Goodbye President George W. Bush!

Lakini hizo special interests sio ndio zinazotoa kazi kwa wananchi wa kawaida. Sasa akitoa favor kwa mtu aliye kwenye social welfare, ni kitu gani kitakachofanyika?

Wengi walionufaika na special interests kutokana na kupindishwa kwa sheria na lack of oversight ama deregulations na contracts ambazo zimetolewa kinyamela nyamela ni watu ambao hawana shida na hela. These are already millionaires but they wanted more "greedy". Ukiangalia ma Kampuni mengi yamenufaika kutokana na urafiki wa karibu na Bush mwenyewe ama watu wake wa karibu, na haya makampuni kama Halliburton, Exxon Mobile, Pfizer, Blue Cross Blue Shields, Black Water, bado yanaendelea ku screw maisha ya wamarekani wengi kwa sababu ya favors (deregulations) na ma bilioni ya $ walizopewa/wanazoendelea kulipwa kwa mikataba ambayo wengine hawakupewa chance ya ku submit their bid. Hata baada ya wanajeshi wake kuua innocent civilians kule Iraq, Blackwater wakapewa new contract ya $92 million. Bush administration inapotoa subsidy ya millions of dollars kwa big pharmaceuticals ambazo instead ya ku pass hizo benefit down to the end user, wanalipa mishahara minene kwa executives wao (CEO wa Pfizer alipokea $11 mil mshahara pekee in 2007 achana na stock options na compensation nyingine), na wazee na retirees wasio na hela wanaotegemea haya madawa wanatafuta unafuu kwa kununua prescription medicine zao kutoka Canada na Mexico, tell me how the common man gets benefited.
Regime ya Bush hakumsaidia mtu mdogo, hohe hahe, hata kidogo. Hii regime iliangalia magabachori. Angalia hata tax policy zake.
Did I mention Bush tripled the national (US) debt (already in the TRILLIONS of dollars)?
 
Wengi walionufaika na special interests kutokana na kupindishwa kwa sheria na lack of oversight ama deregulations na contracts ambazo zimetolewa kinyamela nyamela ni watu ambao hawana shida na hela. These are already millionaires but they wanted more "greedy". Ukiangalia ma Kampuni mengi yamenufaika kutokana na urafiki wa karibu na Bush mwenyewe ama watu wake wa karibu, na haya makampuni kama Halliburton, Exxon Mobile, Pfizer, Blue Cross Blue Shields, Black Water, bado yanaendelea ku screw maisha ya wamarekani wengi kwa sababu ya favors (deregulations) na ma bilioni ya $ walizopewa/wanazoendelea kulipwa kwa mikataba ambayo wengine hawakupewa chance ya ku submit their bid. Hata baada ya wanajeshi wake kuua innocent civilians kule Iraq, Blackwater wakapewa new contract ya $92 million. Bush administration inapotoa subsidy ya millions of dollars kwa big pharmaceuticals ambazo instead ya ku pass hizo benefit down to the end user, wanalipa mishahara minene kwa executives wao (CEO wa Pfizer alipokea $11 mil mshahara pekee in 2007 achana na stock options na compensation nyingine), na wazee na retirees wasio na hela wanaotegemea haya madawa wanatafuta unafuu kwa kununua prescription medicine zao kutoka Canada na Mexico, tell me how the common man gets benefited.
Regime ya Bush hakumsaidia mtu mdogo, hohe hahe, hata kidogo. Hii regime iliangalia magabachori. Angalia hata tax policy zake.
Did I mention Bush tripled the national (US) debt (already in the TRILLIONS of dollars)?

I guess unaishi Marekani. Kama wana-screew maisha ya watu hapa Marekani, mbona unaendelea kuishi hapa?

Deni kubwa sio Tatizo kwa sababu bado standard of living ni kubwa na vilevile linaweza kulipwa.

Marekani sio utopian society na mambo ya common man kuwa benefited yanategemea juhudi zake na sio serikali.
 
I guess unaishi Marekani. Kama wana-screew maisha ya watu hapa Marekani, mbona unaendelea kuishi hapa?

Deni kubwa sio Tatizo kwa sababu bado standard of living ni kubwa na vilevile linaweza kulipwa.

Marekani sio utopian society na mambo ya common man kuwa benefited yanategemea juhudi zake na sio serikali.

Mkuu Zakumi, sio kweli kwamba standard of living iko pale pale kwa sababu people are incurring more debt ku stay afloat.
Point yako kuhusu utopian society ni nzuri, lakini kama utauridia mtundiko wangu wa uliopita nilisema kuwa the rich got richer under Bush administration. I like free market economy na I want everybody to be rewarded based on their creativity...lakini fund managers, investment bankers, na drug companies walio cut corners ili ku make quick buck here and there ili waweze kubanana kule Hampton, hao ndio shida yangu mimi. Kwa sababu they took advantage of the poor.
Uchumi unapo collapse kama sasa hivi kampuni zinapokuwa kwenye hiring freeze ni nani anaumia? Its decent people at low levels, janitors, clerks, it is the hard working graduates ambao wanataka kuweka their foot on the company's door ili wapate atleast a shot.
Marekani is a great country kwa sababu, if you work hard, you become creative, and you are honest...you will become successful. Hiyo ni guarantee. Lakini tumeona dreams nyingi za watu ziki fade away under Bush administration (middle class people losing their homes, their savings),, labda I am biased kwa sababu sikuwepo hapa wakati wa Carter na wakati wa Nixon. But based on what I know, this president has made major screw ups hilo halina mjadala (Veterans have to fight to get their benefits wanaporudi nyumbani, na rate ya suicide kwa veterans wanaorudi kutoka Iraq ni ya juu kuliko wakati wa vita nyingine, eg Vietnam).
Jana na leo nilikuwa nikisikiliza confirmation hearing ya new AG, na nikakumbuka jinsi Bush, Karl Rove na Alberto Gonzales walivyokuwa wanawafukuza kazi U.S. attorneys waliokuwa wanatofautiana na White House. What does this tells you about the man who believes in free society and democracy?
 
I guess unaishi Marekani. Kama wana-screew maisha ya watu hapa Marekani, mbona unaendelea kuishi hapa?

Point ya kwa nini kuendelea kuishi Marekani ni irrelevant. Unataka kuniambia wazee wetu kule Tanzania wanavyolalamika kuhusu rushwa, ujambazi, mauaji ya albino, unyanyasaji wa Polisi, mfumuko wa bei, ukosefu wa ajira, uzembe mahospitalini, ajali nyingi barabarani, etc., solution ni wao kuhama nchi? No, I don't think so.
Ninacho pigia kelele hapa ni kwamba Marekani ya leo haikuwa hivi 10 years ago. Things have been worse under G'Dub'ya.
 
Nakubaliana na wote wanaosema George Bush ndiye aliyeutumbukiza shimoni uchumi wa marekani na kusababisha dunia yote kuambukizwa.Nguvu nyingi na resources zake alizitumbukiza kwenye war on terror na kusahau domestic issues huku akiacha sector nyingi za uchumi zikiwa haziko regulated na hayo ndiyo matokeo yake.Hataki kukiri kwamba yeye ndiye aliyeitumbikiza marekani matatizoni japo anakiri kwamba given chance kuna mambo asingeyafanya vile alivyofanya. Anakiri kuchemka kwenye baadhi ya mambo japo hataki kukiri wazi wazi.

Huyu jamaa wacha apumzike tu lakini historia itamkumbuka kama tunavyoikumbuka Great Depression.
 
Mnaeleza vitu kwa chuki tu bila analysis yoyote ya kimsingi. Uchumi una cycle zako. Na maendeleo ya uchumi sio linear. Uchumi unapanda na kushuka. Na sababu nyingine za kushuka ziko chini ya serikali iliyo madarakani.

De-regulation zilianza wakati wa Reagan na Bush hana kosa lolote lile. Pili matatizo yanayotokea sasa, sehemu kubwa imesababishwa na sera za Clinton. Sera za Clinton zilifanya watu masikini au wasio na uwezo kuchukua mikopo ambayo hawana uwezo nao.

Hivyo mnaomlaumu Bush, mnambebesha mizigo isiyo yake. Kumbukeni alipochukua nchi kulikuwa na internet buble burst.
 
Mnaeleza vitu kwa chuki tu bila analysis yoyote ya kimsingi. Uchumi una cycle zako. Na maendeleo ya uchumi sio linear. Uchumi unapanda na kushuka. Na sababu nyingine za kushuka ziko chini ya serikali iliyo madarakani.

