Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,704
- 5,480
Diara, golikipa mahiri raia wa Mali, mbioni kuikacha Yanga SC, inaelezwa kuwa, golikipa huyo amepata donge nono la mishahara kwenye moja ya vilabu vikubwa barani Africa.
Umaskini mbaya sana nduguHizi timu masikini huwa ni ngumu mno ku-maintain vikosi vyao zinapofanya vyema michuano ya kimataifa.
Kama walivyopatikana hawa wanaondokaMpira ni biashara, product namba moja ni kuuza wachezaji
So acha Yanga ipige hela, golikipa mwingine atapatikana tu
Unaamsha vidonda vya tumbo sasaDiara golikipa mahiri raia wa Mali mbioni kuikacha Yanga sc, inaelezwa kuwa, golikipa huyo amepata donge nono la mishahara kwenye moja ya vilabu vikubwa barani Africa.
View attachment 2690218
hii ndio maana ya timu kubwa na tutaendelea pale tulipoishiaKazi mnayo msiba hata hamjaanua tanga...huo mwingine...
Tulia tulambe pesa, mpira biashara mdadaKazi mnayo msiba hata hamjaanua tanga...huo mwingine...
Nikuhakikishie hakuna klabu kubwa afrika inaweza msajili diara, hana tofauti na kaseja, miili yao inawaangushaDiara golikipa mahiri raia wa Mali mbioni kuikacha Yanga sc, inaelezwa kuwa, golikipa huyo amepata donge nono la mishahara kwenye moja ya vilabu vikubwa barani Africa.
View attachment 2690218
Kaka bora golini akae Mshery kuliko Metacha. Pia kwa kutazama katika yote, Diara ametuokoa sana msimu uliopita, jamaa kuziba nafasi yake inatupasa tutafute kipa mwingine na sio hawa waliopo.Hakuna tatizo mradi bilioni zije Yanga. Metacha na Mshery wako safi sana sasa hivi kujaza pengo hilo. Kule Lubumbshi Metacha aliwabana sana Mazembe hawakuambulia kitu. Mwanzoni mwa Ligi ilitokea pia Diatrra yuko kwenye timu ya taifa ya Mali Msheri akaziba ukuta wa goli la yanga hakuna mpira uliopita.
Naunga mkono hoja.Mpira ni biashara, product namba moja ni kuuza wachezaji
So acha Yanga ipige hela, golikipa mwingine atapatikana tu
Sure...kuleni mapene hayo..japo kwa maumivuTulia tulambe pesa, mpira biashara mdada
Hela jamani tugawane watani...hii ndio maana ya timu kubwa na tutaendelea pale tulipoishia