GPA ya 32, maandiko yametimia

GPA ya 32, maandiko yametimia

Wale akina Dr shika, nabii tito na huyu wa GPA 32 ni watu wa kitengo hutokea kipindi fulani ku interfere ishu zilizopo mezani hasa kama mazingira ya ufyatuaji lisasi yapo vibaya kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nabii Tito kweli alikuwa na matatizo.
Alifikia hatua alijikata hadi matumbo unafikiri ni propaganda?
 
.Mimi ni mhitimu kutoka chuo kikuu flani, juzi kati wakati tunafanya mitihani ya mwisho, alikuja katibu wa ccm wilaya akiwambia vijana "kama mnataka ajira jiunge ccm" kwa kuwa vijana kwa sasa wanaangaika sana walikubali haraka wakapewa kadi za ccm, vyeti vya kuonesha kuwa valikuwa wanaccm wakati wakiwa chuoni, wakauziwa t-shirt na wakaambiwa waache namba zao za simu kuwa watapangawa kazi punde
Kweli nilishangaa sana kuona jinsi Tanzania inako elekea kwa sasa
 
Propaganda utumika kama njia ya kuwaamisha watu kwenye reli waache kujadili jambo Fulani waelekeze kwenye kitu kingine ili kuizima ishu inayotrend,mfano Richmond Na kikombe cha babu,Dr shika,USA embassy vs chaguzi za marudio na GPA ya 32.nk.Ukiona ishu yoyote inayokaba kifuatacho ni propaganda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii uliy
Propaganda ni neno linalotokana na neno la ki-latini lililotumiwa kihistoria kwa Mara ya kwanza na chombo kipya katika kanisa katoliki kilichoundwa mwaka 1622 ambacho kilijulikana kwa jina la "Congregation de Propaganda" au kwa lugha isiyo rasmi "Propaganda".Ki-latini neno "Propagare" linamaanisha kusambaza yani Spread au Propagate.

NINI LILIKUWA DHUMUNI LA PROPAGANDA
Chombo hiki yaani Congregation de Propaganda kiliundwa mahususi ili kusambaza jumbe na kuhakikisha watu wanaamini katika U-Catholic na hasa ambao awali hawakuwa katika imani hiyo.Mnamo mwaka 1970 neno hili lilianza kutumika katika nyanja ambazo si za kiimani(Secular activities).
Na hatimaye katikati ya karne ya kumi na tisa ilichukua taswira mpya ambayo ni hasi hasa baada ya kuanza kutumika katika siasa(Political Sphere).
Kabla ya hapo na ambapo neno hili limeanza kutumika tayari,Propaganda inatajwa kufanikisha mabadiliko na matukio makubwa ulimwenguni baadhi ni Vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Rumi 44-30 BC,Reformation katika bara Ulaya na Mapinduzi ya Wamarekani(American Revolution) n.k

PROPAGANDA TANZANIA.
Ni miaka 32 sasa tangu Rais wa kwanza wa Tanzania hayati mwl Julius Nyerere ang'atuke,maadui wakuu watatu Ujinga,Maradhi na Umasikini graph yake inapanda kwa kasi,Tumeongeza Ujinga,Maradhi na Umasikini umekithiri,Mission failed.
Adui wa CCM si hao watatu tena,Sasa CCM adui yake namba moja ni Elimu na inafanikiwa kwa kasi sana kupitia propaganda zake mahsusi.
Si rahisi sana kueleweka pasipo kazi ya ziada katika jambo zito kama hill ambalo kwalo serikali ya Chama cha mapinduzi inaanza kufanikiwa pakubwa sana katika hili...Hivi sasa kote duniani serikali hutumia Propaganda kufanikisha Maslahi yake,kwa maana hii bila shaka Tanzania ni jambo ambalo lipo.

GPA YA 32
Binafsi nina mashaka makubwa na kijana yule mwenye GPA ya 32 na SUA ya Dodoma badala ya Morogoro,Pamoja na maelezo yake mengi sana yenye utata.
Kwanza,tukiangalia kwa muktadha kwamba Kijana yule alidhamiria kumdanganya mheshimiwa kuhusu elimu yake ili apate ajira,swali ninalojiuliza vipi kama Rais angempatia ajira angelipeleka vyeti gani?
Pili,kama yule bwana alikosa Confidence katika umati ule bado nashindwa kisadiki kwamba inaweza kupelekea aongee mambo ya ajabu kama Degree ya Udaktari wa Engineering, Non Sense,kwa msomi hata temper isingelikuana namna ile.
Tatu,Kama alikua ni kichaa yani mgonjwa wa akili basi it makes sense.

TUKO KATIKA NYAKATI GANI
Ninaomba niwakumbushe ndugu zangu,hivi sasa tuko katika nyakati ambapo ajira ni tatizo sugu ambalo serikali yetu ya Ccm imezidiwa,kuna umuhimu mkubwa was serikali kutafuta kichaka cha kujifichia.

PROPAGANDA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI
Kwa hakika tukio kijana yule ni la kutengenezwa kwa zaidi ya 100%,ili umma uamini yafuatayo
01.Wasomi hawapati ajira na ni haki yao ya msingi kutopata ajira kwasababu hawakuwa makini na walochobobea.
02.Wasomi hawapaswi kusikilozwa katika jamii ya Kitanzania kwa sababu hawana tofauti na wasiosoma,tukio like lilitengenezwa mahsusi ili kuuhadaa umma kutokuwasikiliza wasomi kwasababu CCM inaelewa wasomi na adui wao nambari moja.

Shame On CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mawazo yako ulio andika in propaganda ya CHADEMA! Eti?
 
Huu uzi mgumu kukomenti....ngoja ntakomenti baada ya kutafakari
 
Propaganda ni neno linalotokana na neno la ki-latini lililotumiwa kihistoria kwa Mara ya kwanza na chombo kipya katika kanisa katoliki kilichoundwa mwaka 1622 ambacho kilijulikana kwa jina la "Congregation de Propaganda" au kwa lugha isiyo rasmi "Propaganda".Ki-latini neno "Propagare" linamaanisha kusambaza yani Spread au Propagate.

NINI LILIKUWA DHUMUNI LA PROPAGANDA
Chombo hiki yaani Congregation de Propaganda kiliundwa mahususi ili kusambaza jumbe na kuhakikisha watu wanaamini katika U-Catholic na hasa ambao awali hawakuwa katika imani hiyo.Mnamo mwaka 1970 neno hili lilianza kutumika katika nyanja ambazo si za kiimani(Secular activities).
Na hatimaye katikati ya karne ya kumi na tisa ilichukua taswira mpya ambayo ni hasi hasa baada ya kuanza kutumika katika siasa(Political Sphere).
Kabla ya hapo na ambapo neno hili limeanza kutumika tayari,Propaganda inatajwa kufanikisha mabadiliko na matukio makubwa ulimwenguni baadhi ni Vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Rumi 44-30 BC,Reformation katika bara Ulaya na Mapinduzi ya Wamarekani(American Revolution) n.k

PROPAGANDA TANZANIA.
Ni miaka 32 sasa tangu Rais wa kwanza wa Tanzania hayati mwl Julius Nyerere ang'atuke,maadui wakuu watatu Ujinga,Maradhi na Umasikini graph yake inapanda kwa kasi,Tumeongeza Ujinga,Maradhi na Umasikini umekithiri,Mission failed.
Adui wa CCM si hao watatu tena,Sasa CCM adui yake namba moja ni Elimu na inafanikiwa kwa kasi sana kupitia propaganda zake mahsusi.
Si rahisi sana kueleweka pasipo kazi ya ziada katika jambo zito kama hill ambalo kwalo serikali ya Chama cha mapinduzi inaanza kufanikiwa pakubwa sana katika hili...Hivi sasa kote duniani serikali hutumia Propaganda kufanikisha Maslahi yake,kwa maana hii bila shaka Tanzania ni jambo ambalo lipo.

GPA YA 32
Binafsi nina mashaka makubwa na kijana yule mwenye GPA ya 32 na SUA ya Dodoma badala ya Morogoro,Pamoja na maelezo yake mengi sana yenye utata.
Kwanza,tukiangalia kwa muktadha kwamba Kijana yule alidhamiria kumdanganya mheshimiwa kuhusu elimu yake ili apate ajira,swali ninalojiuliza vipi kama Rais angempatia ajira angelipeleka vyeti gani?
Pili,kama yule bwana alikosa Confidence katika umati ule bado nashindwa kisadiki kwamba inaweza kupelekea aongee mambo ya ajabu kama Degree ya Udaktari wa Engineering, Non Sense,kwa msomi hata temper isingelikuana namna ile.
Tatu,Kama alikua ni kichaa yani mgonjwa wa akili basi it makes sense.

