Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 12,984
- 11,567
Lakini kumbe ndio wao wanazichukua hizo fedha back halafu waja kutudai na interest kubwa....HYPOCRITES
Mkuu, inaelekea uliondoka zamani! Konoike ni contractors na sio consultants. H.P.Gauff GmbH, Carl Bro, Sweco waliishaondoka zamani! Nadhani makampuni ya kigeni ya uhandisi yaliyobaki ni Howard Humphreys na Cowi Consult.
Mazingira ya kufanya kazi nyumbani kwa makampuni ya kigeni ni magumu mno tofauti na tunavyodhania.
Kwanza, registration fees na subscription fees za consultancy firms za kigeni katika professional bodies ni kubwa mno.
Pili, wataalamu wa kigeni individually nao wanatakiwa kuwa registered na wao nao fees zao ni za juu sana ukilinganisha na zile kwa raia wa Tanzania.
Tatu, makampuni mengi haya yalikuja ili kutekeleza miradi inayofadhiliwa na nchi zao. Kwa muelekeo wa ufadhili umebadilika na kuwa multi-lateral (EU, World Bank etc) inakuwa vigumu kwa nchi moja moja kupigia debe kampuni zake.
Nne, baada ya soko kufunguliwa pamekuwa na ushindani mkubwa kutoka makampuni ya nyumbani (TanConsult, M-Konsult etc) ambayo wakati mwingine yanashirikiana na makampuni mengine ya nje.
Tano, mdudu rushwa umeingia mno katika utoaji wa contracts, eneo ambalo haya makampuni mengine yanabanwa na sheria za kwao.
Ili kuepuka mengi ya haya , makampuni mengine yamekuwa localised. Hii inawapunguzia mzigo wa fees maana as a local company fees ni ndogo na vile vile kuruhusu washirika wao wabongo kucheza mchezo tunavyojua wenyewe. Mara nyingi u'foreign company' unakuwa token tu, ili kuwawezesha kupata miradi michache inayotoka kwao na kubakiza veneer ya kuwa bado ni clean.
Kuhusu wafanyakazi katika makampuni kama haya yanayofunga virago, naamini kuwa wanalipwa terminal benefits zao vizuri tu. Na tusisahau kuwa kama kuna ulaji mara nyingi hata wale watendaji wasimamizi nao wananufaika! Wafanyakazi wakisha jua bosi kuwa ni mwizi basi nao huwa hawasiti kujichukulia pensheni yao mapema.
haya yote niliyoyazungumzia hapa ni general na si lazima kuwa NorConsult ikawa na yenyewe imo katika kundi hili. Siwajui kwa hiyo siwezi kuwazungumzia. Kinachoniuma mimi ni kuwa hawa mabwana kama sikosei ndiyo waliyotayarisha Environmental Impact Assessment report kuhusu mradi wa Soda Ash lake natron na kudai kuwa flamingoes hawatadhurika! kama kweli ni wachafu, na makampuni kutoka India tunayajua, nina wasi wasi hasa na genuineness ya hiyo assessment. kwangu mimi, mengine yote tisa ila kwenye hili kama walihusika inabidi washughulikiwe KIKAMILIFU.
Amandla!
Sometimes some other people act as idiots in the sense that There isn't any place whatsoever where I claimed Konoike to be consultants, my words are as stated above. Let Fundi Mchundo ascertain and prove that H. P. Gauff GmbH, Carl Bro have left Tanzania? Can he precisely tell us when did they pack and go? I never mentioned Sweco did I?
I think Fundi can be really Mchundo as he wants us to believe that, what he wrote is correct can he prove us wrong that Norconsult AS were not linked directly with NORAD? Can he prove that H.P. Gauff with partnership with Biwater were not linked with the dubious case of water project in Dar?
In regard to Engineers registration to different bodies those fees shouldnt be a problem as a normal practice they can be offset when tendering for different projects. In actual fact the amounts are peanuts comparing to the values of works they charge.
I think Fundi can be really Mchundo as he wants us to believe that, what he wrote is correct can he prove us wrong that Norconsult AS were not linked directly with NORAD?