De-regulation zilianza wakati wa Reagan na Bush hana kosa lolote lile. Pili matatizo yanayotokea sasa, sehemu kubwa imesababishwa na sera za Clinton. Sera za Clinton zilifanya watu masikini au wasio na uwezo kuchukua mikopo ambayo hawana uwezo nao.

Hivyo mnaomlaumu Bush, mnambebesha mizigo isiyo yake. Kumbukeni alipochukua nchi kulikuwa na internet buble burst.

Hivi ni bank gani hiyo ambayo ninaweza tu kwenda kuchukua mkopo hata kama sina qualification? HAKUNA...Usilaumu watu wasio na uwezo kwa sababu banks na lending institutions ndizo zili create hii strategy ya kukata kona. Hakuna hata siku moja mtu uliweza ku qualify kununua nyumba bila kuwa na down payment and back in the days ilikuwa 10% sasa zilipoanza dereg...wakawa wala hawahitaji hiyo 10% wala hawa check application forms throughly, meaning kazi na income za applicants..wao (lenders) walikuwa wana qualify watu kwa hiyo mikopo wakijua ita baloon later kwa sababu ni interest only mortgage na wao wakawa wana bundle mikopo mingi wana iuza kwa banks nyingine (investment banks) kwa rates nzuri zaidi.
 
Hivi ni bank gani hiyo ambayo ninaweza tu kwenda kuchukua mkopo hata kama sina qualification? HAKUNA...Usilaumu watu wasio na uwezo kwa sababu banks na lending institutions ndizo zili create hii strategy ya kukata kona. Hakuna hata siku moja mtu uliweza ku qualify kununua nyumba bila kuwa na down payment and back in the days ilikuwa 10% sasa zilipoanza dereg...wakawa wala hawahitaji hiyo 10% wala hawa check application forms throughly, meaning kazi na income za applicants..wao (lenders) walikuwa wana qualify watu kwa hiyo mikopo wakijua ita baloon later kwa sababu ni interest only mortgage na wao wakawa wana bundle mikopo mingi wana iuza kwa banks nyingine (investment banks) kwa rates nzuri zaidi.



Lakini unaelewa maana ya subprime?? au unataka kulaumu Bush. Subprime ilikuwa designed long time ago kuwasaidia watu wenye credit mbovu au wasio na credit history.

Na kama vigezo vyako vya kuchukua mikopo vingefuatwa, minorities na wageni wangepata taabu kununua nyumba.


Mikopo unayozungumza wewe hiko katika category ya PRIME. Kwenye Prime ni lazima process za verification zifanyike.

Kwenye Subprime kinachotumika ni Securitisation ya loans kibao ambazo baadaye anauziwa investors. Katika subprime 2/3 ya mikopo hipo nje ya mkondo wa sheria za serikali. Hivyo kulikuwa hakuna uwezo wa serikali ku-regulate.

Mnampa lawama Bush lakini sio yeye, ni cycle ya uchumi ilikuwa imefikia burst na hakuna ambacho angeweza kufanya. Na hilo lingetokea kwa mtu yoyote au chama chochote madarakani.

Na kulaumiwa basi lawama ziende kwa Federal Reserve Bank. Kwa sababu wao ndio wanao-set interest rates. Na vilevile Fed ni chombo huru akiingiliwi na serikali.
 
Na kulaumiwa basi lawama ziende kwa Federal Reserve Bank. Kwa sababu wao ndio wanao-set interest rates. Na vilevile Fed ni chombo huru akiingiliwi na serikali.

Mkuu...hata Allan Greenspan na watu wake ni wakuwashikia bango vile vile sikatai.
 

Zakumi, Unaikumbuka hii quote wakati wa kampeni ya 2000...."I will bring honor and dignity back to the White House" has he done that? Kwa nini watu wanashangilia anapoondoka badala ya kuwa sad? Hata Repubs wenzake hawataki kuwa associated naye..wanamtumia tu masikini kwenye close door fund raising events, lakini nje wana m ditch.
 
Lakini unaelewa maana ya subprime?? au unataka kulaumu Bush. Subprime ilikuwa designed long time ago kuwasaidia watu wenye credit mbovu au wasio na credit history.