TUKO KATIKA NYAKATI GANI
Ninaomba niwakumbushe ndugu zangu,hivi sasa tuko katika nyakati ambapo ajira ni tatizo sugu ambalo serikali yetu ya Ccm imezidiwa,kuna umuhimu mkubwa was serikali kutafuta kichaka cha kujifichia.

PROPAGANDA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI
Kwa hakika tukio kijana yule ni la kutengenezwa kwa zaidi ya 100%,ili umma uamini yafuatayo
01.Wasomi hawapati ajira na ni haki yao ya msingi kutopata ajira kwasababu hawakuwa makini na walochobobea.
02.Wasomi hawapaswi kusikilozwa katika jamii ya Kitanzania kwa sababu hawana tofauti na wasiosoma,tukio like lilitengenezwa mahsusi ili kuuhadaa umma kutokuwasikiliza wasomi kwasababu CCM inaelewa wasomi na adui wao nambari moja.

Shame On CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
Naamini serikali haiwezi kufanya upuuzi huu.unless kama watanzania hawana akili kabisa,Elimu inatolewa na nani? Kama graduates wetu ni mazuzu shida ni wao au shida ni elimu inayotolewa na serikali ya ccm?
 
Serikali ya CCM imezidiwa!!. Mkuu mleta mada tazama tu idadi ya wanaopata mikopo ndipo utajua kuwa serikali haijazidiwa.

Tazama wanaopata huduma mahospitalini kila kukicha ndio utajua kuwa serikali haijazidiwa.

Tazama sekta ya mawasiliano inavyozidi kukua ndio utajua kuwa haijazidiwa. Waliozidiwa maarifa ni wanasiasa ambao wanaongozwa na mtu mmoja kwa miaka 14 na hawana ujanja wowote wa kupata mwingine mwenye maono mapya yenye kuwa na faida kwenye chama chao!!.

Yule jamaa ni mmoja wa wabongo wengi ambao hupenda kutaka kuonekana kuwa wanajua kila kitu, japo wanachokiongelea hawakifahamu.

Yule jamaa ni sehemu tu ya kizazi cha wapenda uongo, na ni kizazi kitakachopotea ndani ya miaka michache ijayo kwani wasomi wa kweli ndio wenye soko kwa sasa na kuendelea.

Ana bahati kwamba rais aliamua kuachana nae baada ya kumjua ni mtu mtafuta sifa za kwenye halaiki. Alichokifanya ni kosa la jinai, kudanganya kuwa una elimu fulani wakati huna ni sawa sawa na kutengeneza cheti feki kwenye stationary fulani.
 
Basi nimeamini watu tunawaza tofauti..
Mimi ninachojua yule jamaa sio mzima wa akili .
Yaani walifanya mistake ya kumpa chizi mic
Katika zama hizi ambazo Jiwe anahofia kutukanwa hata kwenye social media tu, wasingeweza kumpa mic kichaa. So ile haikuwa mistake. Well prepared in advance
 
Tukio liliandaliwa Kishamba sana. Maana hata mtiririko was maswali na majibu ilionesha kila kitu koliandaliwa.. Jamaa jakuwa kichaa ila in ulimbukeni was walioandaa scene.. Kama na muelewa ataelewa namaanisha mini..Yuki aware hakuna ajira mpya na ndio kilio kwa vijana wengi..aliyeulizwa ni mtu wa usalama...mkuu aandaliwa kuzika malalamiko ya ajira...wahitimu wanaosaka ajira wanaonekana kama vichaa sasa.
 
Propaganda ni neno linalotokana na neno la ki-latini lililotumiwa kihistoria kwa Mara ya kwanza na chombo kipya katika kanisa katoliki kilichoundwa mwaka 1622 ambacho kilijulikana kwa jina la "Congregation de Propaganda" au kwa lugha isiyo rasmi "Propaganda".Ki-latini neno "Propagare" linamaanisha kusambaza yani Spread au Propagate.

