Gospel Singer Angel Benard

Gospel Singer Angel Benard

MTAZAMO

Platinum Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
19,990
Reaction score
34,838
Huyu msanii wa nyimbo za injili sikuwahi kumfahamu.....lakini kutokana na mazoea nowdays kutune Praise Power FM kila asubuhi mwendesha kipindi kwa siku za karibuni amekuwa akipiga nyimbo moja kali ambayo ipo kwenye mahadhi ya R&B .......kiukweli baada ya nyimbo hii kupigwa mara ya kwanza na ulipoisha mtangazaji akaurudia.....nilikuwa bafuni nikioga ikanilazimu nitoke kwanza nisikilize vizuri na hasa nijue nani kaimba hiyo nyimbo.........

Ndio kwa mara ya kwanza nasikia mtangazaji akimtambulisha kama Angel Bern na nyimbo inaitwa Mwamba (kama sikosei) .........bahati mbaya nimejaribu kuutafuta wimbo huu kwenye mitandao sijaupata lakini nakuhakikishieni inaweza kuwa R&B bora kabisa hata ukichanganya na R&B za Bongo Fleva .............

Kama kuna mwenye idea na nilichozungumzia tupe link ya kupata nyimbo hii na binafsi kama huyu binti anapita hapa atambue kuna kitu kikubwa sana ndani yake.........she is very talented............
 
Kuonesha kwamba kipaji cha huyu binti nimekizimia ile mbaya......imebidi nifukunyue kwenye FB page yake na kukuta maelezo haya...........


angel Bernard is not only a gifted Tanzanian gospel singer, songwriter and recording artist but also an incredible worship leader among many in The DOXAZ family with a varied and uniquely styled presentation of gospel music.

Angela is indeed... a blessings to generations alive, and will be to those yet to come. Every platform is an opportunity to fulfill her God-given assignment and this humble, energetic and passionate singer is humbly welcome you to share her new album goes by the name ‘NEW DAY', with her journey started from ‘Yote Yalikwisha' and ‘Nitakuabudu Milele', NEW DAY is brought with bizarre sophistication of the contemporary gospel taste.

Wherever you are you don't want to miss this incredible moment. What has been said is just a little part of the story to be told. The name is Angel Bernard. Watch Out!!!! See More
Namshukuru Mungu kwa kunifanikisha hata sasa. Album yangu ipo tayari,inaitwa NEW DAY. Karibu sana jumapili ijayo pale Wordalive sinza Mori,tumshukuru Mungu pamoja pale Album hii itakapowekewa mikono na watumishi wa Mungu.
Am excited and gratefull.
 
sheikA kiukweli simfahamu lakini bado najaribu kufatilia kazi zake ........hasa baada ya kusikia nyimbo yake kupitia Praise Power FM kila asubuhi kabla ya saa moja .........

Nimeona picha zake FB nikiangalia na hiyo video uliyoweka nadhani ni yeye .............
 
Last edited by a moderator:
SHIEKA sasa baada ya kusikiliza na hii uliyoweka nadhani nimechelewa sana kugundua kipaji hiki ......nitaitafuta albamu yake ...........

umewahi kumsikia mahali popote SHIEKA ?
 
Last edited by a moderator:
SHIEKA sasa baada ya kusikiliza na hii uliyoweka nadhani nimechelewa sana kugundua kipaji hiki ......nitaitafuta albamu yake ...........

umewahi kumsikia mahali popote SHIEKA ?
Sijamsikia popote wala sijawahi kumwona.Ulipomtaja kwenye thread yako nikavutiwa sana kumsikia kwa sababu napenda muziki wa injili sana. Nikagoogle nikapata huo wimbo.Ni mara yangu ya kwanza kumsikia leo.
 
Sijamsikia popote wala sijawahi kumwona.Ulipomtaja kwenye thread yako nikavutiwa sana kumsikia kwa sababu napenda muziki wa injili sana. Nikagoogle nikapata huo wimbo.Ni mara yangu ya kwanza kumsikia leo.

Ndio maana binafsi nikaguswa na jinsi binti huyu alivyo na kipaji lakini hafahamiki.......ukisikia huo wimbo niliouzungumzia huwezi amini kwanini hafahamiki.......
 
ANGEL BENARD ni jina ambalo limekuwa likisikika kwa miaka kadhaa sasa kwenye ulimwengu wa muziki wa gospel. Angel Benard mwenye miaka 25 hatimaye sasa anaachia album yake NEW DAY kwenye mfumo wa digitali kupitia www.mkito.com. Watu wengi wamekuwa wakisubiri kusikia nyimbo zake za zamani lakini haikuwa rahisi kuzipata. Album hii ni album ya 3 ya mwana dada huyu mwenye sauti ya maajabu. Ni wasanii wachache sana wa muziki wa gospel ambao wamefanikiwa kuvusha nyimbo zao zikapendwa na wapenzi wa gospel pamoja na wapenzi wa muziki wa bongo flava, RnB n.k. na mwimbaji huyu ni mmoja wapo.

Katika kuitambulisha album hii Angel Benard ataachia wimbo mmoja kila siku ya Alhamis kwa wiki 10 mfululizo. Wimbo wa kwanza utatoka tarehe 23 October na unaitwa NEED YOU TO REIGN ukiwa katika miondoko ya Reggae.



 
Asante javascript kwa taarifa hii..... nitanunua albam yake niisikilize ......she is very talented.....
 
Last edited by a moderator:
nasikiliza sana album yake na hainichoshi ni nzuri sana
 
yupo vizur sana huyu dada ktk uimbaji namfaham na ninabaadhi ya nyimbo zake
 
huyu dada ni anajua yupo vizuri..
alikuwa Pamoja na kundi la mziki wa injili kabla liliitwa glorious celebration baadae ikawa glorious worship team

album Yao ya kwanza ya niguse mwaka 2011 ndo nilipata kumjua kwani aliongoza nyimbo kadhaa ikiwepo niguse Yenyewe na ee roho na nyimbo kadhaa za album hiyo..

nampenda sana
 
Angel ni fundi mno.betterthan wengi wanaofanya secular music.she's extremely vocally gifted n she got singing technics za hatari.one of my favourite!!
 
ah nimechelewa....i love this woman's music!!!! amazing talent, gifted vocals na aa swag fulani hivi yani you just fall in love with her and her music wholeheartedly!!!
 

Tazama hapa video mpya ya Angel bernard, salama rohon, nimetokea kuupenda huu wimbo deadly, ulinifanya niitafute album yake ya New day amplified ambao ndo unapatikana huu wimbo,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom