kwanini unasema hivyo kaka?
Goodluck Jonathan, hatoshinda uchaguzi. Mshindi atakuwa GENERAL MOHAMED BUHARI. MARK MY WORDS
bahati utengenezwa ,hata nuhu alijitengenezea safina ukikaa tu nyumbani bahati haikufuati,inawezekana kwa mazingira ya naijeria udini,rushwa,usanii wa hali ya juuu lolote likatokeaUnajua maana ya jina 'GOODLUCK' ?
huyu alikua naibu Gavana...gavana akaondolewa yeye akarithi ugavana kamili
baadae akawa makamu Rais.Rais akafa akarithi yeye urais..
he is just too lucky....
Mbona wewe hukueleza kwa nini umesema vile?kwanini unasema hivyo kaka?
Unajua maana ya jina 'GOODLUCK' ?
huyu alikua naibu Gavana...gavana akaondolewa yeye akarithi ugavana kamili
baadae akawa makamu Rais.Rais akafa akarithi yeye urais..
he is just too lucky....
Unajua maana ya jina 'GOODLUCK' ?
huyu alikua naibu Gavana...gavana akaondolewa yeye akarithi ugavana kamili
baadae akawa makamu Rais.Rais akafa akarithi yeye urais..
he is just too lucky....
Yani kama dk tano kuna mwenzangu alikuwa ananijuza kuhusu GoodLuck...
Akanambia hajawai kugombea urais alichukua madaraka baada ya rais kufa...
Wala nilikuwa sina habare...
Kumbe hata huyo alochana kadi ni wa North japo ni Mkristu..no wonder yuko against Goodluck...wana ukanda sana hawa watu...
Jamaa amenisimulia juu ya vita vya sijui Bihafla na jinsi Tanzania inavyochukiwa na Nigeria sababu tulikuwa tuna support South kujitenga enzi za mwalimu...amesema kumbe Nigeria waliamua kum support Idd Amini sababu ya alichokifanya mwalimu kuunga mkono kuigawa Nigeria...sababu watu wa SOuth wamekuwa wanabaguliwa na wa North ambao for so long walikuwa wanaendesha nchi
You got it wrong..The poor guy is pathetic to say the least! Kuahirisha uchaguzi na Kumfukuza Gen Obasanjo kutoka UPDP were the last nails in Jonathan's coffin! good riddance
Biggest threat ya Goodluck wala sio Buhari
biggest threat ni Obasanjo.....kama Obasanjo akiamua kum support Buhari hapo kazi ipo
Obasanjo ni very powerfull still....ingawa akim support Buhari itakula kwake
sababu wote ni majenerali...Buhari hatam ruhusu aendelee kuwa powerful
YESU WWa GOODLUCK UTAMTAMBUA KWA MATENDO
nimefuatilia kwenye forum yao Nairaland na twitter Jonathan bado ana support
Alipogombea walikuwa 60% akashinda kupitia jina LA majeshi Yesu anazarethKama Goodluck Jonathan atashinda basi kweli huo utapaswa kiitwa muujiza..sioni atashindaje...kumbuka Waislam wa Kaskazini ni takriban 60% ya wapiga kura.