Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,720
- 3,456
True hyo inakuwa na software ambazo zinaboost na kuchange situation halisi..for sure haiwezekan upige picha gizan then ww uonekane umeng'aa inakuwa haimake sense...camera ni sawa na jicho yaan kama jicho likiona giza basi giza kwel haiwezekan kuwe na giza halaf macho yaone kuna mwanga
Sent using Jamii Forums mobile app
It doesnt mean total darkness, ila giza ambalo huon yenyewe inakupa picha halisi, nahis it has to do with wavelength au heat ndo mana inakuwa somehow accurate