Himidini
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 5,534
- 4,190
kweli kabisa mkuu....... Huyu jamaaa anahtaji nasaha zako kaka.
^^
Hahitaji nasaha, ni late adolescence tu, ikiisha atatulia
^^
kweli kabisa mkuu....... Huyu jamaaa anahtaji nasaha zako kaka.
^^
Hahitaji nasaha, ni late adolescence tu, ikiisha atatulia
^^
ya vyumba vingapi?
ila tunasema ogopa kukutwa ndo kauli mbiu ya nyumba kubwa. Nkikukuta tu mie naja na greda hapo kazi inakuwa kwisha kabisakuna haja kabisa ya kuanzisha project maalum ya kujenga nyumba ndogo..!!
naona soko lipo kabisa mjini hapaaa!!!
kumbe fursa zipo...!!
ila tunasema ogopa kukutwa ndo kauli mbiu ya nyumba kubwa. Nkikukuta tu mie naja na greda hapo kazi inakuwa kwisha kabisa
haogopi mtu, yeye ndo ameanza so mie namrudishia hata thrice ilimeadi akimuona mume wa mtu akili ikae sawa. Naharibu hadi ardhi isifae labda kwa kuchimbwa mtaro baaassssshahahaaa!! mamii usiogope...!! insurance zipo kabisa kwa ajili ya protection..!!
You eat me, i eat you twice..
kama hii
![]()
haogopi mtu, yeye ndo ameanza so mie namrudishia hata thrice ilimeadi akimuona mume wa mtu akili ikae sawa. Naharibu hadi ardhi isifae labda kwa kuchimbwa mtaro baaasssss