Najua nilikuaga Mpenzi wangu
Preta, najua ulinisikia, na ninahakika huna amani kwa safari yangu! Ni vigumu kujitenga nawe, huko Tabora ninakoenda na idadi ya siku nitakazo kaa hakika zitakuwa ngumu na nyingi sana kuliko siku zote ambazo nimeishi hapa duniani!
Preta Mpenzi, kimwili nitakuwa Tabora kwa siku zipatazo 23, ila kifikra sitakuwa mbali nawe hata kwa sekunde moja!!! Naomba uniombee dia moyo wangu sije ukasimama kwa kukumisi laaziz wangu!
Najua wapo wanaofurahia kusafiri kwangu, hasa
Mtambuzi na
MziziMkavu, angalia kesho tu wataweka picha yangu hapa na kujifanya wanasaikolojia ati sura yangu inaonesha kuwa mimi si mwaminfu, usiwajali baby!!
Wapo wapambe wao kama
Nivea,
Natalia,
lara 1 na wengine watakwambia ati sina pochi, achana nao kwani mapenzi yetu yalianza zamani kabla hata sina hilo pochi!
Najua wengi wanaume na wababa wa humu Jf ni wa bahili wakiombwa hela ya vocha wanakuja kulalamika humu, kwangu mimi ni furaha najua hawata kupata!
Bishanga, Rutashobolwa na wenzake ni mabingwa wa kujitapa hali hawana kitu!!
Nakupenda
Preta, kuwa wangu daima mpenzi
moto2012 de Mapenzi