NINI LILIKUWA DHUMUNI LA PROPAGANDA
Chombo hiki yaani Congregation de Propaganda kiliundwa mahususi ili kusambaza jumbe na kuhakikisha watu wanaamini katika U-Catholic na hasa ambao awali hawakuwa katika imani hiyo.Mnamo mwaka 1970 neno hili lilianza kutumika katika nyanja ambazo si za kiimani(Secular activities).
Na hatimaye katikati ya karne ya kumi na tisa ilichukua taswira mpya ambayo ni hasi hasa baada ya kuanza kutumika katika siasa(Political Sphere).
Kabla ya hapo na ambapo neno hili limeanza kutumika tayari,Propaganda inatajwa kufanikisha mabadiliko na matukio makubwa ulimwenguni baadhi ni Vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Rumi 44-30 BC,Reformation katika bara Ulaya na Mapinduzi ya Wamarekani(American Revolution) n.k

PROPAGANDA TANZANIA.
Ni miaka 32 sasa tangu Rais wa kwanza wa Tanzania hayati mwl Julius Nyerere ang'atuke,maadui wakuu watatu Ujinga,Maradhi na Umasikini graph yake inapanda kwa kasi,Tumeongeza Ujinga,Maradhi na Umasikini umekithiri,Mission failed.
Adui wa CCM si hao watatu tena,Sasa CCM adui yake namba moja ni Elimu na inafanikiwa kwa kasi sana kupitia propaganda zake mahsusi.
Si rahisi sana kueleweka pasipo kazi ya ziada katika jambo zito kama hill ambalo kwalo serikali ya Chama cha mapinduzi inaanza kufanikiwa pakubwa sana katika hili...Hivi sasa kote duniani serikali hutumia Propaganda kufanikisha Maslahi yake,kwa maana hii bila shaka Tanzania ni jambo ambalo lipo.

GPA YA 32
Binafsi nina mashaka makubwa na kijana yule mwenye GPA ya 32 na SUA ya Dodoma badala ya Morogoro,Pamoja na maelezo yake mengi sana yenye utata.
Kwanza,tukiangalia kwa muktadha kwamba Kijana yule alidhamiria kumdanganya mheshimiwa kuhusu elimu yake ili apate ajira,swali ninalojiuliza vipi kama Rais angempatia ajira angelipeleka vyeti gani?
Pili,kama yule bwana alikosa Confidence katika umati ule bado nashindwa kisadiki kwamba inaweza kupelekea aongee mambo ya ajabu kama Degree ya Udaktari wa Engineering, Non Sense,kwa msomi hata temper isingelikuana namna ile.
Tatu,Kama alikua ni kichaa yani mgonjwa wa akili basi it makes sense.

TUKO KATIKA NYAKATI GANI
Ninaomba niwakumbushe ndugu zangu,hivi sasa tuko katika nyakati ambapo ajira ni tatizo sugu ambalo serikali yetu ya Ccm imezidiwa,kuna umuhimu mkubwa was serikali kutafuta kichaka cha kujifichia.

PROPAGANDA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI
Kwa hakika tukio kijana yule ni la kutengenezwa kwa zaidi ya 100%,ili umma uamini yafuatayo
01.Wasomi hawapati ajira na ni haki yao ya msingi kutopata ajira kwasababu hawakuwa makini na walochobobea.
02.Wasomi hawapaswi kusikilozwa katika jamii ya Kitanzania kwa sababu hawana tofauti na wasiosoma,tukio like lilitengenezwa mahsusi ili kuuhadaa umma kutokuwasikiliza wasomi kwasababu CCM inaelewa wasomi na adui wao nambari moja.

Shame On CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye Conclusion, Ukiangalia kwa jicho pembuzi kama ndivyo wanavyo amini CCM wako sahihi. Makazini na mtaani tunakutana na wasomi wengi sana wa ajabu ajabu. Kwa sie wenye ofisi binafsi inatubidi wakati mwingine tuajiri kwa vigezo vingine nje ya elimu na kununua vyeti.
Hali ya wasomi wetu ni mbaya wala tusipepese macho kwenye hili
 
Hata mimi nilishitukia ile ni clip. Vinginevyo sasa hivi tungeambiwa yupo chini ya ulinzi kwa kumdanganya mheshimiwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Propaganda ni neno linalotokana na neno la ki-latini lililotumiwa kihistoria kwa Mara ya kwanza na chombo kipya katika kanisa katoliki kilichoundwa mwaka 1622 ambacho kilijulikana kwa jina la "Congregation de Propaganda" au kwa lugha isiyo rasmi "Propaganda".Ki-latini neno "Propagare" linamaanisha kusambaza yani Spread au Propagate.

NINI LILIKUWA DHUMUNI LA PROPAGANDA
Chombo hiki yaani Congregation de Propaganda kiliundwa mahususi ili kusambaza jumbe na kuhakikisha watu wanaamini katika U-Catholic na hasa ambao awali hawakuwa katika imani hiyo.Mnamo mwaka 1970 neno hili lilianza kutumika katika nyanja ambazo si za kiimani(Secular activities).
Na hatimaye katikati ya karne ya kumi na tisa ilichukua taswira mpya ambayo ni hasi hasa baada ya kuanza kutumika katika siasa(Political Sphere).
Kabla ya hapo na ambapo neno hili limeanza kutumika tayari,Propaganda inatajwa kufanikisha mabadiliko na matukio makubwa ulimwenguni baadhi ni Vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Rumi 44-30 BC,Reformation katika bara Ulaya na Mapinduzi ya Wamarekani(American Revolution) n.k

PROPAGANDA TANZANIA.
Ni miaka 32 sasa tangu Rais wa kwanza wa Tanzania hayati mwl Julius Nyerere ang'atuke,maadui wakuu watatu Ujinga,Maradhi na Umasikini graph yake inapanda kwa kasi,Tumeongeza Ujinga,Maradhi na Umasikini umekithiri,Mission failed.
Adui wa CCM si hao watatu tena,Sasa CCM adui yake namba moja ni Elimu na inafanikiwa kwa kasi sana kupitia propaganda zake mahsusi.
Si rahisi sana kueleweka pasipo kazi ya ziada katika jambo zito kama hill ambalo kwalo serikali ya Chama cha mapinduzi inaanza kufanikiwa pakubwa sana katika hili...Hivi sasa kote duniani serikali hutumia Propaganda kufanikisha Maslahi yake,kwa maana hii bila shaka Tanzania ni jambo ambalo lipo.

GPA YA 32
Binafsi nina mashaka makubwa na kijana yule mwenye GPA ya 32 na SUA ya Dodoma badala ya Morogoro,Pamoja na maelezo yake mengi sana yenye utata.
Kwanza,tukiangalia kwa muktadha kwamba Kijana yule alidhamiria kumdanganya mheshimiwa kuhusu elimu yake ili apate ajira,swali ninalojiuliza vipi kama Rais angempatia ajira angelipeleka vyeti gani?
Pili,kama yule bwana alikosa Confidence katika umati ule bado nashindwa kisadiki kwamba inaweza kupelekea aongee mambo ya ajabu kama Degree ya Udaktari wa Engineering, Non Sense,kwa msomi hata temper isingelikuana namna ile.
Tatu,Kama alikua ni kichaa yani mgonjwa wa akili basi it makes sense.

TUKO KATIKA NYAKATI GANI
Ninaomba niwakumbushe ndugu zangu,hivi sasa tuko katika nyakati ambapo ajira ni tatizo sugu ambalo serikali yetu ya Ccm imezidiwa,kuna umuhimu mkubwa was serikali kutafuta kichaka cha kujifichia.

PROPAGANDA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI
Kwa hakika tukio kijana yule ni la kutengenezwa kwa zaidi ya 100%,ili umma uamini yafuatayo
01.Wasomi hawapati ajira na ni haki yao ya msingi kutopata ajira kwasababu hawakuwa makini na walochobobea.
02.Wasomi hawapaswi kusikilozwa katika jamii ya Kitanzania kwa sababu hawana tofauti na wasiosoma,tukio like lilitengenezwa mahsusi ili kuuhadaa umma kutokuwasikiliza wasomi kwasababu CCM inaelewa wasomi na adui wao nambari moja.

Shame On CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mambo yanashangaza sana, hata kama kapangwa, kwa nn asifubdishwe kwa makini nini cha kusema? Huenda akawa mgonjwa wa akili.
 
Back
Top Bottom