Goodbye my dear @preta

Goodbye my dear @preta

Huyu Preta ana wanaume wangapi? Maana kuna mahali humu Boflo amedai anataka kununua bastola ya kumlinda yeye na Preta wake!
 
Aiseeee. kweli nimepitwa na mengi!! Safari ya Yaeda chini ni lazima kwa sasa😛lane:

Kunani huko @Yaeda chini, au kwa kuwa nimeaga hapa? Huwezi kukidhi vigezo vya my Preta
 
Last edited by a moderator:
Huyu Preta ana wanaume wangapi? Maana kuna mahali humu Boflo amedai anataka kununua bastola ya kumlinda yeye na Preta wake!

Majungu haya, Boflo tangu lini?
 
Last edited by a moderator:
Shauri yako, endelea kumvizia Preta, utakuja kushangaa umegongwa na kitu chepesi chenye ncha kali

Upo jasiri sana Opaque, unaweza kumtisha mwenye mali?
 
Last edited by a moderator:
Mmeshaanza majungu, Preta, tulikuwa wawili nilipokuwa nakuaga, nimekupa thadhari ya hawa wanaume opportunistic kama hawa saudari kaanza majungu tayari,

Angalia baadae asije akaanza kusema.

broken.jpg
 
kuendelea kuwa na Preta unaweza kumkibanda mtu bure..haya bebii huyu@moto2012 ndio chaguo lako jipya..
 
Last edited by a moderator:
Najua nilikuaga Mpenzi wangu Preta, najua ulinisikia, na ninahakika huna amani kwa safari yangu! Ni vigumu kujitenga nawe, huko Tabora ninakoenda na idadi ya siku nitakazo kaa hakika zitakuwa ngumu na nyingi sana kuliko siku zote ambazo nimeishi hapa duniani! Preta Mpenzi, kimwili nitakuwa Tabora kwa siku zipatazo 23, ila kifikra sitakuwa mbali nawe hata kwa sekunde moja!!! Naomba uniombee dia moyo wangu sije ukasimama kwa kukumisi laaziz wangu!

Najua wapo wanaofurahia kusafiri kwangu, hasa Mtambuzi na MziziMkavu, angalia kesho tu wataweka picha yangu hapa na kujifanya wanasaikolojia ati sura yangu inaonesha kuwa mimi si mwaminfu, usiwajali baby!!

Wapo wapambe wao kama Nivea, Natalia, lara 1 na wengine watakwambia ati sina pochi, achana nao kwani mapenzi yetu yalianza zamani kabla hata sina hilo pochi!

Najua wengi wanaume na wababa wa humu Jf ni wa bahili wakiombwa hela ya vocha wanakuja kulalamika humu, kwangu mimi ni furaha najua hawata kupata! Bishanga, Rutashobolwa na wenzake ni mabingwa wa kujitapa hali hawana kitu!!

Nakupenda Preta, kuwa wangu daima mpenzi
moto2012 de Mapenzi

Preta kwa taarifa yako jana kaonekana anakula bata na njemba flan whitesands.
 
Last edited by a moderator:
Preta kwa taarifa yako jana kaonekana anakula bata na njemba flan whitesands.

Nilijua tu, mzee mwenye matata alikuwa Mtambuzi tu, kufumaniwa kwake na mdada wa house keeping kwenye hotel huko Mwanza ni faraja kwangu kwani najua
1. Na mama Ngina wake kitakuwa kimenuka, anahaha kunusuru ndoa yake ukizingati hivi karibuni alikuwa na msala wa yule dada poa wa kwa Kimboka ambaye alikuja kufanya kazi ya u-HG na kisha kudai advance ili asikinukishe kwa mama Ngina, mama Ngina aliinyaka laivu, leo najua atakuwa amepruvu kuwa huyu bwana Mtambuzi ni hasara tupu
2. Atakosa muda wa kupenyua picha zangu na kutundika hapa jamvini na kudai mimi si mwaminifu katika ndoa ili iwe rahisi kwa washikaji zake kama wewe Bishanga mtake advantage!
Preta baby nipokee tarehe 23, nakuletea asali ya Tabora dia!!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom