Good afternoon

Good afternoon

Dignah

Member
Joined
Jan 26, 2022
Posts
70
Reaction score
95
Habarini wana JF, Poleni na majukumu.
1. Natoa huduma ya kuandaa Deed Poll( Change of names) Kubadilisha majina yaliyopo kwenye vyeti kama yamekosewa

Cheti cha kuzaliwa
Cheti cha NIDA
Vyeti vya shule
Gharama zake ni 150,000 vinakuwa attested na Mwanasheria na kuwa verified kwa Registrar ( Msajili)

2. Pia napiga Copy ya vyeti muhuri ( Certify) Bei ni nafuu kwa idadi ya vyeti vyote ulivyo navyo, ila visizidi vyeti 10.

0629504117 Call au Whatsapp
 
Habarini wana JF, Poleni na majukumu.
1. Natoa huduma ya kuandaa Deed Poll( Change of names) Kubadilisha majina yaliyopo kwenye vyeti kama yamekosewa

Cheti cha kuzaliwa
Cheti cha NIDA
Vyeti vya shule
Gharama zake ni 150,000 vinakuwa attested na Mwanasheria na kuwa verified kwa Registrar ( Msajili)

2. Pia napiga Copy ya vyeti muhuri ( Certify) Bei ni nafuu kwa idadi ya vyeti vyote ulivyo navyo, ila visizidi vyeti 10.

0629504117 Call au Whatsapp
Kufanya mambo yasiwe mengi, ni kwamba wewe ni kishoka.
 
No money no love
Sku izi tunahonga mpaka majimama

Pisi kali zinataka kula eeeeh
Pisi kali hazitaki njaaa eeeh

No money no love
 
Huo ni wizi..kitu chenyewe hata
Hapana, Napingana na wewe
  • Kwa ufahamu wangu, ni kuwa wadau hulipia muda wake anaotumia kufuatilia na kufanikisha kila kitu.
  • Hata kama huduma inapatikana bure, kuna wadau wako tayari kumlipa mtu Muda wake wafanikishiwe mambo yao.
- Hivyo tumpongeze kijana kwa kujiongeza.
 
Hapana, Napingana na wewe
  • Kwa ufahamu wangu, ni kuwa wadau hulipia muda wake anaotumia kufuatilia na kufanikisha kila kitu.
  • Hata kama huduma inapatikana bure, kuna wadau wako tayari kumlipa mtu Muda wake wafanikishiwe mambo yao.
- Hivyo tumpongeze kijana kwa kujiongeza.
bora umenisaidia kujibu
Labda huko wizarani anaposema kwenda kusajiliwa labda msajili anamwandalia nyaraka yeye na kumpigia muhuri wa mwanasheria bure😂 watu wanajua ni kitu simple sana ee
 
Hapana, Napingana na wewe
  • Kwa ufahamu wangu, ni kuwa wadau hulipia muda wake anaotumia kufuatilia na kufanikisha kila kitu.
  • Hata kama huduma inapatikana bure, kuna wadau wako tayari kumlipa mtu Muda wake wafanikishiwe mambo yao.
- Hivyo tumpongeze kijana kwa kujiongeza.
Huo ni utapeli wa kiwango Cha lami.
 
Wewe ni mwanasheria au nataka nikupe kazi sema una bei
 
Back
Top Bottom