Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,485
- 34,788
Swali gumu Sana mkuu, na kila mmoja anamponda mwenzake , hata hivyo kila mmoja anshuhudia ukuu wa Mungu , Chakushangaza biblia inasema Imani moja na Mungu mmoja ..... Kichekesho ni kuwa wote wimbo wao ni mmoja Toa ndugu Toa ndugu...... Mifano ni mingi ya utoaji kuliko ya kumuelekeza mtu aache dhambi .... Mimi ni msabato but the stuation is horrible bro .....Hii ni topic inayofikirisha sana.
Umewahi kujiuliza ikiwa Mungu ni mmoja, kwanini madhehebu mengi, hasa kwenye sisi wafuasi wa Kristo?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Jamani biblia ndo mwamuz wa maisha ya Kila mtu tuachaneni na madhehebu , ni miradi ya watu