Aliyekuwa mkiti wa #UVCCM wilaya ya Arusha na kwa sasa MNEC, Dan Mwalusamba amedaiwa kufyatua risasi hewani huko Daraja mbili Arusha ili kutisha wananchi waliokuwa wamekusanyika kulinda kura katika shule ya Felix Mrema.
Inadaiwa polisi walimshikilia lakini cha ajabu akipigiwa simu anapokea, sasa sijui inakuaje anakuwa na simu sero. Hii ilikuwa ni baada ya ccm kubanwa kisawasawa na makamanda na wananchi wa Arusha katika uchaguzi mdogo aw udiwani ambapo mwisho wa siku CDM imeibwaga ccm vibaya na kwa kura za Aibu.
Ikumbukwe kata hii ilikuwa ni ya CCM, Diwani aliyefariki alikuwa wa CCM. Polisi acheni double standards. Dereva wa Lema na watu wengine kadhaa wameshikwa wakiwa wanna patrol ndani ya gari la Lema kitu ambacho sio kosa lakini anayefyatua risasi anaendelea kuchonga kwa simu.
Iko Wapi Kweli?
Inadaiwa polisi walimshikilia lakini cha ajabu akipigiwa simu anapokea, sasa sijui inakuaje anakuwa na simu sero. Hii ilikuwa ni baada ya ccm kubanwa kisawasawa na makamanda na wananchi wa Arusha katika uchaguzi mdogo aw udiwani ambapo mwisho wa siku CDM imeibwaga ccm vibaya na kwa kura za Aibu.
Ikumbukwe kata hii ilikuwa ni ya CCM, Diwani aliyefariki alikuwa wa CCM. Polisi acheni double standards. Dereva wa Lema na watu wengine kadhaa wameshikwa wakiwa wanna patrol ndani ya gari la Lema kitu ambacho sio kosa lakini anayefyatua risasi anaendelea kuchonga kwa simu.
Iko Wapi Kweli?