N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,992
- 12,036
Yes she's married to Godsave SakafuAmeolewa??
Yes she's married to Godsave SakafuAmeolewa??
Ni kweli mkuu ...she is the bestJuzi kati napita YouTube nikaona wimbo wa huyu Dada uitwao salama rohoni mwangu. Huyu Dada anaimba aisee. Anaimba haswa itabidi nitafute Kazi zake zingine
Nitanunua Kazi zake siwezi download bure kama appreciation yangu kwake
Kiukweli inashangaza wengi tumechelewa kumfahamu ....mimi siku nasikia nyimbo yake Praise Power Fm nilisitisha kufanya chochote ili nisikie mtangazaji anasema ni nani ....imagine nilianzisha huu uzi 2014!Hii nyimbo sikujua kwamba ni gospel song, nyimbo ya need you to reign ni kali vibaya kiasi kwamba naiona ikisikilizwa 20 years ahead na vijana wapenda muziki mzuri watakaokuwepo enzi hizo.
Sikuwahi kumfahamu ila nimemjulia katika hio nyimbo. Ni muunganiko wa beat ya ukweli na vocals za hatari sana kupata kusikia!
Naombeni mnifahamishe je ni mtanzania ama?
nikumbushe wema wako uleee au sio. Sio siri nmemuelewa sana mrembo huyu, anatisha kwa vocal sijapataga onaHuyu mdada ana "angelic voice", kama lilivyo jina lake. Wimbo wake wa "Nikumbushe" ndio kwangu the best gospel song ever!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah, tumetoka mbali sanaKatika kuhakikisha huyu dada anafikia watu wengi. Nimefanikisha kukamilisha website yake na profiles za social networks zingine. Tafadhali mnaweza kumpata moja kwa moja kupitia hizi links.
www.angelbenard.com
www.facebook.com/OfficialAngelBenard
www.instagram.com/benardangel
www.youtube.com/angelbenard
www.twitter.com/angelbenard
Nyimbo zake pia zinapatikana kupitia mkito kwa hii link
www.mkito.com/artist-profile/Angel-Benard/941
