Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,940
- 6,854
Mkuu Morani!
Kuna thread humu watu wanamlalamikia Mheshimiwa Rais kwa kuchelewa kumteua Waziri mpya mbadala wa Chenge! Hakuna mtu anayeulizia kuhusu makatibu wakuu wa hizi wizara. Kwa mtazamo wangu mimi, makatibu wakuu kama accounting officers wa wizara ni wa muhimu zaidi kuliko hawa wanasiasa kwa maana wao ni watendaji. Huu msistizo wetu wa kukazania siasa badala ya kuhakikisha kuwa tuna institutions na technocrats makini in place ndiyo unaochangia yote haya ya wakina NorConsult, CarlBro etc. Watendaji wangewajibika ipasavyo, tusingefika hapa. Na bila kuzistrengthen hizo institutions huu mwimbo tutakuwa tuna'rewind' kila siku!
Kuna thread humu watu wanamlalamikia Mheshimiwa Rais kwa kuchelewa kumteua Waziri mpya mbadala wa Chenge! Hakuna mtu anayeulizia kuhusu makatibu wakuu wa hizi wizara. Kwa mtazamo wangu mimi, makatibu wakuu kama accounting officers wa wizara ni wa muhimu zaidi kuliko hawa wanasiasa kwa maana wao ni watendaji. Huu msistizo wetu wa kukazania siasa badala ya kuhakikisha kuwa tuna institutions na technocrats makini in place ndiyo unaochangia yote haya ya wakina NorConsult, CarlBro etc. Watendaji wangewajibika ipasavyo, tusingefika hapa. Na bila kuzistrengthen hizo institutions huu mwimbo tutakuwa tuna'rewind' kila siku!