Graduates, how do you survive?

Graduates, how do you survive?

Tatizo wengi wetu hatuijui Tanzania. Watu wengi wakishashaanza kazi za kuajiliwa hujitoa ufahamu. Hawaonyeshi tija, ufanisi na ubunifu ktk kusaidia waliobaki mtaani.
The
Tatizo lingine linalotusumbua ni "uaminifu". Tanzania bidhaa hii ya uaminifu imekuwa adimu sana. Mfano wapo wafanyakazi walioajiriwa walijaribu kuchukua mikopo na kufanya "korabo" na wale waliopo kitaa, matokeo yake ndio kwanza mtu hajitumi na kuonyesha "kudhamiria".

Lakini jambo jingine watanzania tumeng'ang'ania sana Bongo. Pale Kongo Kuna utajiri mwingi hauna mwenyewe. Wanyarwanda & waganda wanavuna watakavyo.

Ni vzr likatengenezwa jukwaa la "wale waliopo kitaa" kubadilishana uzoefu na wale walioweza.
 
mimi nilisoma mzumbe Bsc.applied statistics,huwa tukifika mwaka wa pili tunakuwa na likizo ndefu ya miezi sita,kipindikile cha likizo nilitafuta field halmashauri ya wilaya niliyozaliwa ili kuhakikisha nasave pesa yangu ya field nifanyie kitu cha maendeleo.Nilifanikiwa kuanzisha saloon yangu pale wilayani kwangu,saloon ile inanipa 10,000 kila siku ya mungu kwahiyo nilipomaliza chuo kwakweli machungu ya kutoajiriwa sikuyaona mimi,mpaka baada ya miaka miwili nilipopaka kazi nikaendelea na maisha.Tatizo watoto wa siku hizi wanachezea hela unamkuta na lisimu la 1mil mara ana IPAD mazaga zaga kibao afu akimaliza chuo hana kazi analalamika tu mtaani,tumieni fedha mnazopata vizuri jamani usingojee mpaka umalize chuo ndo uanze kuhangaika hii ni sawa na mtu kufanya kazi akajisahau akaja kushtuka wakati wa kustaafu NI HATARI,PUNGUZENI STAREHE PUNGUZENI KWENDA KUPOTEZA MUDA MLIMANI CITY,PUNGUZENI POMBE,PUNGUZENI NGONO HAKUNA AJIRA SIKU HIZI NDUGU ZANGU AJIRA YAKO NI UBONGO WAKO.

Unazungumzia laki NNE na kumi na field umepangiwa mashamba ya katani Tanga na kwenu ni mtwara????
 
Tatizo wengi wetu hatuijui Tanzania. Watu wengi wakishashaanza kazi za kuajiliwa hujitoa ufahamu. Hawaonyeshi tija, ufanisi na ubunifu ktk kusaidia waliobaki mtaani.
The
Tatizo lingine linalotusumbua ni "uaminifu". Tanzania bidhaa hii ya uaminifu imekuwa adimu sana. Mfano wapo wafanyakazi walioajiriwa walijaribu kuchukua mikopo na kufanya "korabo" na wale waliopo kitaa, matokeo yake ndio kwanza mtu hajitumi na kuonyesha "kudhamiria".

Lakini jambo jingine watanzania tumeng'ang'ania sana Bongo. Pale Kongo Kuna utajiri mwingi hauna mwenyewe. Wanyarwanda & waganda wanavuna watakavyo.

Ni vzr likatengenezwa jukwaa la "wale waliopo kitaa" kubadilishana uzoefu na wale walioweza.

Nimependa zaidi wazo la kuanzisha jukwaa la "waliopo kitaa" Invisible
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kama dar fursa ziko nyingi tu wala haziitaji capital nene
1.Kua sales agent
1.Sajili business name brela 6000
2.Create ur own brand
3.Tengeneza business cards 100@5000
4.tafuta makampuni ya printing kama large format printing desktop printing offset printing na tsht printing omba quatation zao angalia the best deal omba kua. Commission agent pia unaweza kua una top up price kwa customer wako
5. Andaa quotation then zunguka kwa maofis omba tenda za kusuply printed materials kwa maofisi mashule mahospital nk ofis yako getto kwako
 
Tatizo wengi wetu hatuijui Tanzania. Watu wengi wakishashaanza kazi za kuajiliwa hujitoa ufahamu. Hawaonyeshi tija, ufanisi na ubunifu ktk kusaidia waliobaki mtaani.
The
Tatizo lingine linalotusumbua ni "uaminifu". Tanzania bidhaa hii ya uaminifu imekuwa adimu sana. Mfano wapo wafanyakazi walioajiriwa walijaribu kuchukua mikopo na kufanya "korabo" na wale waliopo kitaa, matokeo yake ndio kwanza mtu hajitumi na kuonyesha "kudhamiria".

Lakini jambo jingine watanzania tumeng'ang'ania sana Bongo. Pale Kongo Kuna utajiri mwingi hauna mwenyewe. Wanyarwanda & waganda wanavuna watakavyo.

Ni vzr likatengenezwa jukwaa la "wale waliopo kitaa" kubadilishana uzoefu na wale walioweza.

kaka em tujuze zaidi kuhusu hzo fursa za kongo km vp tuvuke boda mana bongo hali tete
 
Mkuu kama dar fursa ziko nyingi tu wala haziitaji capital nene
1.Kua sales agent
1.Sajili business name brela 6000
2.Create ur own brand
3.Tengeneza business cards 100@5000
4.tafuta makampuni ya printing kama large format printing desktop printing offset printing na tsht printing omba quatation zao angalia the best deal omba kua. Commission agent pia unaweza kua una top up price kwa customer wako
5. Andaa quotation then zunguka kwa maofis omba tenda za kusuply printed materials kwa maofisi mashule mahospital nk ofis yako getto kwako

ngoja tuone na hii mkuu, af hzo kuanzia namba 1 ni kaz moja au tofaut tofaut?
 
sio lazima upite nilipopita mimi mkuu,unakula kutokana na urefu wa kamba yako hela hiyo unaweza kuamza hata na kuku wachache au mbuzi jike na dume mpk unamaliza shule yako you have something.


Unazungumzia laki NNE na kumi na field umepangiwa mashamba ya katani Tanga na kwenu ni mtwara????
 
Back
Top Bottom