faby
JF-Expert Member
- Feb 18, 2011
- 2,214
- 768
Bora kafa kasimama,kuliko kuishi umepiga magoti,I AM CHARLIE.
Bibie bora ukaoshe kipapayai kinanuka vibaya sana... by the way wangeua kama 500 hivi ingekua burdaaaaaaan
Bora kafa kasimama,kuliko kuishi umepiga magoti,I AM CHARLIE.
Lait ingetokea Yesu akafanya mapenzin na mateka wa kivita, ngono na mke wa mwanae. Mimi nisingemsikiliza. Mungu hawezi kuwa wa ajabu akaleta habari njema duniani kupitia makashfa ya ngono
They like to die, cha ajabu wamekimbia kujificha. nani kasema anapenda kufa akaacha sembe!!!!! niwajinga ndo husema wao hawaogopi kufa..................................jamaa wamekimbia kujificha sijuwi wapi lakini kwa msako unaoendelea wataibuliwa mmoja mmoja
Kuna polisi mwingine wa kike kapigwa risasi leo asubuhi.They like to die, cha ajabu wamekimbia kujificha. nani kasema anapenda kufa akaacha sembe!!!!! niwajinga ndo husema wao hawaogopi kufa..................................jamaa wamekimbia kujificha sijuwi wapi lakini kwa msako unaoendelea wataibuliwa mmoja mmoja
Kuna polisi mwingine wa kike kapigwa risasi leo asubuhi.
sisi unaamini katika upendo,biblia inasema mpende adui wako,sasa kina charb walikuwa wanachora catoon,freedom of expression,waislamu wanachukia nini?jamani waislamu muwe civilized sasa
Lengo limetimia 100% !
kumbe huna update,jamaa wako kwa road,mchana wameonekana kwenye gari wakielekea paris,wakapitia kwenye petrol station na kujaza mafuta na kustock chakula kisha haoo.They like to die, cha ajabu wamekimbia kujificha. nani kasema anapenda kufa akaacha sembe!!!!! niwajinga ndo husema wao hawaogopi kufa..................................jamaa wamekimbia kujificha sijuwi wapi lakini kwa msako unaoendelea wataibuliwa mmoja mmoja
kumvua nguo mwana wa mungu na kumpa kichapo akiwa uchi, hiyuo haijawa kashfa eeh !? kakende bin kipumbu
Toa unafiki wewe punguani watoto wa Gazza, Afghanistan, Iraq, Libya wanavyopigwa mabomu na kufa uwa mbona hamuonekani na hizi huruma zenu za kinafiki.Wakipigwa wao utatokwa povu, jitahidi kujifunza kuhurumia wahanga wanaouliwa hovyohovyo. kuchekelea nakushupalia mauwaji haya yaonesha ulivyo naroho ya kishetani. Binadamu gani unayeshupalia watu kuuwa wengine, wauliwa wao utasemaje? ujionga kushabikia maafa.
mnaamin katika upendo wapi
hata yule mnaesema ni mungu wenu mlimpiga na kumuua
sembuse wanadamu wenzenu??
Mngeamin kwenye upendo msingechukua wazee wetu utumwani huko
hao jamaa na gazeti lao ndo mabingwa wa kumchora mohamad, no doubt wahusika tushawajua
Toa unafiki wewe punguani watoto wa Gazza, Afghanistan, Iraq, Libya wanavyopigwa mabomu na kufa uwa mbona hamuonekani na hizi huruma zenu za kinafiki.
kumbe huna update,jamaa wako kwa road,mchana wameonekana kwenye gari wakielekea paris,wakapitia kwenye petrol station na kujaza mafuta na kustock chakula kisha haoo.
hawa jamaa atleast mmojawapo ana uzoefu na hali hiyo kipindi yuko syria na iraq.hakuna maeneo ya hatari kama kuwepo syria.kwahiyo wanatumia uzoefu huo kupigana chenga na special force wa ufaransa ambao mpaka sasa hawajawatia mkononi.
tulisema tangu mwanzo hii tabia ya hawa wamagharibu kuwasupport vikundi vya kiislamu eti kwenda kumpindua assad,vitawatokea puani pindi hawa watu wakiianza kurudi toka syria ama irag na kutumia uzoefu walioupata vitani syria katika mitaa ya europe na marekani.
Usiwapangie watu wa shoka kwanza wanauwa kisha nao watauliwa wanalijua ilo nani alikuambia wamekimbia.Wanakimbia ili iweje nawao hawaogopi kufa? siwapigane wauliwe yaishe.
yaap! wenye fani yao wataendelea kumchora huyo mzinzi mtume muhammad mnaye mpigania!
Wanachofanya ni military manurver(sp?),na kinachowakawiza wafaransa kuwapata ni kuwa uzoefu wa kivita,wao wamezoea kuporomoa mabomu wakiwa futi 30,000 angani,hawana uzoefu na mambo ya field.Wanakimbia ili iweje nawao hawaogopi kufa? siwapigane wauliwe yaishe.
Usiwapangie watu wa shoka kwanza wanauwa kisha nao watauliwa wanalijua ilo nani alikuambia wamekimbia.
hizo imani za kuua wengine kwa kisingizio cha kumtetea allaH?