Mpaka naenda kulala uzi ulikuwa una page 16, Moderator kachomoa yale yanauyomkera kwa Dini yake ila kaacha yanayo mfurahisha juu ya kebehi na kejeli kwa Uislaam !
Hawa bila hivyo wasingeacha huo upuuzi.magazeti mbalimbali ya magharibi yanajiuliza kwa makini iwapo waiweke ile catoon husika front page ama vipi.
.
Jifunze vizuri chanzo cha kimbari ya KAGAME na chanzo cha KIMBARI ya CAR, uelewa wako bado niwa ki madrasa.
Hawa jamaa vichwa sana na wanajua kucheza na mashine.mourad kijana mdogo miaka 18 alietajwa kushiriki shambulio amejisalimisha polisi mwenyewe.
wakati wa shambulio alikua shule,darasani.
inaonekana gunmen waliacha ID card yake makusudi kwenye gari ili kuwapoteza maboya askari
Jifunze vizuri chanzo cha kimbari ya KAGAME na chanzo cha KIMBARI ya CAR, uelewa wako bado niwa ki madrasa.
Haoo ni waarabu wenye uraia wa france,jasiri haachi asili,waraabu wenye uraia wa ufaransa,hawaachi tabia zao za kiislamu,nawachukia kabisa hizo tabia zao,ingawa sio wote,ila wengi wao wana tabia chafu,madawa ya kulevya wao,uporaji wao,pocket pickers wao.
Leo nimeshuhudia Unafiki wa ulimwengu huu kwa kias kikubwa sana.
Leo hadi UN Security council imesimama na kutoa tamko kwa kuuwawa kwa wale watu 12 weengi wao waliokawa vinara wa kukashifu iman za watu na maisha yao kwa ujumla.
Watu mamillion kwa mamillion huko mideast wanauawa hatuskii matamko..hatuskii kulalama ulimwengu huu.
Hivi hawa wanaokufa huku mideast sio watu??
Mnawachonganisha ili muibe mafuta kisha mnawatengenezea sectarian violences huku mkiiba mafuta hamna mnachojali.
Hatushabikii mauaji yoyote lakin hizi double standards ni za nin?
Mnavyoumia kwa kupoteza ndugu zenu ndivyo hivyo hivyo wanavyoumia wenzenu.
Mnawaprovoke makusudi kwa kuwachora makatuni na kuwatukana bila sababu.
Mnatengeneza EXTRIMINISM wenyewe...mambo yakiharibika mnaanza kunyooshea watu vidole.
HESHIMA LAZIMA IWEPO.
"all terrorists are muslims,bt not all muslims are terrorists"!
Wahusika wote watajulikana tu.
magazeti mbalimbali ya magharibi yanajiuliza kwa makini iwapo waiweke ile catoon husika front page ama vipi.
.