Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,683
Pole kamanda. Huna la kufanya. Na baada ya 2025 sisi Wananchi wazalendo tutaomba kaongezewe miaka 10 mingineKamwe sitokuja kumkubali Magu kutokana na tabia zake za chuki na kutenda kinyume na kauli zake.