Na kama vigezo vyako vya kuchukua mikopo vingefuatwa, minorities na wageni wangepata taabu kununua nyumba.


Mikopo unayozungumza wewe hiko katika category ya PRIME. Kwenye Prime ni lazima process za verification zifanyike.

Kwenye Subprime kinachotumika ni Securitisation ya loans kibao ambazo baadaye anauziwa investors. Katika subprime 2/3 ya mikopo hipo nje ya mkondo wa sheria za serikali. Hivyo kulikuwa hakuna uwezo wa serikali ku-regulate.

Mnampa lawama Bush lakini sio yeye, ni cycle ya uchumi ilikuwa imefikia burst na hakuna ambacho angeweza kufanya. Na hilo lingetokea kwa mtu yoyote au chama chochote madarakani.

Na kulaumiwa basi lawama ziende kwa Federal Reserve Bank. Kwa sababu wao ndio wanao-set interest rates. Na vilevile Fed ni chombo huru akiingiliwi na serikali.


Bush alicho haribu baada ya kuachiwa sera nzuri na Clinton za kuwapatia mikop/mortgage watu wasio na credit history nzuri ni pale alipo amua kuongeza INTEREST RATE kumbwa ambayo wengi walishindwa kuilipia mikopo/mortgage yao interest iliendela kupanda siku hadi siku as result ikaleta credit crunch (Fed lazima wafanye kazi pamoja na Serikali ndo wanapoweza kuendeleza uchumi)

Na pia Bush aliachiwa hazina kubwa sana na Clinton alichokifanya nikuitumia hazina aliyo achiwa hadi kufikia kwenye DEFICT kubwa sana ambayo Obama hajajua ataimaliza lini, as result Bush hakuweza ku-invest localy kwa sababu ya matumizi yake mabovu, security na gharama za vita. Therfore, huyu jamaa inabidi apelekwe kwenye Crime Court kutokana na mauwaji aliyo yafanya around the World in the name of Democracy.

Kusaidaia Africa: Africa kwa muda mrefu tumasema hatiitaji msaada wa mtu, tunachitaji ni fair Trade Bush aliendeleza siasa zilezile za kuzibaban nchi zetu kufanya biaashara fairly na nchi za US na EU wali-BLOCK deal zote pale WTO zisifanikiwe, misaada aliyoleta hapa TZ nikwaajili ya kuendeleza ukoloni wao na katika awamu yake aliongeza kiwango cha misaada baada ya kuona Wa-Africa wameamka uchumi unaenda vizuri kwa sababu ya Look easet Strategy inayotumiwa na Third World Countries, wewew nadhani uliona Viongozi wa India, China, Japan walivyoshindana kuwaalika viongozi wetu waafrika makwao

Tukemee hii misaada, ufisadi na tuwafahamu vizuri wazungu sio kua wanatupenda bali wanajipenda. Thanks
 

Zakumi, Unaikumbuka hii quote wakati wa kampeni ya 2000...."I will bring honor and dignity back to the White House" has he done that? Kwa nini watu wanashangilia anapoondoka badala ya kuwa sad? Hata Repubs wenzake hawataki kuwa associated naye..wanamtumia tu masikini kwenye close door fund raising events, lakini nje wana m ditch.

He has done that. Kitu ambacho wengi tunashindwa kuelewa ni kuwa Bush alishinda kwa kutumia technics. Kama unamfahamu Karl Rove,nadhani utajua kuwa ndie aliyefanya Bush kushinda.

Kwa kuangalia statistics za uchaguzi wa miaka iliyopita, Kark Rove aliangalia RED states kwa sababu republicans wengi katika states ni Conservatives na wenye consistency ya kupiga kura basi walihamua ku-concrate na segment hii ya society.

Democrats na washabiki wao ni wengi sana kuliko republicans. Lakini wana matatizo mawili makubwa. Moja ni kuwa democrats wako tayari kumpigia kura Republican. Na pili wengi wao hawapigi kura.

Hivyo Bush alishinda kwa kuweza ku-energize base vizuri kuliko democrats. Kwa mfano Al Gore alishindwa kwa count Florida na ku-discount Ohio. Kama angeweza ku-energize black voters wa Ohio tu basi Bush alisingekuwa rais.