Kuna tendency ya watanzania kuamini kuwa watu au kampuni za kutoka nchi za Scandinavia ni waaminifu kwa sababu ya misaada wanayotupa. Lakini na wao wana wajanja wao ambao hawachelewi kunyonya au kupindisha sheria. Nakumbuka kuna waliowai kuwekeza katika nchi moja lakini kiwanda kilikuwa cha madawa ya kulevya.
Mkuu! Francis Kifukwe ameishakuwa mzungu? Painful as it is, lazima tukubali kuwa ni sisi, ambao tuko mbele kwenye hii michezo michafu.
Nadhani ni hii ndiyo kampuni iliyofanya Environmental Impact Assessment kwa mradi wa Soda Ash Ziwa Natron.kama ni hivyo, kuna haja ya ku'suspend' mradi na kufanya EIA nyingine. Mnyakyusa atakuwa ametutosa![/FONT]
Hivi unapoongelea kampuni kuondoka zamani una maana gani? Unafahamu kwamba kampuni inaweza kukaa domant kwa miaka kadhaa wakati jina lake limechafuliwa au kukosa kazi? H.P. Gauff bado wapo kwenye ile skendo ya mradi wa maji walipoungana na Biwater sasa hii ni ya zamani kweli?
Howard Humphreys kwa mfano walikuwa domant kwa miaka kadhaa kabla ya kuibuka tena. Anyways sina sababu ya malumbano ambayo siyo ya kumkoma nyani giladi. Hawa mafedhuli ni lazima washitakiwe na serikali ya CCM chini ya JK vinginevyo hatuwezi kuwaelewa.
..latest infor ni kwamba study nyingine inatakiwa kufanywa. mradi umesimamishwa mpaka hiyo study ifanyike!
Bwana, Allah, Jah asifiwe! Asante Mkulu!
..but my opinion is that,kama mradi ni endelevu kimazingira,why not have soda ash from the area?.
..it seems,kuna watu wana band wagon makundi yasiyotaka tanzania ifaidike na soda ash hiyo kwa hoja ya mazingira endelevu.
Yanga mlie hela za dezo za kutoka kwa Kifukwe zimeisha!!!!
Kwi kwi kwi kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!
..fundi,
..sikusemi weye!
..halafu,hiyo ash itaisha pale ambapo olidonyo lengai itakuwa imefutika katika ardhi hii.
Let Fundi Mchundo ascertain and prove that H. P. Gauff GmbH, Carl Bro have left Tanzania? Can he precisely tell us when did they pack and go? I never mentioned Sweco did I?
I think Fundi can be really Mchundo as he wants us to believe that, what he wrote is correct can he prove us wrong that
.
Why did Norconsult AS left in a hurry ......
1. Assumption moja ni kuwa wamevunja cardinal rule ya serikali yao (Sheria kwao ni msumeno na wanafahamu what will be next) hivyo faini yao itakuwa kubwa na huenda wakapoteza billions sio Tanzania bali kokote wanakofanya kazi ulimwenguni.
2. Ili kutokuipaka matope serikali yao wameona bora wakimbie, Je ubalozi wa Norway wanasemaje pale Dar? Je, walikuwa hawalijui hili?
3. Wasingeweza kujikosha kwa maajabu yao na ni lazima Norwegian Embassy know what is cooking (I presume)
4. Je serikali ya JK itachukua hatua gani kwa kampuni hii (Norconsult AS ambayo kutokana na vitendo vyake inakubali kuvunja sheria) na zile ambazo hazikusajiliwa kihalali?
Je, Kampuni zingine kama Konoike, Cowiconsult, H. P. Gauff GmbH, Carbro na nyinginezo hawana matatizo kama yaliyowakumba Norconsult?
Mkuu, inaelekea uliondoka zamani! Konoike ni contractors na sio consultants. H.P.Gauff GmbH, Carl Bro, Sweco waliishaondoka zamani! Nadhani makampuni ya kigeni ya uhandisi yaliyobaki ni Howard Humphreys na Cowi Consult.