuutaka kuuzima ndiyo kwanzaaa watu wanazid kumiminika kuufuata ukweli

nyinyi bakin mkifungishana ndoa za jinsia moja huko makanisani mkidhani mtaish milele au eti kwa kuwa somebody died for the sake of you,,,haipo hiyo,
 
thubutu...!!

Wamchore mungu wetu wanamjua??

Hata huyo muhammad hawamjui labda yule msela mzungu kutoka vatican

ila fresh tuh si aende akachore huko kuzimu??

Jesus anamsubiria huko

teh teh teh

Waandishi wa hilo gazeti wamesema next week wanatoa tena Katuni kama kawa. Ni lazima tumuone Mohammed alivyokuwa kakaa na mke wake wa miaka 6

An editorialist at the magazine had said next week's issue will be published despite the bloodbath.
The publication, for next Wednesday, is to defiantly show that "stupidity will not win," Patrick Pelloux said, adding that the remaining staff will meet soon.

Babu Mudy akiwa na mke wake aisha wa miaka 6.
aisha2.jpg
 
muhammad kipenz chetu na shujaa wetu kaja na uislam tokea karne ya 8 huko leo karne ya 21 bado uislam tunatembea nao kifua mbele utatuambia nin??

Pamoja na propaganda chafu za kuutaka kuuzima ndiyo kwanzaaa watu wanazid kumiminika kuufuata ukweli

nyinyi bakin mkifungishana ndoa za jinsia moja huko makanisani mkidhani mtaish milele au eti kwa kuwa somebody died for the sake of you,,,haipo hiyo,

Mpaka shetani achomwe moto ndio uislam ukome, pia uislam upo ili kutimiza unabii wa Yesu, maana alitabiri

Ebu mcheki Mke wa Mtume wenu kipenzi hapa, kutoka Kitabu cha Hadith ya mtume Bukhari (6:298)

View attachment 216965
 
Terrorist!

Why all terrorists are not Hindus, Buddha, Confucius, atheists, freemansonry, Christians, orthodoxy, Jewish, illuminati, pagans ?
This world is on fire
Cc Bulldog MO11

mtume muhammad was a terrorist of that times so are musilims of our times!
 
mpaka shetani achomwe moto ndio uislam ukome, pia uislam upo ili kutimiza unabii wa yesu, maana alitabiri

ebu mcheki mke wa mtume wenu kipenzi hapa, kutoka kitabu cha hadith ya mtume bukhari (6:298)

View attachment 216965

haitusumbui kejeli

ilim mradi tuko kwenye njia ya haki tuna peace of mind

unajua makafiri hamna peace of mind

thats why mnaogopa sana kufa...

Yaani kifo mnakiogopa sana kwa sababu hata ndan ya nafsi zenu huwa mnajiuliza hivi mkifa mnaenda wapi??

Mnabaki kujifariji kwa false hopes kwamba yule sanamu kwamba limekufa kwa ajili ya dhambi zenu..hakuna hiyo

mimi sina shaka,najua nikifa wapi nitakwenda

nyinyi furahin kidogo tuh hapa hapa ulimwenguni ila hakikisheni tuh hamfi,,

ila mkifa tuh kazi mnayo

muhammad mnamkashifu yeye keshafariki miaka miingi huko,,hata umkashifu miaka elfu na ushee lakn i am sure hutaish milele

na ukifa tuh kazi unayo
 
sasa waislam tunafanana na nyinyi???

Nyinyi kila kitu kwenu fresh tuh

hadi mungu wenu mmechonga kama sanamu kisha mkamvisha chupi then mnampigia magoti kumuabudu..

What do you loose??

Hatuwez kufanana na nyinyi hata siku moja

nyinyi mna dini yenu na sisi tuna dini yetu

kama nyinyi hamchukii pale mungu wenu anapokashifiwa hiyo ni juu yenu

kwanza mna mungu basi??yule msela mzungu wa vatican tokea lini akawa mungu??

We hujiuulizi??mzungu wa vatican au roma mideast alienda kufanya nini???

Polen sana kwa msiba huo
Sisi unaamini katika upendo,biblia inasema mpende adui wako,sasa kina Charb walikuwa wanachora catoon,freedom of expression,waislamu wanachukia nini?jamani waislamu muwe Civilized sasa
 
  • charlie hebdo editor and cartoonist stephane "charb" charbonnier, 47, who had been living under police protection since receiving death threats

That is neither here nor there.
 
mnaotetea ugaidi na kufurahia matendo machafu ya kigaidi jarubuni kwenda maaeneo yanashikiliwa n ISIS.,BOKO HARAM., AL SHABAB Muishi japo wiki Tatu... mrudi kutuhadithia uzuri wa Sharia..
 
Hakuna mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote.

Angekuwepo asingeumba ulimwengu ambao watu wanauana na kufarakana kwa jina lake.
 
Charb kafa,ila Charlie Hebdo haijafa,mbona gazeti huwa linawaandika wengi tu,kwa nini wislam wanachukia?
Usiseme kafa sema kapigwa risasi yeye na wenzake watatu na Mhariri Mkuu, nasikitika sana kukosa hivi vibonzo, hivi mazishi lini?
 
Sisi unaamini katika upendo,biblia inasema mpende adui wako,sasa kina Charb walikuwa wanachora catoon,freedom of expression,waislamu wanachukia nini?jamani waislamu muwe Civilized sasa
Freedom ya kukejeli dini za watu walichokipata ni haki yao.
 
Usiseme kafa sema kapigwa risasi yeye na wenzake watatu na Mhariri Mkuu, nasikitika sana kukosa hivi vibonzo, hivi mazishi lini?
Bora kafa kasimama,kuliko kuishi umepiga magoti,I AM CHARLIE.
 
Ahhh lakini 12 ni kidogo wangeua kama 500 hivi
 
Bora kafa kasimama,kuliko kuishi umepiga magoti,I AM CHARLIE.
Ni kweli kabisa tunasubiri mazishi ya Cabu, Tignous na Wolinski wachora vibonzo stadi wa Ufaransa wamepigwa risasi.
 
They like to die, cha ajabu wamekimbia kujificha. nani kasema anapenda kufa akaacha sembe!!!!! niwajinga ndo husema wao hawaogopi kufa..................................jamaa wamekimbia kujificha sijuwi wapi lakini kwa msako unaoendelea wataibuliwa mmoja mmoja
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom