walaaaa, ila uchungu wa nyumba ndogo naupata pata kimtindo. Hasira siyo kwa wakurya tu, hapana chezea hilo jambomama, wewe ni mkazi wa tarime?
walaaaa, ila uchungu wa nyumba ndogo naupata pata kimtindo. Hasira siyo kwa wakurya tu, hapana chezea hilo jambo
Heshima kwenu,
Ni yuleyule kijana wa miaka 25 niliyetahiriwa ukubwani.
Leo nimekuja mbele yenu waungwana wenzangu munipe msaada.
Sina mke ila nna mchumba ambae bado yupo chuoni, anamalizia master yake, atakamaliza august 2015, baada ya hapo ndio tutapanga ndoa, mchumba ana msimamo mgumu sana, hataki kujigijigi hadi ndoa ifungwe.
Hivyo nimeamua kutafuta nyumba ndogo kwa muda hadi hapo mchumba wangu atakapo kuwa tayari.
Nyumba ndogo anatakiwa awe na muonekano kama huu hapa chini:
Asanteni sana
shukrani, basi hapa zitapoa ila lazma macho yawe wazi kumulika mwizi, teh teh. Hope it will be mango juicenaomba nitumie muda huu kukupunguzia hasira zako mama! you will enjoy indeed... let me prepare my cold juice! its evening you know!!
pole kwa uchovu wa mizunguko!
Aisee ladies na gentlemen mumenikoshaaaaa.
Safiiiii.
shukrani, basi hapa zitapoa ila lazma macho yawe wazi kumulika mwizi, teh teh. Hope it will be mango juice
Ujue Gogle amekumaindi ile mbaya wewe ndo umeanzisha masuala haya ila nashukuru kwa ubunifu wako maana no return of the Gogle wala nanilio lake lililotahiriwa
hhahahaha. Na kweli! Manake nimefululiza kweli kumpa za uso.
hahaahahahahhaha, wenyewe watakuja hapa itakuwa shida si wajua walivyo? Ujanja muhimu, lolwacha ujanja ujanja bana!! weka mawazo pamoja kwa ajili ya mechi....!! ya simba na manchester sugar! lols!