Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Status
Not open for further replies.
Kuanzia mwezi wa sita mwaka nimefanikiwa kuwafanya waislam 7 wabadili dini baada ya kuwaonesha vifungu katili kwenye Quran, ikiwemo Sura 48:29
Wachora vibonzo stadi wauawa Ufaransa.
 
Wachora vibonzo stadi wauawa Ufaransa.

Haina shida maana waliwachora mchoro wa papa kavaa Kondom, pia wameliandama kanisa la Roman muda mrefu lakini wakakutana na upendo wa Yesu wakaacha wenyewe, sisi hatukuwaua maana kuua ni chukizo, Mungu pekee ndie mwenye kutoa hukumu siku ya mwisho
 
Kwanini ukubali kufa bila kutowa elimu unayoijuwa kwa watu pita mitaa ya kariako au hapo ulipo uwambiye hayo maneno yako ndio utajuwa jeshi la wislamu ni kubwa kiasi gani!
Ikipigwa tu takbiri huna shingo we kufa kimya kimya na ujinga wako wakutukana dini za watu hao waliyochora hiyo katuni
Walijiamini wanaishi sehemu salama sana na kimawazo ya kibinadam kumbe siyo!!
Endelea na ujinga wako ipo siku utajuta
 
Kwanini hamtaki maisha ya Mohammed yaongelewe?, kwanini sharia inasema ukimpinga mohammed unatakiwa kuuawa?, kwanini sharia inasema mwanamke wa kiislam akiolewa na asie mwislam sharti auwe?

NB; Maisha ya Mohammed ni machafu sana ndio maana hamtaki yaongelewe
mkuu maisha ya mtume muhammad wa waislamu i.e. yalikuwa machafu sana ndiyo maana hawataki yaongelewe!! ndiyo salman rushdie alipoandika kile kitabu cha quran=aya za shetani waislamu wakamhukumu kifo!!

 
Ulaya wamekubali kukaribisha hawa wafia dini watakoma. Haya maandamano yanayofanywa ujerumani maana yake itakuja kujulikana too late

Wafaransa wamepoteza nguvu kwa sababu ya kumkana Mungu.wamrudie Krsto wapate kupona
 
Popote duniani, muislam ni second class, nenda India, nenda Kenya, njoo Tz, nenda Nigeria nk.
Kende mbona unasemea mvunguni funguka mbele za watu toka nje au apo ulipo panatosha sema watu wakusike kwa sauti uone dawa yake
 
Kende mbona unasemea mvunguni funguka mbele za watu toka nje au apo ulipo panatosha sema watu wakusike kwa sauti uone dawa yake

Mbona kila mara natoa semina kanisani na watu wanasikia na wanaujua ukweli?
 
Jamani hakuna dini ambayo inaweza kujigamba kwamba haiwezi kumwaga damu kwa jina la imani...mnafanya ushabiki sana kuwashambulia waislam....lakin je mmeisoma historia hizi dini kubwa??? Kwa hakika damu nyingi sana imemwagika kwa jina la imani....just read historia....tena historia nyingine iko jiran sana...tizama dini ulivotumika kulea ukoloni afrika....na jinsi ilivosaidia kupambana na ukoloni....labda jambo la kifahamu hapa ni kwamba uislamu hata upigwe vita vip hautokwisha...si kwa sbb ya theologia yake...ila kwa sbb inaonekana kama nguvu pekee ilibaki ya wanyonge kupambana na ubepari wa kupindukia....!! Mie naona watu wengi ambao mfumo wa uchumi umewanyonga...watachagua kupigana kwa upande wa uislam...jicho kwa jicho na si kulalamika
 
Charlie Hebdo attack: 12 dead.

Yes, hakuna tatizo, acha wauawe maana walikaribisha magaidi nchini mwao kwa kuyaonea huruma wakidhani yenyewe yana huruma kama Surat 48:29 inavyosema
 
Leo nimeshuhudia Unafiki wa ulimwengu huu kwa kias kikubwa sana.

Leo hadi UN Security council imesimama na kutoa tamko kwa kuuwawa kwa wale watu 12 weengi wao waliokawa vinara wa kukashifu iman za watu na maisha yao kwa ujumla.

Watu mamillion kwa mamillion huko mideast wanauawa hatuskii matamko..hatuskii kulalama ulimwengu huu.

Hivi hawa wanaokufa huku mideast sio watu??

Mnawachonganisha ili muibe mafuta kisha mnawatengenezea sectarian violences huku mkiiba mafuta hamna mnachojali.

Hatushabikii mauaji yoyote lakin hizi double standards ni za nin?

Mnavyoumia kwa kupoteza ndugu zenu ndivyo hivyo hivyo wanavyoumia wenzenu.

Mnawaprovoke makusudi kwa kuwachora makatuni na kuwatukana bila sababu.

Mnatengeneza EXTRIMINISM wenyewe...mambo yakiharibika mnaanza kunyooshea watu vidole.

HESHIMA LAZIMA IWEPO.
 
Yes, hakuna tatizo, acha wauawe maana walikaribisha magaidi nchini mwao kwa kuyaonea huruma wakidhani yenyewe yana huruma kama Surat 48:29 inavyosema
Mtaangaika sana ila hakuna atakaye sema uislamu vibaya akabaki salama ata iwe ikulu ya USA
 
Mbona kila mara natoa semina kanisani na watu wanasikia na wanaujua ukweli?
Makanisa ya giza weka vipasa sauti wapita njia wasikie na itakuwa jambo jema ukasema kanisa lako nasiku unayotarajia kusema tafadhali sana tujuze lipo wapi!!!
 
Wao washazoea kumfanya jesus wao sanamu na cartoon hawajatosheka na sasa wanataka nasisi tuige upuuzi wao.
 
Kwanza kwa Kiarabu Mungu anaitwa Ilah, sijui hiyo Allah ni kitu gani

Quran inasema Hakuna Ilah ispokuwa Allah, fuatilieni huyo Allah ni kitu gani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom