Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Gunmen Hunted After 12 Killed At Paris Magazine

Status
Not open for further replies.
Tunaelekea the last episode.
wamewalocate hao jamaa kaskazini mwa paris,kama ni wao kweli patakua na kurushiana risasi mda si mrefu.
 
Kama ndivyo mbona wacheza Vigodoro uchi ni wanawake wa kiislam huku pwani? majina yao utakuta wanaitwa Hadija, Asha, na wanakwenda msikitini kama kawa
Hao si nimeisha kujibu wana majina tu ya kislam, mwanamke wakislam hawezi kufanya hayo. Hivi we hujaona kuna watu wanatumia majina ya kislam, na wao wakristo. Umemuona huyo Mustapha Ourrad, proof-reader si unaona jina lake utasema ni Muislam tena ni mwarabu wa Algeria au Morocco, kumbe ni wale makafiri kama wewe, wanatumika katika gazeti hilo la ma cartoon.
 
Zile nyuzi zile zinaanza upya. Mheshimiwa Mods Please do the needful, tupa haka kakipande ka uzi kapuni, manake hakana maana yoyote kwetu sisi kama watanzania zaidi ya mwisho wake watu wataanza kutukanana humu ndani. Futa hii kitu mheshimiwa Mods.
 
Haya sasa

waende wakachore kuzimu huko hizo katuni zao
_80118073_5victims624_afp.jpg

those killed (from left) include economist bernard maris, prominent cartoonists wolinski and cabu, charlie hebdo editor stephane charbonnier and cartoonist bernard verlhac

  • charlie hebdo editor and cartoonist stephane "charb" charbonnier, 47, who had been living under police protection since receiving death threats
  • cartoonists jean "cabu" cabut, 76, bernard "tignous" verlhac, 57, georges wolinski, 80, and philippe honore, 73
  • economist and regular magazine columnist bernard maris, 68, known to readers as uncle bernard
  • mustapha ourrad, proof-reader
  • elsa cayat, psychoanalyst and columnist, the only woman killed
  • michel renaud, who was visiting from the city of clermont-ferrand
  • frederic boisseau, 42, caretaker, who was in the reception area at the time of the attack
 
Wapo machotara bana,hasa oman .na wala watumwa hawakwenda kwa wingi sana huko kwani ni jangwa hakuna mashamba wala hapakuwa na viwanda,sasa wangeenda kufanya nini?

Watumwa waliokwenda uarabuni walikuwa ni wafanya kazi za ndani, baadae waliuawa
 
alisema yeye ni mungu wa wayahudi kainchi kadogo kanawapaa taabu waarabu

vema sana,

enhe sasa kama yeye ni mungu wa wayahudi wewe mwafrika unamlilia kivipi??

Na kuongopa eti mungu huyo kafa kwaajili ya dhambi zako??

Yaani yeye ni mungu wako kisha anakufa tena??

Teh teh teh

lol
 
Watumwa waliokwenda uarabuni walikuwa ni wafanya kazi za ndani, baadae waliuawa

NA WALE WALIOCHUKULIWA NA MELI YA YESU VIPI MKUU???

MAANA NASKIA WENGINE WALIKUWA WANAULIWA PALE FORT JESUS MOMBASA,,AISEE NI HATARI SANA

AJABU WEWE NA WENZAKO MNAWASHANGILIA HAWA JAMAA

HIVI KWELI WEWE NA AKILI YAKO MUNGU GANI ANAWEZA KUWA MZUNGU KUTOKA HUKO ROMA AU VATICAN ITALY HUKO KISHA AONEKANE ALIISHI MAENDEO YA MIDEAST??

HUONI KIINI MACHO HIKO,,??

TEH TEH TEH

YULE MSELA MZUNGU ANAKUWAJE MUNGUN YULE:blabla::blabla:
 
Vicky, Vipi !! unanistaajabisha eeeeh... nani anamfaa nani ?? Aamka usingiziniiiii !!! Wa France ilikuwepo Algeria kwa Mika mia2 na kitu kama koloni katili !!

FYI, Rasilimali za Algeria ndo zinaifaa France !! Na Ges/Mafuta na umeme wa Algeria unapelekwa chini ya bahari hadi France na kunyanyua uchumi wao !! hao ALG-FRC wanajuana kwa CONFLICTS za kiCIVILIZATION mda mrefu na hata Uhuru wa Algeria umeweka rekodi kwa kupoteza wanamapinduzi, mashahidi millioni moja kuwaondoa wa Faransa!!
Kuchokodhana kuchokudha,chokodha watu ndiyo Mafunzo ya kanisaniii na utaratibu aliyo weka YESUUU..?? "Nauliza tu" ?
JAYJAY Copenhagen DN Kiranga Chinga One Victoire


Waendelee kuchokonoa chokonoa........

Sasa gazeti limekosa nini?
 
Last edited by a moderator:
Hao si nimeisha kujibu wana majina tu ya kislam, mwanamke wakislam hawezi kufanya hayo. Hivi we hujaona kuna watu wanatumia majina ya kislam, na wao wakristo. Umemuona huyo Mustapha Ourrad, proof-reader si unaona jina lake utasema ni Muislam tena ni mwarabu wa Algeria au Morocco, kumbe ni wale makafiri kama wewe, wanatumika katika gazeti hilo la ma cartoon.

Hao mabinti ni waislam, wanawake wa pwani ni waislam, pia ni wacheza ovyo. Naona unaanza kuwakana dada zako
 
U.S. news media avoid Islam cartoons linked to deadly attack
Wed Jan 7, 2015 10:34pm EST
By Noel Randewich
Jan 7 (Reuters) - Leading U.S. news outlets mostly declined to show controversial cartoons of the Muslim Prophet Mohammad on Wednesday after suspected Islamist gunmen in Paris killed 12 people at the French satirical magazine Charlie Hebdo.
Online news sources the Daily Beast and Slate published the cartoons, but major U.S. publications, including the New York Times, the Wall Street Journal, Reuters and the Associated Press, did not. Some said their guidelines call for avoiding publishing images or other material intended at offending religious sensibilities.
"After careful consideration, Times editors decided that describing the cartoons in question would give readers sufficient information to understand today's story," New York Times Company spokeswoman Danielle Rhoades Ha said by email.
Bill Marimow, editor of the Philadelphia Inquirer, told Reuters: "We will not under any circumstances run the cartoons. The idea of gratuitously insulting tens of millions of Muslim people rather than describing something in words is not a close call."
Representatives at Reuters, Slate and the Daily Beast did not immediately return calls seeking comment. The Associated Press has a long-standing policy of refraining from using provocative images, spokesman Paul Colford told Reuter
 
NA WALE WALIOCHUKULIWA NA MELI YA YESU VIPI MKUU???

MAANA NASKIA WENGINE WALIKUWA WANAULIWA PALE FORT JESUS MOMBASA,,AISEE NI HATARI SANA

AJABU WEWE NA WENZAKO MNAWASHANGILIA HAWA JAMAA

HIVI KWELI WEWE NA AKILI YAKO MUNGU GANI ANAWEZA KUWA MZUNGU KUTOKA HUKO ROMA AU VATICAN ITALY HUKO KISHA AONEKANE ALIISHI MAENDEO YA MIDEAST??

HUONI KIINI MACHO HIKO,,??

TEH TEH TEH

YULE MSELA MZUNGU ANAKUWAJE MUNGUN YULE:blabla::blabla:

Hayo maneno tu, Zanzibar ni soko kubwa la watumwa, wakazi wa pale ni waislam, wamerithi dini ya Slave master wao. Full stop
 
Sasa gazeti limekosa nini?

Very sad !! jamaniiee gazetti si karatasi tu .... Mwingine katunguliwa saa hii:-
Charlie Hebdo massacre: New police killing rocks Paris......
A gunman has killed a policewoman in Paris, a day after suspected Islamists killed 12 people at the office of a satirical magazine.
A second person was seriously injured in the attack in the southern suburb of Montrouge, after which the gunman fled
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom