Godwin Gondwe wa ITV asilazimishe fani

Double G is one of the best radio and Tv presenter in town, hebu mfananishe na mwingine tangu akiwa radio free africa alikuwa best in lake zone na mpaka akaja radio one alikuwa bora sana. Lakini unatakiwa kutenganisha kati ya presenter na mtu wa kufanya interview yawezekana kidogo anakosa interview techniks ndo maana unasema kuwa akiwa kwenye interview he4 dominates the session and then follow-up questions zinakuwa hazijasimama sana. Lakini this can be solved huwezi chukua kigezo hiki na ukasema jamaa analazimisha fani, MNYONGE MNYONGENI LKN HAKI YAKE MPENI. Ukweli pia wawezekana kuwa anatengeneza sauti ukiongea naye live na baadae ukamsikiliza kwenye radio au tv unahisi sauti imebadilika. Lakini hiyo sauti anayoiigiza ndo brand yake

Uk
 
Reactions: 3D.
Sio jibu hili Suzie.
majibu yenu ni ya kitoto wote nyie

Nakubaliana nawe Lukansola. Tatizo ni kuwa wanaomtetea Godwin hawachambui yale mleta mada anayodai juu ya Gondwe kama kicheko artificial, kutaifisha mjadala etc wao wanatazama mambo ya wivu etc. Godwin Gondwe ni mtu mpole, handsome na mcha Mungu. Nimeanza kumsikia Gondwe enzi zile yuko RFA Mwanza. Hii is huge on radio I swear, anajipenda na anapenda kazi yake lakini hii haimaanishi anaweza sana kazi yake ya sasa (sijasema hawezi na kama nitaamua kusema anaweza nitaeleza sababu, ila sababu haitakuwa "wivu wa mleta mada" as long as mletra mada katoa hoja kadhaa ambazo zinapimika (zinachambulika na zinatafitika)). Suala la utangazaji iwe radio au TV ni la kitaaluma mbali na uwepo wa vipaji, kupendeza na upole.

Kwa mfano, mimi ni shabiki sana wa Makwaia wa Kuhenga na namheshimu sana ila najua wazi ukifanya mahojiano naye usipokuwa na subira mnaweza hata "kupigana" hasa ikiwa unawaza tofauti na misimamo yake. Viva St Makwaia but vipaji vinaendane na weledi (professionalism) na si hisia tu.

Hii inanikumbusha mjadala "Mimi ni Atheist" katika jukwaa la Jamii Intelligence... badala ya watu kujibu hoja moja moja wanakuja na "We shetani, ushindwe na ulegee" etc. Ila wapo wanaojibu hoja kwa hoja.
 

Umekalia uongo tu we tapeli
 

rfa/star tv - redio one/itv - rfa/star tv - tbc-1
 
semeni yote lakini nawakubali sana hawa watangazaji wa ITV kuliko wa clouds fm/tv....sababu ni moja tu they are real....they dont pretend. keep up gg and your team.
 
semeni yote lakini nawakubali sana hawa watangazaji wa ITV kuliko wa clouds fm/tv....sababu ni moja tu they are real....they dont pretend. keep up gg and your team.

Hata wale wa "Yaliyomo Yamo??"
 
Mkubwa ni wazi kabisa una chuki binafsi na G.G na hii topic haikupaswa kuletwa hapa ungemtumia mwenyewe huo ushauri ingependeza zaidi
 
Mtoa hoja ana pointi ingawa labda katumia maneno makali kidogo................GG ni mtangazaji mzuri wa vipindi fulani fulani, nadhani mahojiano kama ilivyo kwa waandishi/watangazaji wa kibongo ni tatizo. Swali linakuwa para mbili.

  • Ushauri GG acha hiyo ''synthetic voice'' kutaka kujitumumua sana, hata kama wewe una umbile dogo huna haja ya kujitumumua sana, maana watu wanapokusikia kwa radio au TV halafu wakikuona live wanashangaa jinsi ulivyo mdogo kulinganisha na unavyojitumumua studio
  • Soma sana court proceedings ujifunza kuuliza maswali kwa ufupi na ufasaha
 
Reactions: 3D.

Mia.

umeona uso wa huzuni sauti ya kicheko wapi na wapi jamani? kicheko shurti kitanguliwe na smile bwana anaboa

Acheni majungu. Just kidding!!
 
ndugu yangu vp ulimpania nn
 

Ukweli ndiyo huu
 
Reactions: 3D.
Mimi sipendi staili ya utangazaji na uulizaji maswali ya yule wa dakika 45. Sijui ni jinsi kipindi kilivyotengenezwa kipropagandapropaganda ama ndio kupwaya kwa mtangazaji mwenyewe.

Mkubwa, TOPIC: Godwin Gondwe wa ITV!
 
Reactions: 3D.
mkuu tatizo kubwa la ITV hawaangalii VIPAJI wanaangalia VYETI na VI MEMO katika kupata watngazaji, vile vile ITV hamna ubunifu kwa kweli inabidi wajipange maaana kuna wenzao wanakuja kasi na vizuri sana. EATV wanafanya vizuri.
 
Reactions: 3D.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…