Godee jr
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 1,796
- 2,397
- Thread starter
- #61
Sawa mkuu. Tunatofautiana mitazamoYaani sikuungi mkono hata kidogo Mimi nikiacha nimeacha sina tena muda nasonga mbele! Wanawake wapo zaidi yetu vidume harafu nirudi kulekule!?. Ni kweli wanafanana ila sirudi nyuma! Hata wawe watoto kumi mama tofauti nitawaunganisha wanangu basi!!
Tunaelewana ndio uzuri wenyeweSasa yeye akikukatalia je? Unajiamini Sana eeenh, unaweza kumtimua kesho ukitaka unamrudia au sio?
Angalia Mzee, ukimkuta zimempanda na yeye anakuchomolea tu
Sent using Jamii Forums mobile app