Ngwananzengo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,911
- 1,320
Tatizo wengi wetu hatuijui Tanzania. Watu wengi wakishashaanza kazi za kuajiliwa hujitoa ufahamu. Hawaonyeshi tija, ufanisi na ubunifu ktk kusaidia waliobaki mtaani.
The
Tatizo lingine linalotusumbua ni "uaminifu". Tanzania bidhaa hii ya uaminifu imekuwa adimu sana. Mfano wapo wafanyakazi walioajiriwa walijaribu kuchukua mikopo na kufanya "korabo" na wale waliopo kitaa, matokeo yake ndio kwanza mtu hajitumi na kuonyesha "kudhamiria".
Lakini jambo jingine watanzania tumeng'ang'ania sana Bongo. Pale Kongo Kuna utajiri mwingi hauna mwenyewe. Wanyarwanda & waganda wanavuna watakavyo.
Ni vzr likatengenezwa jukwaa la "wale waliopo kitaa" kubadilishana uzoefu na wale walioweza.
The
Tatizo lingine linalotusumbua ni "uaminifu". Tanzania bidhaa hii ya uaminifu imekuwa adimu sana. Mfano wapo wafanyakazi walioajiriwa walijaribu kuchukua mikopo na kufanya "korabo" na wale waliopo kitaa, matokeo yake ndio kwanza mtu hajitumi na kuonyesha "kudhamiria".
Lakini jambo jingine watanzania tumeng'ang'ania sana Bongo. Pale Kongo Kuna utajiri mwingi hauna mwenyewe. Wanyarwanda & waganda wanavuna watakavyo.
Ni vzr likatengenezwa jukwaa la "wale waliopo kitaa" kubadilishana uzoefu na wale walioweza.