Hivyo tukirudi kwenye swali lako, ni kweli kwa base ya wapiga kura wa kutoka red states ambao wengi wao ni Fundamental Christians, George Bush brought honor and dignity back to the White House. . Hakupata Uroda ndani ya Oval Office na intern au fuska yoyote yule.

Kuhusu other republicans kujitenga naye, hiyo ni typical ya politician yoyote. Politician wanataka kujiusisha na winner. Lakini mambo yakienda vibaya wanataka kuji-distance.
 
Bush alicho haribu baada ya kuachiwa sera nzuri na Clinton za kuwapatia mikop/mortgage watu wasio na credit history nzuri ni pale alipo amua kuongeza INTEREST RATE kumbwa ambayo wengi walishindwa kuilipia mikopo/mortgage yao interest iliendela kupanda siku hadi siku as result ikaleta credit crunch (Fed lazima wafanye kazi pamoja na Serikali ndo wanapoweza kuendeleza uchumi)

Na pia Bush aliachiwa hazina kubwa sana na Clinton alichokifanya nikuitumia hazina aliyo achiwa hadi kufikia kwenye DEFICT kubwa sana ambayo Obama hajajua ataimaliza lini, as result Bush hakuweza ku-invest localy kwa sababu ya matumizi yake mabovu, security na gharama za vita. Therfore, huyu jamaa inabidi apelekwe kwenye Crime Court kutokana na mauwaji aliyo yafanya around the World in the name of Democracy.

Kusaidaia Africa: Africa kwa muda mrefu tumasema hatiitaji msaada wa mtu, tunachitaji ni fair Trade Bush aliendeleza siasa zilezile za kuzibaban nchi zetu kufanya biaashara fairly na nchi za US na EU wali-BLOCK deal zote pale WTO zisifanikiwe, misaada aliyoleta hapa TZ nikwaajili ya kuendeleza ukoloni wao na katika awamu yake aliongeza kiwango cha misaada baada ya kuona Wa-Africa wameamka uchumi unaenda vizuri kwa sababu ya Look easet Strategy inayotumiwa na Third World Countries, wewew nadhani uliona Viongozi wa India, China, Japan walivyoshindana kuwaalika viongozi wetu waafrika makwao

Tukemee hii misaada, ufisadi na tuwafahamu vizuri wazungu sio kua wanatupenda bali wanajipenda. Thanks


BULL:

Bush hausiani kabisa na kuongeza au kushuka kwa Interest rates. Hiyo ni kazi ya Fed Chairman. Hivyo hapo usimpe lawama Bush.

Katika kipindi cha Bush interest zilikuwa historically low kuliko vipindi vyote unavyovijua. Tazama data zako.

Samahani ndugu Bull itabidi upitie data zako vizuri. Kinyume cha ulichosema ni LOW INTEREST RATES zilizovutia watu wengi kukopa.


Na kwa kukuonyesha kuwa Bush hausiki ongezeko au upunguaji wa Interest rates basi itabidi nitoe mfano. Mpandishaji wa Interest ni Fed Chairman. Wakati wa uchaguzi wa 1992 Fed Chairman aliongeza interest rate. Na Baba yake Bush anaamini ongezeko hilo lilimpa nafasi Clinton kushinda uchaguzi.

Kama marais wangekuwa ndio wenye kuongeza au kushusha interest rates basi Bush senior asingefanya hivyo katika kilele cha uchaguzi wa 1992.
 
He has done that. Kitu ambacho wengi tunashindwa kuelewa ni kuwa Bush alishinda kwa kutumia technics. Kama unamfahamu Karl Rove,nadhani utajua kuwa ndie aliyefanya Bush kushinda.

Kwa kuangalia statistics za uchaguzi wa miaka iliyopita, Kark Rove aliangalia RED states kwa sababu republicans wengi katika states ni Conservatives na wenye consistency ya kupiga kura basi walihamua ku-concrate na segment hii ya society.

Democrats na washabiki wao ni wengi sana kuliko republicans. Lakini wana matatizo mawili makubwa. Moja ni kuwa democrats wako tayari kumpigia kura Republican. Na pili wengi wao hawapigi kura.

Hivyo Bush alishinda kwa kuweza ku-energize base vizuri kuliko democrats. Kwa mfano Al Gore alishindwa kwa count Florida na ku-discount Ohio. Kama angeweza ku-energize black voters wa Ohio tu basi Bush alisingekuwa rais.

Hivyo tukirudi kwenye swali lako, ni kweli kwa base ya wapiga kura wa kutoka red states ambao wengi wao ni Fundamental Christians, George Bush brought honor and dignity back to the White House. . Hakupata Uroda ndani ya Oval Office na intern au fuska yoyote yule.

Kuhusu other republicans kujitenga naye, hiyo ni typical ya politician yoyote. Politician wanataka kujiusisha na winner. Lakini mambo yakienda vibaya wanataka kuji-distance.

Red States Blue States we get all that..ndio maana Obama Campaign was the most efficient in the history of politics on this land. Na I am so glad kwamba the ARCHITECTURE OF BUSH'S VICTORY (Well kwanza uchaguzi uliamuliwa na Supreme Court mwaka 2000 not voters na Gore alikuwa ahead but thats not the case here) KARL ROVE strategy iliweza kuwapa Democrats majority ya House na Senate kwenye mid terms za mwaka 2006. Na prominent GOP Senators kama George Alan "the makaka guy", Ric Sentorum, wakapigwa chini. Karl Rove sio kitu sio chochote mbele ya David Alexrod. Karl Rove strategy ilikuwa ya kutumia scare tactics...na the good news is American people have woken up..they are not scared anymore na ndio maana ukaona uliyoyaona wakati wa mid term na kwenye general election last november LAND SLIDE.
Now lets go back to restoring Dignity in the White House.
1. What do you have to say with the CIA leak case?
2. What do you say with the lies and the manipulation of intelligence to get the nation kwenye vita iliyokuwa unnecessary ambayo imesha claim maisha ya wamerekani zaidi ya 4000 na malaki ya wa Iraq? Achilia resources nyingine adimu kama fedha?
3. What do you say about Bush's administration secret mission ya ku fire ma State Attorney's wote kutoka Justice department waliokuwa wanaenda kinyume na matakwa ya White House? Huoni huu ni uvunjaji wa sheria?
5. Hivi Clinton aliyekuwa na affair ndani ya WH vs. Bush aliyedanganya kuhusu WMD na ku alter intelligence who is much better? NONE...wote hawafai..but the later is a big Hypocrite kwa sababu kama wewe ni mkristo kweli as the man portrays himself....he should have not lied to waste the lives of many men and women in unnecessary stupid dumb war for his personal gratification.
 

Red States Blue States we get all that..ndio maana Obama Campaign was the most efficient in the history of politics on this land. Na I am so glad kwamba the ARCHITECTURE OF BUSH'S VICTORY (Well kwanza uchaguzi uliamuliwa na Supreme Court mwaka 2000 not voters na Gore alikuwa ahead but thats not the case here) KARL ROVE strategy iliweza kuwapa Democrats majority ya House na Senate kwenye mid terms za mwaka 2006. Na prominent GOP Senators kama George Alan "the makaka guy", Ric Sentorum, wakapigwa chini. Karl Rove sio kitu sio chochote mbele ya David Alexrod. Karl Rove strategy ilikuwa ya kutumia scare tactics...na the good news is American people have woken up..they are not scared anymore na ndio maana ukaona uliyoyaona wakati wa mid term na kwenye general election last november LAND SLIDE.
Now lets go back to restoring Dignity in the White House.
1. What do you have to say with the CIA leak case?
2. What do you say with the lies and the manipulation of intelligence to get the nation kwenye vita iliyokuwa unnecessary ambayo imesha claim maisha ya wamerekani zaidi ya 4000 na malaki ya wa Iraq? Achilia resources nyingine adimu kama fedha?
3. What do you say about Bush's administration secret mission ya ku fire ma State Attorney's wote kutoka Justice department waliokuwa wanaenda kinyume na matakwa ya White House? Huoni huu ni uvunjaji wa sheria?
5. Hivi Clinton aliyekuwa na affair ndani ya WH vs. Bush aliyedanganya kuhusu WMD na ku alter intelligence who is much better? NONE...wote hawafai..but the later is a big Hypocrite kwa sababu kama wewe ni mkristo kweli as the man portrays himself....he should have not lied to waste the lives of many men and women in unnecessary stupid dumb war for his personal gratification.


