mazagazagaa
JF-Expert Member
- Sep 26, 2016
- 290
- 209
adsense si chochote si lolote utafungiwa tuu hata ufuate sheria zao, leo zaidi ya blogger sita wamefungiwa account zao ninaowafahamu mmoja ilikua na dollar 1,200$(tarehe ya malipo ni tarehe 21), na utaishi kwa pressure tupu kila ukikaribia kulipwa wanakufungia.. jaribu revenuehits na propeller ....hua tunalaza mpaka dollar 150$ per day.. cheki hapa mpaka reload ya mwisho kesho saa nne zimefika mia.Atimae nimepata adsense
mkuu tunaomba utuwasilishie chek uliyoipata kwenye propeller ya kutoa mkwanjaadsense si chochote si lolote utafungiwa tuu hata ufuate sheria zao, leo zaidi ya blogger sita wamefungiwa account zao ninaowafahamu mmoja ilikua na dollar 1,200$(tarehe ya malipo ni tarehe 21), na utaishi kwa pressure tupu kila ukikaribia kulipwa wanakufungia.. jaribu revenuehits na propeller ....hua tunalaza mpaka dollar 150$ per day.. cheki hapa mpaka reload ya mwisho kesho saa nne zimefika mia.
View attachment 472163
kweli hii dunia ina vituko..nakushauri tafuta ma-group ya ma-blogger wakongwe uone watu wanavyopiga mpunga mrefu, kila kitu utashuhudia huko, utapata na maarifa mengi, hapa jf huwezi kuelewa chochote.. mimi nimekuja kutoa ushauri tuu, sio kukuaminisha..mkuu tunaomba utuwasilishie chek uliyoipata kwenye propeller ya kutoa mkwanja
bc usingeleta ushauri km uwez kutoa ufafanuz vizuri,acha ubabaishaji boykweli hii dunia ina vituko..nakushauri tafuta ma-group ya ma-blogger wakongwe uone watu wanavyopiga mpunga mrefu, kila kitu utashuhudia huko, utapata na maarifa mengi, hapa jf huwezi kuelewa chochote.. mimi nimekuja kutoa ushauri tuu, sio kukuaminisha..
Asante kwa ushaurikweli hii dunia ina vituko..nakushauri tafuta ma-group ya ma-blogger wakongwe uone watu wanavyopiga mpunga mrefu, kila kitu utashuhudia huko, utapata na maarifa mengi, hapa jf huwezi kuelewa chochote.. mimi nimekuja kutoa ushauri tuu, sio kukuaminisha..
Ww unatumia ipi ? Na naomba link ya iyo blog yako nicheck jinsi matangazo yao wanavyowekakweli hii dunia ina vituko..nakushauri tafuta ma-group ya ma-blogger wakongwe uone watu wanavyopiga mpunga mrefu, kila kitu utashuhudia huko, utapata na maarifa mengi, hapa jf huwezi kuelewa chochote.. mimi nimekuja kutoa ushauri tuu, sio kukuaminisha..
tatizo ujuaji mwingi ndio unawaponza ma-blogger wachanga, kila siku mnalia tunafungiwa account mkipewa ushauri mnataka cheque za propeller that is nonsense...++>> hata hujua malipo ya propeller yanafanyika kwa njia gani??,, unadhani wanalipa kwa cheque???endelea kupambana na adsense tuu na utafungiwa mpaka uzeeni,,, kwa sasa approx 85% ya blogger wakongwe hakuna anayejaribu kugusa adsense,, hizo adsense tumefungiwa sana wengine zikiwa na dollar 3000$-5000$.. Tatizo umeijua adsense juzi(am sure hauna miaka miwili kwenye adsense) huwezi kuelewa mambo yanavyokwenda..bc usingeleta ushauri km uwez kutoa ufafanuz vizuri,acha ubabaishaji boy
tatzo ujajua mm ni nan ungejua cjuiiiiiiiiitatizo ujuaji mwingi ndio unawaponza ma-blogger wachanga, kila siku mnalia tunafungiwa account mkipewa ushauri mnataka cheque za propeller that is nonsense...++>> hata hujua malipo ya propeller yanafanyika kwa njia gani??,, unadhani wanalipa kwa cheque???endelea kupambana na adsense tuu na utafungiwa mpaka uzeeni,,, kwa sasa approx 85% ya blogger wakongwe hakuna anayejaribu kugusa adsense,, hizo adsense tumefungiwa sana wengine zikiwa na dollar 3000$-5000$.. Tatizo umeijua adsense juzi(am sure hauna miaka miwili kwenye adsense) huwezi kuelewa mambo yanavyokwenda..
i dont like even to know you...endelea kukomaa na adsense..maisha yaendelee.. tufanye kazitatzo ujajua mm ni nan ungejua cjuiiiiiiiii
poa poa mkuuuuui dont like even to know you...endelea kukomaa na adsense..maisha yaendelee.. tufanye kazi
kwel boy mana kila mtu maneno tuuuui wish bloggers humu waweke links zao tuzisaminishe
Afyazone -i wish bloggers humu waweke links zao tuzisaminishe
kwel boy mana kila mtu maneno tuuuu
Hii yako unatumia propel
Google adsenseHii yako unatumia propel