Mbona Gazeti la Uhuru limedai ni Joshua Nassari?????
Acha upumbavu wewe kafara m a ma ko
Imekugusa? LOL.
Poleeeeeee na msiba mzee. Mungu akusaidie. Aamen
Uhuru sio gazeti, ni makaratasi ya kufungia vitumbua
.Mbona Gazeti la Uhuru limedai ni Joshua Nassari?????
Gody si ndio Yule aliyemtoa kafara mkewe mwaka Juzi ,sio Siri