You really hate Bush. Don'tchu ?

Do you remember when Clinton bombaded a pharmaceutical plant in Sudan? The false information was the work of CIA. Wasnt it? Mpaka sasa hakuna anayemshitaki Clinton kwa kuruhusu majeshi kupiga mizinga kiwanda cha madawa hili ku-cover kesi ya na Monica.

Mnajua nyie watu wa mkondo wa kushoto mnapenda kuvuruga ukweli iwapo vitu vinafanywa na watu wa upande wa kulia.

False information iliyofanya Rais mpendwa GW Bush ilikuwa ni kazi ya CIA na sio yake. Besides, Sadaam Hussein mwenyewe hakutaka kuwa clean. Kwanini hakuruhusu wakaguzi kutoa taarifa zao??

State attorney wanafanya kazi kwa ridhaa ya rais. Clinton alipoanza kazi aliwaondoa na kuwaweka wake. Kwanini inakuwa double standard pale Bush anapofanya hivyo??

Bush kama ana-iman na Mungu ni lazima aangalie sehemu za kusaidia. Middle East inapotential ya rasimali na watu. Kinachotakiwa ni demokrasia tu. Hivyo yeye sio mnafiki kwenda Iraq. Matatizo yanayokuja ni kuwa waIraq ni wagumu.
 
You really hate Bush. Don'tchu ?

Do you remember when Clinton bombaded a pharmaceutical plant in Sudan? The false information was the work of CIA. Wasnt it? Mpaka sasa hakuna anayemshitaki Clinton kwa kuruhusu majeshi kupiga mizinga kiwanda cha madawa hili ku-cover kesi ya na Monica.

Mnajua nyie watu wa mkondo wa kushoto mnapenda kuvuruga ukweli iwapo vitu vinafanywa na watu wa upande wa kulia.

False information iliyofanya Rais mpendwa GW Bush ilikuwa ni kazi ya CIA na sio yake. Besides, Sadaam Hussein mwenyewe hakutaka kuwa clean. Kwanini hakuruhusu wakaguzi kutoa taarifa zao??

State attorney wanafanya kazi kwa ridhaa ya rais. Clinton alipoanza kazi aliwaondoa na kuwaweka wake. Kwanini inakuwa double standard pale Bush anapofanya hivyo??

Bush kama ana-iman na Mungu ni lazima aangalie sehemu za kusaidia. Middle East inapotential ya rasimali na watu. Kinachotakiwa ni demokrasia tu. Hivyo yeye sio mnafiki kwenda Iraq. Matatizo yanayokuja ni kuwa waIraq ni wagumu.

Mkuu nashukuru lakini hujanijibu maswali yangu hapo juu. Ni kweli Rais ana uwezo wa kuwafukuza ma attorney at his will (tena hii huwa inafanyika mwanzoni kabisa pale Raisi anapoanza terma yake ya urais) lakini hii ya Bush na Karl Rove ilikuwa political kwa sababu these guys were prosecuting election frauds za mwaka 2006 ambazo zilikuwa zikiwalenga GOP nominees. Naomba ujibu points zangu nyingine. By the way I don't HATE Bush...Hate is a very strong word...I happen not to like his policies...ndio maana mwanzoni kabisa ukisoma mtundiko wangu wa kwanza kabisa kwenye hii thread niliandika kuwa...G.W could have been a nicest guy lakini policy making decision yake ni horrible. Please go back.
 
 
Kichaka alivyokuja bongo
 

Attachments

  • 3.jpg
    3.jpg
    158 KB · Views: 41
  • 14.jpg
    14.jpg
    287.8 KB · Views: 41
President Bush was given an Iraqi-journalist-style sendoff on his last full day in office Monday, as tourists and demonstrators lobbed shoes, pumps, boots, sandals and Crocs from Pennsylvania Avenue onto the White House lawn.

Before launching the operation live, the shoe-chuckers took target practice in Dupont Circle on a 20-foot-tall blow up doll of the outgoing president, decked out in the flight suit he wore aboard the "Mission Accomplished" aircraft carrier.



2009-01-19-shoes2.jpg



2009-01-19-shoes.jpg

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom