MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,492
- 8,723
Great Awakening ni movement kubwa sana ya Dini ilio tokea Marekani, kuanzia Karne ya 18 hadi mwanzoni mwa karne ya 20 hii ilipelekea kuanzishwa kwa madhehbu chungu nzima kule Marekani.
Kabla ya hii movement Dini kubwa Marekani wakati huo ilikiwa ni Anglican ilio letwa na mkoloni Mwingereza.
Great Awakening ilikuwa na phase kama 4 hivi na hii vuguvugu ilipelekea kupungua nguvu sana kwa Anglican kama dhebu kubwa kabisa Marekani.
Na Angalican/Church of England ilikuwa ni kama dini ya kikoloni wakati huo ikipelekwa Marekani na Waingereza na Anglican pia ilianza baada King Henry VIII kuachana na Roma.
Kanisa la Methodist church America likiwa ndo la kwanza kabisa kuanzishwa kutokana na hii Movement. Methodist church hata Uingereza ilikuwepo ambapo watu walijimega kutoka Church of England.
Baadae yakafuata mengi sana kama wakina SDA chini ya Elen G White na wenzake mwaka 1863, Church of God chini ya Elder Richard Spurling mwaka 1886, na nyingine nyingi sana.
Greate Awakening Africa.
Hii ya sasa haina tofauti sana na ya America, na hii ya sasa inaongozwa na Manabii, watoa miujiza, kivutio kikubwa ni miujiza.
Greate awakening ya marekani ilitaka watu waache dhambi na wamwamini Mungu na mwamko wa kumjua Mungu ulikuwa mkubwa sana kipindi hiki na hapo ndo wakajitokeza watu kama William Miller alie waambia wafuasi wake kwamba Mwisho wa Dunia ni October 22 1844 hii ikapelekea matatizo makubwa sana na inabatizwa jina la Great Disapointment.
Hii ya sasa watu wana Mjua Mungu sana ila sasa wanavutwa na miujiza, watu wanataka kuona miujiza tu mtu kapona kanda na kadhalika, mtu anaacha dhehebu lake la awali anakimbilia miujiza.
Hii Movemnet ina impact kubwa sana kwenye Makanisa makongwe kama Roman, Angalican, SDA, Lutheran, na mengineyo.
Hawa manabiii si kwamba wanaenda Vijijini ku recruit waumini wapya kama walivyo fanya hao wakongwe.
Hawa Manabii wako City centre make ndo kuna pesa, vijijini huwakuti kabisa make hakuna pesa huko.
Manabii hawa wako mijini tena City Centre wanacho fanya ni kuchukua waumini kutoka kwenye Madhehebu Makongwe kwa kigezo cha miujiza.
Waumini wa hawa Manabii ni walikuwa waumini wa either Roman, SDA, Lutheran, Angalican Islamic, na mengineyo.
Hii vuguvugu haitawaacha salama haya madhebu kama hawatakuja na mikakati ya Kidini ya kupambana na hawa Manabii feki.
Historia inajirudia sana ukiangalia Uprotestant ulivyo anzisishwa na Wakina Maritin Luther karine ya 16 na kuibomoa vilivyo Romab Cathoric na the sam inafanyika sasa.
Kabla ya hii movement Dini kubwa Marekani wakati huo ilikiwa ni Anglican ilio letwa na mkoloni Mwingereza.
Great Awakening ilikuwa na phase kama 4 hivi na hii vuguvugu ilipelekea kupungua nguvu sana kwa Anglican kama dhebu kubwa kabisa Marekani.
Na Angalican/Church of England ilikuwa ni kama dini ya kikoloni wakati huo ikipelekwa Marekani na Waingereza na Anglican pia ilianza baada King Henry VIII kuachana na Roma.
Kanisa la Methodist church America likiwa ndo la kwanza kabisa kuanzishwa kutokana na hii Movement. Methodist church hata Uingereza ilikuwepo ambapo watu walijimega kutoka Church of England.
Baadae yakafuata mengi sana kama wakina SDA chini ya Elen G White na wenzake mwaka 1863, Church of God chini ya Elder Richard Spurling mwaka 1886, na nyingine nyingi sana.
Greate Awakening Africa.
Hii ya sasa haina tofauti sana na ya America, na hii ya sasa inaongozwa na Manabii, watoa miujiza, kivutio kikubwa ni miujiza.
Greate awakening ya marekani ilitaka watu waache dhambi na wamwamini Mungu na mwamko wa kumjua Mungu ulikuwa mkubwa sana kipindi hiki na hapo ndo wakajitokeza watu kama William Miller alie waambia wafuasi wake kwamba Mwisho wa Dunia ni October 22 1844 hii ikapelekea matatizo makubwa sana na inabatizwa jina la Great Disapointment.
Hii ya sasa watu wana Mjua Mungu sana ila sasa wanavutwa na miujiza, watu wanataka kuona miujiza tu mtu kapona kanda na kadhalika, mtu anaacha dhehebu lake la awali anakimbilia miujiza.
Hii Movemnet ina impact kubwa sana kwenye Makanisa makongwe kama Roman, Angalican, SDA, Lutheran, na mengineyo.
Hawa manabiii si kwamba wanaenda Vijijini ku recruit waumini wapya kama walivyo fanya hao wakongwe.
Hawa Manabii wako City centre make ndo kuna pesa, vijijini huwakuti kabisa make hakuna pesa huko.
Manabii hawa wako mijini tena City Centre wanacho fanya ni kuchukua waumini kutoka kwenye Madhehebu Makongwe kwa kigezo cha miujiza.
Waumini wa hawa Manabii ni walikuwa waumini wa either Roman, SDA, Lutheran, Angalican Islamic, na mengineyo.
Hii vuguvugu haitawaacha salama haya madhebu kama hawatakuja na mikakati ya Kidini ya kupambana na hawa Manabii feki.
Historia inajirudia sana ukiangalia Uprotestant ulivyo anzisishwa na Wakina Maritin Luther karine ya 16 na kuibomoa vilivyo Romab Cathoric na the sam inafanyika sasa.